viatu

  1. Yoda

    Trump awalazimisha viongozi wateule wake kuvaa viatu vya brand anayoipendelea

    Inasemekana Trump ameweka msisitizo kwa viongozi aliowateua kuvaa aina ya vitu anayoipendelea zaidi vya brand ya Florsheim. Inasemekana viongozi wengine hadi anawanunulia hivyo viatu anawatumia kama zawadi ili kuwapa presha ya kuvaa. Marco Rubio ameonekana akiwa amevaa aina hiyo ya viatu...
  2. Pdidy

    Kitunguu Saumu kinamsaidiaje mtu aliyeathirika na kujichua?

    KITUNGUU SAUMU kinamsaidia vipi muathirika wa nyeto 👇🏼 Kitunguu saumu kina allicin, kiambata kinachosaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye viungo vya uzazi. Kuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye uume ni sababu kubwa ya kuongeza stamina ya kufanya mapenzi. Sifa kuu za kitunguu saumu zinazokifanya...
  3. Genius Man

    Watu leo wakiasi uwezi kwenda kuwafungulia kesi za uhaini wakati wewe mwenyewe umewauwa ndugu zake wengi

    Watu leo wakiasi uwezi kwenda kuwafungulia kesi za uhaini wakati wewe mwenyewe umewauwa ndugu zake wengi. Wewe ndio muasi na yeye ni mtetezi na mpigania haki huwezi kushinda hiyo kesi lazima utaulizwa umeuwa watanzania wengi na kuteka hadi maiti kwa sheria gani ?
  4. nzalendo

    Nilianza kumuona Kyela akiuza viatu vya mitumba, wiki iliyopita nilikutana nae uwanja wa ndege

    Baadae nikakutana nae kwenye minada ya Shinyanga...Tinde...nikiwa na Grinaker LTA Kampuni ya ujenzi wa barabara, Baadae huyu mwamba akawa analeta mbuzi vingunguti....wakati huo sisi tunakula pombe pale relini... Mwamba kanunua lori kubwa kwa ajili ya biashara zake za kununua mikoani na kuuza...
  5. L

    Naomba kufahamishwa hili kuhusu biashara ya viatu

    Habari ndugu zangu, Naomba ushauri juu ya jinsi ya kununua viatu vya wanawake vyenye ubora kutoka China kuja Tanzania kwa bei nzuri. Je, kuna mtu yeyote mwenye mawasiliano ya wauzaji wa kuaminika au mawakala wa mizigo (cargo)? Ushauri wowote utathaminiwa sana. Asanteni
  6. S

    Vaa viatu vyangu halafu chagua cha kuanza nacho...!

    Salamu ndugu wana JF Moja kwa moja kwenye mada. Chukulia kwamba Mungu amekupa uwezo wa asili wa kufundisha na katika kuishi kwako umegusa watu kwenye maeneo mawili muhimu: 1. Elimu ya kitaaluma 2. Elimu ya Kiroho(Uponyaji kupitia Injili ya Yesu Kristo,hapa kuna ambao wameponywa magonjwa...
  7. Econometrician

    Karibu tujadili fact za kisiasa: Kwa kujiweka katika viatu vya Rais wetu

    Tuanze na swali,Je political strategy aliyotumia kushinda uchaguzi huu ilikuwa sahihi au haikuwa sahihi?? na kwa nini? Maoni yako yazingatie fact zifuatazo;- 1.Dhamira ya mgombea ilikuwa ni lazima kushinda katika uchaguzi na kuendelea kuwa Rais; 2.Tukumbuke tayari alikuwa na model ya...
  8. pelani

    Viatu vya ngozi vya kiume

    ✨ Handmade Leather Shoes (Premium Quality) ✨ 📌 Imara, zinadumu muda mrefu — perfect for everyday & office wear 🥿 Available Sizes: 40 • 41 • 42 • 43 • 44 • 45 🎨 Colors: Brown & Black 💰 Price: 45,000 TSH tu 🛠️ Kila pair inatengenezwa maalum kwa oda yako — ndani ya siku 3 unapata viatu vilivyo...
  9. ngara23

    Tuvae viatu vya Rais Samia, tumpe ushauri Kwa upole bila mihemko

    Rais Samia amekiri kuwa amekutana na Yale ambayo hakuyatarajia Naamini Rais wetu amezungukwa na watu ambao sio sahihi 1. Watu wengi wamekufa, hakutarajia, nafsi inamsuta hana amani 2 Ulimwengu wa technology unamuumbua, hakuna Siri anaweza kuficha 3. Taasisi na wahisani wa kimataifa...
  10. D

    Muhaho wa Samia: alitaja taasisi zote zitakazomtembeza na viatu kichwani akashindwa kuitaja ICC

