utapeli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, muondoe mara moja Nape kwenye Baraza lako la mawaziri. 4Rs unazozihubiri zinaonekana ni utapeli wa kisiasa.

    Kwa maneno aliyoyazungumza waziri wa habari Nape Nhauye wakati akiongea na wanaccm huko Bukoba mkoani Kagera ni ishara tosha nchi hii inaongozwa na wahuni. Waziri mzima tena mkuu wa wizara ya habari unaongea ujinga mbele ya watu wazima. Tume ya uchaguzi inapewa pesa nyingi Kila mwaka kuhakikisha...
  2. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Halmashauri ya Moshi kwa nini mnaamua kupandisha kodi za Maroli bila kujadiliana kwa kina na wahusika?

    Wafanyabiashara wa Moshi wenye malori wamegoma kuingiza malori barabarani baada ya sitomfahamu ya kodi iliopanda pasipo kushirikishwa Wakiongea kwa uchungu wamesema wao waliitwa wakajulishwa upandaji wa kodi hivi karibuni wakaahidiwa wataitwa viongozi watajadiliana na kuona sh ngapi ya...
  3. The Lost Boy

    JamiiForums Tanzania Mbinu mbalimbali wanazotumia matapeli kutapeli watu

    Mwaka 2012 saa tatu usiku hivi, nikitembea pale Zakhem nikitafuta daladala za Chamazi. Na ule uharaka wa kutembea ghafla nikajikuta kama nimemkanyaga bwana mmoja (alijikanyagisha sikujua). Basi akanishika begani huku akitweta kwa ghadhabu kuu "kwanini unanikanyaga bro, wajikuta nani labda... "...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Mabasi ya Ally's Star acheni utepeli

    Leo tar. 05 July 2024 Katika hali isiyo ya kawaida nikiwa eneo la tukio (nilimsindikiza ndugu yangu ambae nae ni muhanga wa hii habari) abiria waliotakiwa kusafiri na gari kampuni ya ALLY'S STAR T644 kutokea DAR ES SALAAM (Urafiki) kuelekea MWANZA walikumbwa na sintofahamu baada ya...
  5. M

    JamiiForums Tanzania LATRA kampuni ya mabasi ya BM inastahihli kufungiwa kwa utapeli

    Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli. Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya...
  6. Simeone

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je utapeli?

    Nimekuwa nikitumiwa message fb na watu wengi sana wa nje ya nchi wakiombq namba zangu za whatsapp je hawa ni matapeli?
  7. U

    JamiiForums Tanzania SoC04 Changamoto ya utapeli uliokithiri nchini itaweza kushughulikiwa kupitia tume ya kupambana na utapeli

    Matukio ya utapeli nchini yamezidi na yanazidi kushika kasi nchini. Matapeli wamekua wakibuni mbinu mpya kadiri siku zinavyosonga. Utapeli wa mitandaoni na usio wa mitandaoni umekuwa mwiba mkali kwa wananchi wengi huku ukiwaachia maumivu ya kupoteza pesa walizotegemea zingewanufaisha kwa namna...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Hukumu ya Alex Msama na utapeli wa ardhi

    Kama una command ya kiingereza soma. Utaona kuwa people are smart! Pamoja na kuwa ni utapeli, lakini ulivyokuwa planned , Alex yuko smart. All in all, Court of Appeal imempiga chini na damages, costs juu!
  9. Nyanda Banka

    JamiiForums Tanzania Aiseee!!!! Dar kuna matapeli

    Siku moja nipo kwenye mizunguko yangu ya hapa na pale maeneo ya Ubungo nikakutana na jamaa mmoja baada ya kuzungumza nae kwa muda akaniambia nimelogwa na kuanza kuniambia mambo ya nyumbani kwetu, akaniambia kama huamini tafuna hili karatasi nikatafuna nikatema nywele Daah si nikaanza kumuamini...
  10. Small letter

    JamiiForums Tanzania IGP Wambura ni kweli jeshi lako limeshindwa kuwakamata hawa watu kwa Utapeli na udhalilishaji wanaoufanya kwa Watanzania?

