vita

Nușeni (Hungarian: Apanagyfalu; German: Großendorf) is a commune in Bistrița-Năsăud County, Transylvania, Romania. It is composed of seven villages: Beudiu (Bőd), Dumbrava (Nyírmezőtanya), Feleac (Fellak), Malin (Almásmálom), Nușeni, Rusu de Sus (Felsőoroszfalu) and Vița (Vice).
At the 2011 census, 74.4% of inhabitants were Romanians, 25% Hungarians and 0.5% Roma.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania NIULIZE SWALI: Hii vita ya USA, Israel vs Iran, nani mshindi?

    Mbabe ni nani? Naona kama vile Iran anawapelekesha puta hawa magwiji wa kila kitu duniani! WHO IS THE WINNER Echolima1
  2. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Brigedia Mohammad Naghdi amesema Vita ikirejea tutawapiga kwa makombora mapya, yaliyotengenezwa mwezi huu?

    Kumekuwa na chapisho linalosambazwa na watumiaji wa mtandao wa Facebook likidai kuwa Mohammad-Reza Naghdi, Kamanda Mwandamizi wa jeshi la Iran, amesema: “Marekani haina cha kutupangia. Tunazalisha makombora kila siku, na yapo mengi bila kupumzika. Ikiwa vita itarejea safari hii, tutahakikisha...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Trump alazimisha mazungumzo na Iran

    Kwa mara ya kwanza tangu ktk historia Rais wa Marekani amekuwa akiongea kila dakika. Leo anazungumza hivi kesho hivi. Leo ameomba mazungumzo tena na Iran
  4. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Bunge la Iran limetangaza kuongeza mishahara April 2026, kwa wafanyakazi baada ya vita

    kumekuwepo na chapisho ambalo limechapishwa na baadhi ya watumiaji wa mitandao ya facebookk wakiwa na ujumbe unao nukuu kuwa bunge la iran limetangaza kuongeza mishahara baada ya vita katika chapisho hilo ambalo lina nukuu inayosomeka "Baada ya Bunge kuidhinisha sheria mpya ya Malipo kada ya...
  5. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ulimwengu Umeundwa Mahususi kwaajili ya ku support Uhai kama mtu anavyotengeneza banda kisasa ili kuku wakae ?. Vita kali dhidi ya atheist Ep2

    ‎ulimwengu una mipangilio sensitive kama frequency ya redio ( ambapo ukibadikisha kidogo tu huipati channel hiyo ) ambapo kama ulimwengu ungekuwa tofauti kidogo tu hata kidogo sana uhai usingewezekana kabisa. ‎ ‎Mfano mmoja tu wa kuelewa: ‎Nguvu inayoshikilia atom pamoja inaitwa strong...
  6. MALCOM LUMUMBA

    JamiiForums Tanzania The New York Times: Vita inaligeuza taifa la Iran kuwa kubwa duniani

    Professor Robert Pape msomi nguli kabisa wa sayansi ya siasa, hasa siasa za kimataifa kutoka chuo kikuu cha Chicago nchini Marekani anaandika. Huyu msomi amefanya tafiti kuhusu mahusiano ya Iran na Marekani kwa miaka zaidi ya 25 na aliwahi kutabiri huko nyuma kwamba endapo Marekani atavamia Iran...
  7. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Vita Kali Dhidi ya Atheists Season 1, Episode 1: Kwanini Kilamtu anajua "hiki ni kibaya au kizuri," bila makubaliano yeyote ?

    Fikiria mtoto wa jirani yako mdogo, hana kosa alafu mtu mkubwa anamtesa kwa starehe zaake tu. Jibu kwa uaminifu hilo ni baya, au ni opinion yako tu? Kama ni opinion yako tu basi mtu anayesema 'kwangu ni sawa sio vibayya' hana makosa. anakua ana opinion tofauti tu. Lakini hakuna mtu hapa...
  8. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Vita ya IRAN basically lengo kumuumiza CHINA

    Katika vita zote marekani hua anaingia na lengo tafauti na jinsi anavotaka ulimwengu waamini, kwa mfano MADURO alitolewa madarakanikwa sababu anauza mafuta kwa china, IRAN ndo muuzaji mkubwa wa mafuta kwa CHINA Ukiangalia vita zingine kwa mfano IRAQ kisingizio ni "WEAPONS OF MASS DESTRUCTION"...
  9. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Israel haikushiririkishwa katika makubaliano ya kusitisha vita baina ya Marekani na Iran, hadi kufikia hatua za mwisho

    kumekuwepo na chapisho ambalio limesambazwa na chommbo cha habari cha Mwana habari kikiw na kukuu ya kuwa Israel hajafurahishwa na makubaliano ya kusitisha vita baina ya Marekani na Iran huku Israel === Israel haikujulishwa kuhusu mpango wa Marekani wa kufikia makubaliano ya muda ya kusitisha...
  10. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Vita ina mahesabu siyo kupiga ovyo

