Waandishi wa habari kutoka Standard Media Group wamezuiwa kuingia katika event ya Rais William Ruto huko Naivasha wakati wa Second National Education Conference.
Kisa hiki kimeibua mjadala mkubwa kuhusu freedom of speech na haki ya wanahabari kufanya kazi yao bila vitisho au ubaguzi.
Inadaiwa...
07 May 2026
Tafakuri ya Pascal Mayala Kuhusu Uhuru wa Vyombo Vya Habari, Ripoti ya Jaji Chande | Nijuze Podcast
https://m.youtube.com/watch?v=uyaX4VGvwDM
Akitoa maoni yake na uchambuzi wa baadhi ya mambo yaliopo kwenye Vyombo vya Habari nchi na uhuru wake Pascal Mayalla amesema Waandishi wa Habari na Vyombo vya Habari hawatimizi wajibu wao kikamilifu kwa uogo tu na sio kwa vikwazo vya kisheria.
“Sheria yetu ya habari bado ni nzuri, japokuwa ina...
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deogratius Balile amesema katika maadhimio yao wameweka wazi kuwa awakubaliani na ufungiaji wa Vyombo vya Habari, kama JamiiForums, Jambo Tv au vitisho au manyanyaso wanayopata Waandishi wa Habari .
Soma Pia: Maxence Melo: Hali ya Vyombo vya...
Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiAfrica Maxence Melo akizungumza katika kipindi cha Kasri cha Crown Fm amesema hali iliyopo sasa ya Vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari ni mbaya sana
"Waandishi wetu wamefika wakati ambapo uchawa umepitiliza yani kuna Mwandishi mkongwe unatarajia awe wa mfano kwa...
Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo, Paul Makonda wakati akizungumza leo Aprili 30, 2026 katika maadhimisho ya Siku ya uhuru wa Vyombo vya Habari duniani amesema Serikali inawajibu wa kufungua milango kwa vyombo vya habari kupata taarifa sahihi kutoka kwenye vyanzo sahihi na serikali...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Mwenendo wa Uhuru wa Vyombo vya Habari Tanzania unatisha
Umoja wa Haki ya Kupata Taarifa (CoRI) unalaani mwenendo unaoendelea wa baadhi ya viongozi wa serikali, taasisi za umma na vyombo vya usalama kudhoofisha uhuru wa wanahabari na vyombo vya habari nchini...
cori
habari
haki
haki ya kupata taarifa
kupata
na vyombo
serikali
taarifa
taasisi
taasisi za umma
uhuru
umma
viongozi
vyombovyahabari
walaani
wanahabari
Banungu wa 47 Radio kutoka Kenya ujumbe wenu mmeusikia kutoka kwa Msemaji wa Serikali wa Tanzania?
Msigwa Chombo cha Habari kilichopo nje ya Tanzania, kinacho ichafua nchi yetu, na kuwa wa dhalilisha viongozi wetu, Kampeni hiyo haitofanikiwa
Soma Pia: Watangazaji wa Radio 47 ya Kenya wadai...
Wakati anazungumza kupitia kipindi cha Jana na Leo cha Wasafi FM Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania Gerson Msigwa amesema vyombo vya nje ya nchi vipo katika kutete maslahi ya nchi zao
Soma Pia: Msigwa: Ukiona hadi tumefika hatua...
Jamani kuna jambo linahitaji majibu ya wazi.
Mwaka jana TCRA waliifungia JamiiForums kwa takriban siku 90, wakisema ni adhabu. Sawa, adhabu ikaisha. Lakini mpaka leo, ili kuingia kwenye hii platform bado watu wengi wanalazimika kutumia VPN.
Swali langu ni hili: kama adhabu iliisha rasmi...
Korea Kaskazini imerusha makombora kadhaa ya balestiki ya masafa mafupi kuelekea Bahari ya Japani asubuhi ya Jumatano, kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Wakuu wa Majeshi ya Korea Kusini.
Makombora hayo, yaliyorushwa kutokea eneo la Wonsan lililopo katika jimbo la Kangwon mashariki mwa Korea...
02 April 2026
Katika kipindi hiki cha Kivulini Talks, washiriki wamejadili juu ya hali ya vyombo vya habari Tanzania.
https://m.youtube.com/watch?v=gRQFP4i8O_o
Source :: the chanzo
Benjamin Netanyahu katika taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu Iran, Hapa kuna mambo MUHIMU ZAIDI:
-"Natumai naweza kukuambia kuhusu miungano muhimu hivi karibuni".
-"Utawala wa Iran unatarajiwa kuanguka - mapema au baadaye".
-"Tuliunda mabadiliko ya kimkakati - Iran ilitaka kutunyonga, leo...
Wakuu,
Dunia ya sasa ipo kiganjani mwako, lakini je, kila unachokisoma au kusikia ni cha kweli?
Shiriki nasi katika Mjadala wa "Mchakato wa Kuhakiki Taarifa Kwenye Vyombo vya Habari, Unaendana na Kasi ya Kuenea kwa Taarifa Potoshi" kupitia Instagram Live ya JamiiForums.
Mjadala huu...
Kalonzo Musyoka ambaye ni kiongozi wa chama cha upinzani cha Wiper Democratic Movement na aliyewahi kuwa Makamu wa Rais wakati wa uongozi wa Mwai Kibaki, amesema wanafanya uchunguzi juu ya mauzo ya hisa yaliyofanyika hivi karibuni kwenye taasisi ya Nation Media Group kwa bwana Rostam Aziz...
Kiukweli nmeshangaa sana, leo ndio nimejua Denis ssebo wa EFM kumbe kafariki tokea jana? Duh! Nimepita sehemu wameweka TVE ndio nikaona.
Imekua ngumu sana kujua maana ni muda mrefu sana sifollow page za tanzania, sisikilizi radio,channel naangalia za movie na za habari naangalia za Kenya,fox...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu gazeti la Mwananchi la leo.
Wiki iliyopita, mwandishi wa makala hizi, alifanya kosa moja, akaliombea msamaha, lakini bado aliadhibiwa kwa adhabu mbili tofauti, kupitia sheria mbili tofauti, chini ya mamlaka mbili tofauti, zilizo chini ya wizara mbili tofauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.