Wakuu,
Jana Vodacom system ili crash mida ya jioni. Kuna transaction nilifanya mida hio. Sasa nikasubiri labda meseji itarudi hakuna meseji iliyorudi mpaka leo muda huu hakuna meseji hakuna maelezo yoyote hakuna chochote nilichoambiwa km mteja kuanzia jana mida ya saa 11 jioni system ilifeli...