Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na vyombo vya habari, tarehe 17 Novemba, 2025, Ikulu Chamwino, Dodoma.
https://www.youtube.com/live/SxXTD_EHUIE?si=q_ZLZCQITfKe2mN-
Serikali kupitia Idara ya Habari Maelezo imesema taarifa iliyosambaa ikidai kuwa wanafunzi 309,986 hawajulikani walipo ni potoshi.
Kwenye ujumbe wao, Maelezo wamesema kwamba idadi hiyo ni ya wanafunzi walioacha shule baada ya kukagua majina yao ya kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka 2022 na...
Mbona vyombo vya habari haviripoti kanusho la wizara ya afya kama ni Ai.
Vyombo vya habari vya ndani vinaripoti tu maridhiano sasa tujiulize ni maridhano ya nini ? inamaana hawajui kinachoendelea.
Jioni hii ya leo tarehe 14.11.2025 nilikuwa nasikiliza redio one stereo waliokuwa wamejiunga na idhaa ya kiswahili BBC kwa matangazo yao ya jioni
BBC wameruhusiwa kuelezea hotuba ya Rais na habari nyingine nyingine lakini ilipofika hatua ya kutaka kusikia maoni ya makamu mwenyekiti wa CHADEMA...
Katika hotuba ya Rais wa Jamuhuri ya Muugano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Novemba 14, 2025 akihutubia bunge la 13 amesema Serikali yake itaendelea kulinda uhuru wa vyombo vya habari iliwatanzania aweze kupata haki ya taarifa za ndani na nje ya nchi
Pia amesema wataendelea kutambua...
Inasikitisha media zote kuanzia Television stations, magazeti na online TV msiripoti Hata kifo kimoja kwa vurugu za uchaguzi?
Al Jazeera wanatangaza watu zaidi ya 10,000 wameuliwa ila bongo kimyaa!. Hakika hii dhambi mtailipa. Pesa zitakwisha, Watanzania watabaki washindi
Vyombo vya habari nchini Tanzania, kama ilivyo katika nchi nyingine nyingi zinazofuata mfumo wa kidemokrasia, vina jukumu muhimu la kuhabarisha umma, kuelimisha, kuburudisha, na kufanya kazi kama mlinzi wa maslahi ya umma (The Media and Democracy). Jukumu hili linakuwa muhimu zaidi wakati wa...
THE SECRET BEHIND KENYA’S ROLE IN FUELING UNREST IN TANZANIA UNDER THE GUISE OF FIGHTING FOR DEMOCRACY.
By Dr. Geus Mbadika Nyaisanga
Dar es Salaam, Tanzania
The General Election of the United Republic of Tanzania, held on October 29, 2025, marked another historic chapter in the country’s...
adui
democracy
fighting
habari
kelele
kenya
kuhusu
kupiga
mitandao
mitandaoni
mpango
na vyombo
sehemu
siku
tanzania
tarehe
tarehe 29
uasi
uvamizi
vyombovyombovyahabari
waasi
wakenya
Wakuu natamani vyombo vyetu vya habari ujumbe huu uwafikia pia.
Kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Leo XIV kupitia ukurasa wake wa X amevitaka vyombo vya habari haviwezi na havipaswi kujitenga na ukweli.
===
"The media cannot and must not separate itself from the destiny of truth...
Vyombo vya habari vinapaswa kuwa huru katika kutoa taarifa kwa wananchi wote. Kwa jinsi mwenendo wa hali ulivyokuwa tangu kuanza kwa kampeni mpaka kutokea mauaji ya halaiki kwa raia, vyombo vya habari vimehusika kwa kiasi kikubwa, Damu hii iliyomwagika ardhini itawalilia milele.
Vyombo vya...
Vyombo vya habari visivyotangaza maandamano sisi wenye hii nchi tutavifuta kwenye ramani.
Naona vyomba vya kimataifa tu sio ITV wala TBC tukiwaondoa wahuni wakatafute nchi ya kuwatangazia wananchi tumesema
Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa unatarajiwa kufanyika kesho, Oktoba 29, 2025, ikumbukwe Tume ya Uchaguzi ilipuliza kipyenga cha kuanza kampeni za wagombea wa urais zilizodumu kwa zaidi ya miezi miwili, ni vyema kwa ufupi tukamulika kipindi hiki ambacho kinahitimishwa leo...
Zikiwa zimebaki siku mbili kabla ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, ghafla anaibuka mwanasiasa ambaye pia ni Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima na kutoa msisitizo wa baadhi ya mambo yanayoendelea kuelekea uchaguzi mkuu.
Katika hotuba yake...
Kamati ya Wataalamu wa Masuala ya Habari Zanzibar (ZAMECO) inasikitishwa na hatua ya Tume ya Utangazaji ya Zanzibar kutoa taarifa inayoweka orodha ya Vyombo vya Habari vya Mtadaoni inavyovitaja kuwa vinafanya kazi kinyume cha sheria ambayo Tume hiyo inaisimamia na kutishia kuvichukulia hatua...
Wakuu wa vyombo vya habari na wahariri waandamizi nchini Tanzania wamekutana leo oktoba 25, 2025 katika jengo la Millenium Tower Jijini Dar es Salaam na kuzungumza na watanzania kupitia vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu oktoba 29, 2025.
Tukio hilo lilikuwa na dhumuni la kuwakabidhi...
Mwalimu Uzima Mkufunzi wa masuala ya amani kutokea Baraza Kuu la Waislama Tanzania (BAKWATA) amewakumbusha viongozi wa dini na wananchi juu ya uzalendo wa mtanzania ni kupiga kura huku akipita kwenye vitabu vya dini na maandiko matakatifu hakuna kitabu kilionekana kikipingana na serikali hivyo...
Hii teka teka na chukua chukua isiyofuata taratibu na kisha hii ya hayuko huku hatujui alipo, haina afya kwa Taifa letu
Hili Taifa si la wachache, ni letu sote likiharibika hatuna lingine tena. Kwa macho ya kawaida kabisa kuna kundi limejipanga kutuharibia nchi na kwa bahati mbaya hili kundi...
Vyombo vya Habari ikiwemo Tv, Radio na Magazeti chaguo ni leo kukubali kufa ama kuishi, kuishi kwenu ni kuacha unafiki
Chaguo ni lenu wenyewe mchague kufa kwa kupuuzwa na Wananchi, itafikia mahali hata gazeti moja halitanunuliwa tena
Itafika mahali hakuna Mwananchi atatizama Channel zenu...
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ruangwa, George Mbesigwe, amevitaka vyombo vya habari kufuata sheria, kanuni na maadili ya taaluma zao wakati wa kipindi cha uchaguzi, akisisitiza kuwa ni muhimu kutoa taarifa kwa ufasaha, uwiano na bila upendeleo.
Akizungumza leo Oktoba 22 katika kipindi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.