Salaam,
Wakati mgambo wakikesha kumtafuta,
Simba yule bila woga, Jana aneungana na waombaji na maombi yakaendelea kama kawaida mchana kweupee!
Ni kama tu nabii Elia, aliweza kutokea bila woga mbele ya Mfalme Ahabu Kisha akapotea asionekane popote.
NB: Usiogope, Usiogope, Usiogope, Usiogope...