    Wote mmemsikia na mmemuona hata alivyokuwa akizungumza huku hawezi hata kuwatazama wajumbe wake wa tume yake ya mchongo. Soni kama yote na huku alijikuta yeye mwamba kuua watoto wadogo katika namna ya kihalifu kabisa. Yan huyu ni mhalifu sugu. Na mimi swali moja najiuliza kwanini alilenga kuua...
  11. S

    Natafuta vijana wa kutembeza viatu grade one vya mtumba pamoja na mashati ya kiume

    Kama kichwa Cha habari kinavojieleza ukiwa ni kijana njoo tufanyie kazi. Mimi napoint viatu karume na mashati ya kiume na Sasa natafuta mtu ambaye anachukua mzigo kwangu anauza faida tunagawana nusu kwa nusu. Ishu hapa huhitaji mtaji ila inahitaji uaminifu na moyo wa kufanya kazi kutafuta...
  12. A

    KERO Arusha kumekuwa na tabia ya wauzaji wa Vitu sana sana Viatu na nguo kuwauzia wateja vitu feki

    Hii imenikuta mimi nikiwa Arusha kuuziwa Viatu feki. Niwaombe mamlaka ya Mapato Tanzania TRA mkoa wa Arusha wafanye uchunguzi kwa wauzaji wa viatu maeneo ya kariakoo ya Arusha. Wauzaji tukiwaambie watupatie risiti hawafanyi hivyo badala yake wanatuzungusha na kuwa hawatoi. Ukijaribu kufuatilia...
  13. Brain Kingdom

    Ukiona unapoishi kuna demu single asipokuwa na mwanaume ndani anaacha viatu nje na kuna siku huoni kitu anauza ila hamjui code

    Iko hivi mademu single au wanachuo wajanja kwa sasa wana code zao za kuita wateja, mojawapo ndio hio ukiona demu anaacha sana viatu na sendo nje ya mlango wake hio ni taarifa kuwa yupo na mnakaribishwa, unatakiwa ujiongeze ndio imeisha hio, na sio ajabu kuna siku hamtaona kitu hapo mlangoni basi...
  14. Miss Natafuta

    Pata viatu vikali vya kiume hapa

    Nauza viatu vizuri vya kiume Mikoani tunatuma kwa uaminifu na tra Kodi tunalipia kwa uaminifu mkubwa Kiatu namba moja hapa Bei 90,000 tu namba 40 Hadi 46
  15. B'REAL

    VIATU vya kikeee karibuni(michuchumio)

    Habari wanajamvi...nimewaleta page ya viatu vya kikee grade 1 kabisaa mtumbaa,bei zetu ni safi kabisa @25000,viatu havina kipengelee tajirii....labda ujenacho wewe.
  16. bob_fundi

    Naombeni kufahamu kuhusu biashara ya kuuza viatu vya kiume

    Habari wana jf, poleni na majukumu Naombeni kufahamu kuhusu biashara ya kuuza viatu vya kiume . Mm natamani sana mwaka huu kwanzia mwezi wa kumi kufanya biashara ya viatu vya kiuwe nilikuwa naomba anaye fahamu biashara hii kwa kina anipe 1&2 kuhusu biashara . 1.Natamani kujua zaidi kuhusu...
  17. Setfree

    Kwanini Wakristo hawavui viatu wakiingia Kanisani? Mbona Musa aliambiwa avue viatu?

    Katika kitabu cha Kutoka 3:5, Mungu alimwambia Musa: "Usikaribie hapa, vua viatu vyako miguuni, maana mahali unaposimama ni ardhi takatifu." Kwanini basi Wakristo wa leo hawatii agizo hilo la kuvua viatu wanapoingia kanisani, ilhali Musa aliambiwa hivyo? Sababu ya Musa kuambiwa avue viatu...
  18. W

    Mfanyakazi wa duka la viatu

    Anahitajika mfanyakazi mdada wa duka la viatu , duka lipo mwananyamala , Awe anauwezo wa kutumia mitandao kujitangaza na pia awe mchangamfu . Mshahara kuanzia 150K . SMS /whatsapp 0754200363
  19. fact only

    Fremu ya kuuza viatu kariakoo

    Habari wakuu . Kama unahitaji kufanya biashara ya viatu kariakoo Kuna fremu inaachiwa Kwa sh 500,000 Kwa mwezi imebaki miezi Saba. Mwenyewe anahamia Dodoma hakuna kilemba. Ni kariakoo Mtaa wa muhonda (Msimbazi na muhundo opposite jengo la DDC) karibu.
  20. Yoda

    Kwa nini watu huwa wanatakiwa kuvua viatu kwenye scanners za ukaguzi Airport?

    Kwa watu wanaofahamu masuala ya usalama, Kwa nini watu hutakiwa kuvua viatu kwenye scanners za viwanja vya ndege wakati wa ukaguzi wa kuingia ndani ?
Back
Top Bottom