Tuelewane
CCM ndiyo huamua inflation na siyo vinginevyo
CCM ndiyo huzuia mzunguko wa fedha
CCM ndiyo inayoamua wapi umeme uende na wapi usiende
CCM ndo huamua upatikanaji wa maji na hususan kata kata ya maji
CCM imejionesha kwenye sakata la TotoCard za NHIF
CCM imejionesha vyema kwenye mkataba...