    Habari wandugu.... Nafikiri wa kuona wameona na wakujifunza wamejifunza kuhusu vita ,vita ni nini tuanzie hapo kwanza. Vita ni matokeo ya pande mbili tofauti kujenga uadui na chuki ndani ya mioyo ya wahusika. Chanzo huenda pande moja kuanzisha mashambulizi ya ghafla vita huwa haipangwi kwamba...
  11. Ritz

    JamiiForums Tanzania Iran yasema Marekani inakubali mpango wa pointi 10 wa kukomesha vita

    Wanaukumbi. Iran ilisema mapema Jumatano kwamba Marekani "kimsingi" imekubali pendekezo la pointi 10 linalolenga kukomesha vita, kulingana na ripoti za mtandao wa Utangazaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) unaoendeshwa na serikali. Baraza Kuu la Usalama wa Kitaifa la Iran lilisema katika...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Changamoto zinazotokana na vita Iran ni Fursa kwa waTanzania wanaonyanyaswa

    Nitaandika kifupi sana:ili nawe nikupe muda wa kutafakari. Kama kuna wakati sahihi wa kujikwamua toka kwa watawala dhalimu waliojitwalia madaraka kwa mabavu, wakati huo ni sasa dunia ikiwa katika hatihati ya matatizo yatokanayo na vita; kama vile changamoto za kiuchumi. Baadhi ya mataifa...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Iran kuwaambia raia kukaa kwenye vinu vya nishati na madaraja kuzuia mashambulizi ya Amerika ni kiashiria kikubwa vita imeshaisha

    Hamjambo! Iran amedhihirisha hana plan tena yoyote ya maana ya kulinda taifa lake. Yaani adui anakutishia kukushambulia unatoa mkeo na watoto ati wakae mbele ili kumzuia adui asipige. Kwa kweli hii haikutegemewa kabiss. Iran amejitahidi kuonyesha uwezo alionao kupinga dhulma ya Mayahudi na...
  14. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran: Marekani Itaiangamiza Iran Kwa Ajili ya Hormuz?

    https://youtu.be/X1lTFztINMU?si=7dpeVSJFhmqMFfcX
  15. A

    JamiiForums Tanzania Haiwezi kutokea hata kidogo urusi ,china , na korea kuingiza raia wao katika vita vya nuclia kisa iran

    Kuna watu wana comment kwa post hii kuwa usa akimpiga iran kwa nuclia sijui urusi, china , korea zitajibu Thubutu hakiwezi kutokea icho zaidi sana ni malalamiko urusi ,china na korea watalaumu usa sio kumshambulia maana katika hawa hakuna ambaye atakuwa tayari kupoteza raia wao pia kwasababu...
  16. A

    JamiiForums Tanzania America na Israel Wanetangazia Dunia Nzima Iran KawashiNda Vita

    Unapo ona taifa lolote limeanza kupiga Energy Infrastructure, Bridges, kiujumla miundombinu ujuwe limeisha zidiwa au yamezidiwa. Ukifatilia hi vita tokea mwanzo wao wakipiga civilian target Iran anapiga na yeye kulipisha walicho kipiga mfano power station na yeye anapiga vile vile lakini...
  17. C

    JamiiForums Tanzania Uhalisia wa maisha ya Israel kipindi hiki cha vita

    Mimi ni mmojawapo wa Vijana wa Kitanzania niliyepo Israel nikiwa ni mnufaika wa Programu ya kuongeza ujuzi kwa Ufadhili wa Serikali ya Tanzania. Tupo vijana wa kitanzania zaidi ya 100 ambao tumewezeshwa na Serikali yetu tukufu tukiwa na taaluma, ujuzi na fani mbalimbali na baadhi ni watumishi...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Waafrika ni nyani tunaoelekea kuwa binadamu. Kama unabisha Tazama vita ya Israel na Iran

    Israel ni taifa dogo sana sawa na mkoa wa Morogoro kila siku wanarusha ndege kwenda Iran na Wanarudi, Kila siku makombora yanaanguka kwenye miji yao lakini umeme, maji, mafuta na huduma zote za kijamii haziathiriki. Tanzania na Waafrika tuna mataifa makubwa yanakila kitu lakini hata vyanzo vya...
  19. Ritz

    JamiiForums Tanzania Iran yakataa usitishaji vita wa muda uliopendekezwa na wapatanishi wa Pakistan

    Wanaukumbi. 🇺🇸🇮🇷 Iran yakataa usitishaji vita wa muda uliopendekezwa na wapatanishi wa Pakistan Afisa wa ngazi ya juu wa Iran alisema Tehran haitafungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz kwa kubadilishana na usitishaji mapigano kwa muda na anaamini kwamba Marekani "haina utayari wa kusitisha...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Yupi ni ripota wako bora hapa kwetu unaemkubali katika vita zinazozungumziwa zaidi duniani?

Back
Top Bottom