Mh Luaga Mpina , Tangu Enzi na Enzi wewe ni MTU Haki, unaijua Haki na Kusimamia Haki.
Haijawahi kutokea ulimi wako ukafurahia Maovu !!.
Kama ambavyo Vyeo huja na Kupita, Ndivo ambavyo unatakiwa Ulichukue Hilo yaaani Uwe tayari kupoteza Ubunge.!!.
Sasa Uchaguzi ni Mmoja tu, Ukawa Kimya bado...
Kuwa rais mstaafu kuna dhima kubwa. Haitoshi tu kuwa mualikwa kwenye shughuli na kukaa high tables za mialiko mbalimbali basi hiyo ikawa sababu ya roho yako kuwa kwatu. La hasha kuna dhima ya kuhakikisha nchi hii inakuwa ya haki zaidi kila siku, inayostawi zaidi kila siku.
Kwa kweli mimi kila...
Nimemfuatilia hotuba zake sioni hoja za msingi wala sera zenye tija kwenye nchi yetu.
Raisi hana uwezo wa kuongelea au kukemea mauwaji na utekaji na ufisadi yeye anaonekana kuwatetea watu hao na kurusha lawama kwa wanao shauri na kukemea mambo hayo.
Nashauri raisi samia asigombee miaka mingine...
Kumekucha!
Muda mchache uliopita Kamati ya Bunge la Senate la Marekani limetoa tamko zito la kushtushwa na hali ya kuongezeka vitendo vya utekaji na uteswaji wa watu vinayotokea Afrika Mashariki hasa nchini Tanzania.
Mungu wabariki Wazungu. Waje kutusaidia kuwaondoa hawa wakoloni weusi.
God...
Hata itokee anahubiri vipi Amani, hata itokee anajua Kuongea na kuvutia, Hata itokee anatoa Misaada katika Jamii, IKIWA kinywa chake ni kizito kukemea UTEKAJI NA MAUJI.
Huyo ahesabiwe kama Adui wa TAIFA hili.
Mfumo Mbovu wa Uchaguzi na Katiba mbovu vimetuletea viongozi wasiofaa waliotetea matendo ya utekaji, utesaji na ubakaji wa wageni tena Bungeni, matukio ambayo yametangazwa duniani kote. Tumejionea wenyewe bungeni jana.
Sasa Gen Z wa Kenya wamekuja na Mpya. Wanaitangazia Dunia Tanzania sio...
Kwa walio onyeshwa account ya IGP ya CRDB yenye zaidi ya billion moja wakati Polisi wenzake wakiwa maskini msishangae. Pesa nyingi sasa zinatumika kwa kubana wapinzani na uhuru. Ili kufanikisha hayo hawa viongozi wa usalama wanamiradi ya kipigaji isiyo na mbele wala nyuma. Kwa ufupi hii...
Linapokuja suala la ukatili, viongozi wa kike wameonesha roho mbaya za waziwazi kabisa!
Michango ya wabunge inatia simanzi!
Kushangilia utekaji na mauaji ni ishara ya juu kabisa ya uchawi!
Kama kuteka ni suruhisho hatuna budi kuwa na mahakama na magereza.
Viti maalum vimeonesha waziwazi siyo...
Imekuwa kawaida Sasa. Mtu akitoka akasema Polisi inateka au inanyamazia utekaji badala ya Polisi kujibu CCM ndo wanaibuka kujibu.
Mtu akisema vyombo vya Dola cinanyamazia utekaji CCM wanaibuka kupinga na kuleta mifano ya 1983.
Sasa tokeni hadharani atuambie tuache kuvisema vyombo vya Dola...
MSIMAMO WA SISI WATIBELI KWENYE SIASA ZA NCHI YETU.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinipigia Simu, kunitumia jumbe kwa njia za meseji ya kawaida au kupitia pm za mitandao ya kijamii, wakihitaji kujua msimamo wangu na msimamo wa Watibeli kwenye siasa za nchi...
Leo nilitarajia kwenye wasilisho la bajeti ya wizara ya mambo ya ndani, wabunge wangekemea masuala mbalimbali ya utekaji na kupotea kwa baadhi ya raia, lakini sijasikia.
Nani atatutetea sasa jamani?
Niseme tu baaaaaasi, Tumekwisha!!
Well presented with illustrative cartoons to drive the points home.
Msikilize dakika kama kuanzia dakika ya 20 za mwanzo
Mwanzo: Dakika ya 20:22
Mwisho: Dakika ya 37:26
https://youtu.be/F2RbjppeaKc
This is too much, hata kama ni ulevi wa madaraka hii imepita kiasi.
Mzanzibari akipata madaraka huwa wana dharau sana hata Samia aliwahi kuwaita Watanzania mbwa wapumbavu.
"Tuwaambie vyombo vya ulinzi na usalama kuna kenge wa ndani halafu kuna kenge wa nje. Shughulikeni na kenge wa ndani...
Baada ya kuunganisha nukta, nimepata jibu kuwa huenda Polisi hawahusiki na utekaji nchini
1. Hawahusiki kuteka lakini wanajua utekaji upo!
2. Wanajua mtoa maagizo ya utekaji hivyo hawawezi kuingilia!
3. Wengine wanaumia kwa yanayoendelea lakini hawana la kufanya isipokuwa kuwatii wakubwa!
Mbunge wa Juja, George Koimburi, amepatikana akiwa amejeruhiwa vibaya kwenye shamba la kahawa Kaunti ya Kiambu.
Koimburi,ambaye ni mtetezi mkubwa wa Naibu Rais wa zamani Rigathi Gachagua, alitekwa nyara Jumapili, Mei 25, nje ya Kanisa la Full Gospel Mugutha akiwa na mkewe, Anne Koimburi...
afrika
afrika mashariki
george
hali
hali mbaya
jimbo
kanisani
kenya
kidogo
kujeruhiwa
kupigwa
kwenda
mashariki
mbaya
mbunge
mbunge atekwa
mbunge wa kenya
mji
mkewe
nchini
nje
shambani
utekaji
wako
wanaharakati
wapi
Mbona kama utekaji upo upande wa Tanganyika pekee? Ni kweli?
Kama hakuna utekaji Zanzibar, nini siri ya mafanikio yao?
1. Wana vyombo vya dola makini kuzidi Tanganyika?
2. Wana viongozi wenye uweledi?
3. Wananchi wa Zanzibar wamestaarabika kuliko Watanganyika?
4. Hakuna wahuni nchini...
Viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiwemo Wenyeviti wa Mikoa wameungana kwa sauti moja kulaani vikali kile walichokiita vitendo vya baadhi ya wanaharakati na watu wengine kutoka nchi jirani wanaojaribu kuvuruga amani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
NAKEMEA UTEKAJI
Mrembo kauteka moyo wangu, bila huruma
Si kwa bastola, wala kwa pingu ila tabasamu lake.
Alinipiga jicho moja tu, nikajikuta mahabusu,
Nimefungwa kwa pendo kifungo kisicho na msamaha wala rufaa ya kusikika huko juu.
Kila nikiapa nitatoroka, nikimbilie uhuru,
Ananipigia simu na...
Tulikuwa tunakutafuta kwa muda mrefu, wewe ndiyo ulikuwa unawafundisha vijana ili wawapige askari, wewe taja cheo chako ni kawaambia mimi ni mwenyeketi wa CHADEMA kata ya Makumbusho, hapana sema cheo chako na kama utaki kusema basi tunakufanya vitu ambavyo wajawahi kuona
Wakanivua nguo zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.