    Afande IGP Wambura, Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa mujibu wa Sheria, Kanuni ,taratibu na tamaduni mbalimbali zilizopo. Iweje Leo watu waamue tu kuwaibia Watanzania wenzao na ninyi mliopewa dhamana ya ulinzi wao na mali zao mkae kimya? Mfano, hawa wanajiita Mkopo Fasta walimpigia...
  11. Travis Kitengo

    JamiiForums Tanzania Mtu kashapigwa tukio tayari

    Mwenzetu huyu kapigwa tukio
  12. BigTall

    JamiiForums Tanzania Upigaji, utapeli, uliojifichika kwenye kofia ya Kampuni Binafsi za Ulinzi

    Ni uchunguzi wa miezi zaidi ya mitatu kwa nyakati tofauti kwenye maeneo mbalimbali Jijini Dar es Salaam na mikoa jirani, ambapo safari yangu inakutana na Walinzi wa kampuni binafsi wakitoa kauli zenye kuashiria uwepo wa mazingira ya upigaji, utapeli na usanii. Nini kinabainika? Kwa siku za hivi...
  13. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna utapeli unafanyika Bayport Financial Service, unakopa kwao lakini mpaka makato ya kwanza yanafanyika mkopo uliyoomba haujakufikia!

    Mim ni mmoja wa wahanga katika kukopa mkopo katika taasisi ya fedha ya kukopesha inayoitwa Bayport Financial Service ambapo ni mwezi sasa toka nilipoomba mkopo mpaka rejesho la kwanza limefanyika ila hawajaweza kutoa huo mkopo. Sasa ni kitu kinachoshangaza sana na kitu kama hicho ni kama...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Kuna utapeli wa kuambiwa umetumiwa mzigo lakini unaambiwa mzigo huo umetumwa eneo tofauti na ulipo

    Hivi jamani huu utapeli wa mtu anasema amekutumia mzigo kutoka London halafu anakwambia upo kenya ni mimi tu niliona au kuna mwingine naye kauona? Aliyekutana nao aniambie yeye ilitumika kampuni gani kwenye usafirishaji.
  15. Ghost MVP

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu Utapeli kwa Njia ya Phishing Attach (links, email, attachments)

    Habari wana jukwaa!.. Technology ikiwa inaendelea kukuwa na vijana wa hovyo hawajaachwa nyuma, kuna utapeli unafanyika leo nataka nikuelekeze kuhusu utapeli wa kutumia 'Phishing Attack'. Phishing Attack ni njia inayotumia kuiba taarifa nyeti ambazo ni siri ya mtumiaji husika, kama Back...
  16. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Utapeli mpya uliozuka mtandaoni

    UTAPELI MPYA ULIOZUKA MITANDAONI Habari wana Jamii Forums Kumekuwa na njia mpya ya utapeli mitandaoni ambayo inawaumiza wa Tanzania wengi na pia kuwaondolea uaminifu baadhi yao kwa jamii inayowazunguka. Utapeli umekuwa ukihusisha mtandao wakijamii wa Facebook kama daraja la kufanikisha hao...
  17. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Waziri Dk. Gwajima kumkamata huyo Dada wa Nyoka kwa Utapeli na kuwaacha Matapeli wa Kawe, Buza kwa Lulenge na Kimara Temboni ni Unafiki mkubwa

    Tena Mimi naona huyo Dada wa Nyoka ana Nafuu kwa huo Utapeli ila Matapeli halisi na Wezi wa Umasikini wa Watanzania wengi kwa njia ya Imani yao ya Uwongo na Kweli wako Tanganyika Packers Kawe, Buza kwa Lulenge na Kimara Temboni.
  18. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Dkt. Gwajima: Tukatae utapeli, Binti aliyedai anaishi na nyoka akiri haikuwa kweli

    BINTI ALIYEDAI ANAISHI NA NYOKA AJISALIMISHA KWA WAZIRI DKT. GWAJIMA Aomba radhi, adai hajawahi kufanya hivyo alidanganya. DAR ES SALAAM. Itakumbukwa hivi karibuni ilienea video mitandaoni kupitia televisheni ya MBENGO TV ikionesha Binti mmoja aliyekuwa amebeba nyoka mkubwa huku akidai...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Hiki wanachofanya Tigo siyo utapeli?

    Inafahamika kwamba kwa sasa tigo Tanzania inamilikiwa na kampuni inayoitwa HONORA TANZANIA PLC, lakini kwenye website au hata kwenye huduma zao kama za bustisha n.k terms and conditions zinasoma bado MIC. Hii imeekaaje kisheria incase wamezingua kwenye tigo pesa huduma ya nivushe ambayo terms...
  20. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Sauli Amon (S.H.AMON) abambwa kwa Utapeli wa nyumba Kariakoo

    Mbunge wa Zamani wa ccm huko Rungwe, Sauli Pattaya, amewekwa kitimoto na Waziri wa Ardhi Jerry Silaa kwa utapeli wa wa Nyumba ya Udongo, kuivunja na kujenga jengo la ghorofa 8 kwa kushirikiana na kampuni ya udalali ya Benki Imeamriwa kwamba S H AMON awagawie aliowadhulumu sehemu ya Hisa za...
Back
Top Bottom