Aulizaye si mjinga ila anayejifanya kujua. Mie nauliza tu niweze kujua.
Ukishakuwa Rais unaunda serikali mpya ya baraza la mawaziri wenye sifa za uongozi na elimu ya juu, sababu waziri hawezi kuwa mkuu wa mwenye elimu maradufu yake.
Je, upinzani una wasomi wakutosha kuunda hilo baraza na...