ZAIDI YA VIWANJA 7,550 VIMEPIMWA
Katika kipindi cha mwezi Julai, 2024 hadi Februari, 2025, Programu ya Kupanga, Kupima na Kumilikisha ardhi imepima viwanja 7,550 katika Mikoa ya Morogoro, Tanga, Kilimanjaro, Dodoma na Njombe.
Kwa upande wa upangaji wa miji, michoro ya mipangomiji yenye...