johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,888
- 141,819
Kiukweli kuna wakati huwa nasikitika na kushangaa ninapoona makomredi wanaihofia Chadema na ACT wazalendo.
Katika uhalisia Chadema na ACT wazalendo havina wapiga kura wa kutosha bali vimesheheni mashabiki na wengine ni mashabiki maandazi tu wa mitandaoni.
2015 mzee Lowassa ndiye aliyezibeba Chadema na CUF kupitia UKAWA kwani wale wapiga kura wa Lowassa aliotoka nao CCM ndio waliwapigia na wabunge wa Ufipa pia.
Kwa ufupi ni kwamba sioni sababu za msingi kwa CCM kuhofia wapinzani bali jambo muhimu ni kwa uongozi kushughulika na wapinzani waliopo ndani ya chama.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Maendeleo hayana vyama!
Katika uhalisia Chadema na ACT wazalendo havina wapiga kura wa kutosha bali vimesheheni mashabiki na wengine ni mashabiki maandazi tu wa mitandaoni.
2015 mzee Lowassa ndiye aliyezibeba Chadema na CUF kupitia UKAWA kwani wale wapiga kura wa Lowassa aliotoka nao CCM ndio waliwapigia na wabunge wa Ufipa pia.
Kwa ufupi ni kwamba sioni sababu za msingi kwa CCM kuhofia wapinzani bali jambo muhimu ni kwa uongozi kushughulika na wapinzani waliopo ndani ya chama.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Maendeleo hayana vyama!