Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021.
Nyaraka: Vina Hatimiliki.
Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa.
Gharama za kwenda kuona...
Sisi kama serikali na sisi kama wadau wa maendeleo tunawakaribisheni katika hafla ya kuupokea Mwenge wa uhuru hapa jijini Mwanza utakaopokelewa na kulala hapa viwanja vya Nyamhongolo .
Kila kitu kitakuepo kama
●Pombe
●Nyama choma
●Wazee wa pisi hapa ndo kwenyewe ila tumia mpira
●Na burudani za...
Kuelekea mchezo wa michuano ya CHAN kati ya Taifa Stars dhidi ya Morocco utakaochezwa leo Agosti 22, 2025 katillka dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam, Mkuu wa mkoa huo Mhe. Albert Chalamila ametangaza zawadi na motisha zitakazotolewa na uongozi wa mkoa kwa kishirikiana na wadau mbalimbali ili...
VIWANJA VINAUZWA
Kibaha Kwa Mathiasi Nyumbu Jeshini 20x20 Milion 7
Kibaha Maili Moja Mwanalugali 20x20 Ml 7
Kiluvya Kwa Komba 20x20 MLN 16
Kibamba Kibwegere Kwa Kinega 20x20
Milion 7
Kiluvya Madukani Vya Km 3-5 Milion 8
Karibuni Wadau wa Ujenzi
0775 179905
Viwanja vinauzwa bunju mabwe pande
Vipo kwenye eneo la ekari 1
Umeme na maji yamefika site
Vinakatwa ukubwa kuanzia
Mita 20x20 bei mln 4.2
Mita 20x25 bei mln 4.5
Mita 20x30 bei mln 5
Pia size unayotaka utauziwa
0775 179905
Hivi ni Mikoa gani inaongoza kwa kuwa na ARDHI ZA BEI NAFUU ( MASHAMBA kwa ajili ya KILIMO NA VIWANJA kwa UJENZI WA NYUMBA )
Ukinitajia top 3 yako inatosha .
Kigamboni Puna
Site cleaning Jamani ndugu wateja
Site imenyooka sana hii usafi on point
Barabara zimechongwa
Alafu bei sasa ni kitonga sana
Usichelewa ukakuta sold out
Tunawajali ndio maana tunawapa vitu bora
SQM moja cash 7500
SQm moja installments 9500
Unaweza kuanza na 350000 tsh...
Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni inawataarifu wamiliki wa viwanja vya matumizi mbalimbali ndani ya Manispaa hiyo kufanya usafi kwwenye viwanja vyao ndani ya siku saba (7) tangu leo Agosti 07, 2025.
Taarifa iliyotolewa na Kaimu Mkuu Kitengo cha Mawasiliano wa Manispaa imesema kwamba baada...
Kigamboni PUNA ya MOTO🔥🔥🔥
Karibu blchomes estates ujipatie viwanja maeneo ya kigamboni Puna
✅PUNA BEACH PLOT
Mita 650 kutoka site mpaka beach
20,000 kwa sqm 1 malipo ya cash
Unaweza kuilipa ndani ya miezi 3
22,000 kwa sqm 1 malipo ya kidogokidogo
Unaweza kuilipa ndani ya miezi 15
✅PUNA...
I will be short
our current president is cause of failures of chan and afcon to host more games in tanzania. kenya is hosting twice the number of games as us.
With an unvisionary president for 2027, we could have solved the field problems in our league as AFCON offers us the opportunity to...
Ndugu zangu habari.
Kwa wazoefu naombeni mtujuze ni ipi njia bora ya kununua viwanja katika mkoa wa Arusha kati ya zifuatazo.
1: Manispaa / ofisi za ardhi
2: Kwa mtu binafsi
3: madalali au makampuni yanayojihusisha na kuuza viwanja.
Asanteni
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021.
Nyaraka: Vina Hatimiliki.
Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa.
Gharama za kwenda kuona...
Je, umekuwa ukitafuta kiwanja kwa Ajili ya makazi au biashara maeneo ya Makongo juu, Goba na Madale? Viwanja vyenye ukubwa tofautii tofautii vizuri vinapatikana kwa Bei nzuri kulingana na maeneo hayo.
Makongo juu:
Sqm 500 70m.
Sqm 500 75m
Sqm 600 120m
Sqm 300 40m.
Goba
Kuanzia 30m na...
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021.
Nyaraka: Vina Hatimiliki.
Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa.
Gharama za kwenda kuona...
Flavian Methew Nyandikuu
Mzee Flavian Methew Nyandikuu (85) Mkazi wa Mwenge Mlalakuwa, Mtaa wa Nyendikuu Jijini Dar es Salaam amelia na Ofisi ya Kamishina wa Ardhi Mkoa wa Dar kwa kushindwa kumilikisha ardhi yake kwa zaidi ya Miaka 40 sasa ambapo kila akienda katika ofisi hizo kudai haki yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.