Madagascar: Rais atangaza Wabunge 2 kufariki kwa Corona, 25 wengine wanaumwa

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,793
71,206
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amethibitisha kuwa Seneta mmoja na msaidizi wa seneti nchini Madagascar wamefariki dunia leo kutokana na Ugonjwa wa Covid19.

Rajoelina ameongeza kuwa maseneta wengine 14 na wasaidizi 11 nchini humo wanaugua ugonjwa huo. Mpaka sasa watu 5,080 wameugua virusi vya Corona nchini humo, na watu 37 wamefariki dunia. Kuanzia jana hadi leo watu 213 wamekimbizwa hospitali wakiwa mahututi.

Wiki iliyopita serikali nchini humo iliweka tena zuio la kutoka nje (lockdown) kwa wananchi wanaoishi maeneo yanayozunguka mji mkuu wa Antananarivo, kwa lengo la kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya Virusi vya Corona.

My Take;
Vipi ile "sample" tuliyoambiwa inachunguzwa na majibu tutapewa ndani ya wiki mbili? Je wiki mbili hazijaisha au ilimwagwa kimyakimya? Na vp mafuta ya bombadier zetu zilizotumika kwenda kufuata togwa la Madagascar? Wataturudishia? Ma je wale waliosema ile togwa sio dawa wakaitwa mawakala wa mabeberu, je wataombwa radhi? Na vp wale waliokunywa ile dawa kwa tashwishwi, watapewa dawa ya kusafisha tumbo au ndo basi tena?

-----

ANTANANARIVO (Reuters) - Two lawmakers in Madagascar have died of COVID-19 and at least 25 members of parliament and of the senate have been infected with the virus since the first case was confirmed on the island in March, President Andry Rajoelina said late on Sunday.

Madagascar has had 5,080 confirmed novel coronavirus cases since then, and 37 deaths, according the government data.

A countrywide state of health emergency has been in place since March and the authorities re-imposed a lockdown in the capital and surrounding areas last week to contain the virus’s spread.

“One deputy died. A senator died. After the tests carried out on the deputies, 11 members of parliament were detected carrying the coronavirus. At the Senate, 14 people, senators and agents of Senate carry the coronavirus,” Rajoelina said during an appearance on a talk show on national television late on Sunday.

He did not say when the lawmakers died, and did not name them.

Rajoelina also said that he and his family had been taking “Covid Organics”, Madagascar’s self-proclaimed, plant-based “cure” for COVID-19 that was launched in April, despite warnings from the World Health Organisation that its efficacy is unproven.

“It is true that I have been in contact with people likely to carry the coronavirus. I have even entered hospitals that care for patients with Covid-19. I’m fine,” he said.

“I don’t carry coronavirus at all. I have no symptoms. Thank God. I follow the directives that I have given myself. But above all, me and my loved ones, my wife and my children, we drink and we follow a treatment based on the Covid Organics concoction.”
 
Tukiweka Uzi hapa mods wanaondoa, lakini hiyo tabia ni mbaya maana inaendekeza uongo na viongozi kutosema kweli.
Ni ulaghai hata kwenye maisha ya watu.
tapatalk_1594432164330.jpg
 
Is this true?...

Yamekuaje tena hayo? Daktari anafia ICU akihudumia mgonjwa?

Hii haijawaji kutokea!!
 
Jiwe is a failure, total failure! Huyu aliyetumwa simlaumu hata mimi ningelipenda kubembea na Mapanga shaaaaaaaaaaaaaaa na kula mi night ya dollar!
 
Jiwe is a failure, total failure! Huyu aliyetumwa simlaumu hata mimi ningelipenda kubembea na Mapanga shaaaaaaaaaaaaaaa na kula mi night ya dollar!
Ila kila jambo wanalo fail huwa wanajikausha kama hawahusiki vile
 
Corona imeendelea kuleta shida kwa taifa la Madagascar, hasa baada ya wao kugundua dawa ya corona.

Rais wa Madagascar ametangaza kua wabunge 2 aamekufa kwa Corona huku wabunge wengine 25 wakipatiwa uangalizi wa karibu na madaktari baada ya kuugua ugonjwa huo.

Wiki iliyopita mji mkuu wa Madagascar Antananarivo uliwekwa vizuizi vya kutoka nje ili kudhibiti maambukizi mapya ambayo yameshika kasi kubwa

Madagascar's president says two lawmakers have died from COVID-19

===

ANTANANARIVO (Reuters) - Two lawmakers in Madagascar have died of COVID-19 and at least 25 members of parliament and of the senate have been infected with the virus since the first case was confirmed on the island in March, President Andry Rajoelina said late on Sunday.

Madagascar has had 5,080 confirmed novel coronavirus cases since then, and 37 deaths, according the government data.

A countrywide state of health emergency has been in place since March and the authorities re-imposed a lockdown in the capital and surrounding areas last week to contain the virus’s spread.

“One deputy died. A senator died. After the tests carried out on the deputies, 11 members of parliament were detected carrying the coronavirus. At the Senate, 14 people, senators and agents of Senate carry the coronavirus,” Rajoelina said during an appearance on a talk show on national television late on Sunday.

He did not say when the lawmakers died, and did not name them.

Rajoelina also said that he and his family had been taking “Covid Organics”, Madagascar’s self-proclaimed, plant-based “cure” for COVID-19 that was launched in April, despite warnings from the World Health Organisation that its efficacy is unproven.

“It is true that I have been in contact with people likely to carry the coronavirus. I have even entered hospitals that care for patients with Covid-19. I’m fine,” he said.

“I don’t carry coronavirus at all. I have no symptoms. Thank God. I follow the directives that I have given myself. But above all, me and my loved ones, my wife and my children, we drink and we follow a treatment based on the Covid Organics concoction.”
 
Waungwana walinena: mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Ni dhahiri kuwa, katu Madagascar hawajataka kujidanganya. Wanapambana na hali zao vilivyo na kunako changamoto hawana cha kuficha wala cha kufunika.

Huu ndiyo uana-sayansi uliotukuka. Wenye utanzuzi wa matatizo magumu yaikabiliyo jamii yenye kustaarabika.

Pamoja na kupambana vilivyo, dawa yao ikiwamo, leo Antananarivo iko under siege na kinachoendelea kipo hadharani:

Madagascar Cure In The Spotlight Again After Two Lawmakers Die Of Covid-19 - Opera News Official

Kwa hakika Mola na akawajalie hawa waja wake na hii dawa yao.

Ikaweze kuwanusuru wao na sisi, akiwamo yule mjumbe wetu mahiri aliyejiri pande za huko kwao kututafutia sisi wepesi wa namna yoyote ile unaowezekana.

Eeh mola wetu, pokea maombi yetu.
 
TZ tusubiri maambukizi makubwa baada ya mikutano ya CCM huko Dodoma maana si kwa starehe zile!!!! Kungwi mwenyewe, waziri wa afya, hakuvaa hata barakoa ya majani.
 
Tanzania ilienda fata dawa wamerudi nayo hawaja gawa nao wanafanyia utafiti Mzee unaferi wapi labda uulize kama Tanzania tumeanza kuitumia ila tunaendelea kuomba Mungu atujalie neema na kudra zake
 
Back
Top Bottom