usafiri

  1. ommytk

    Pongezi nyingi aliyeleta wazo la pikipiki kutumiwa kama usafiri kwa abiria

    Kwenye hili la boda boda naomba tutoe pongezi nyingi kwa aliyeleta hili wazo zitumike kama usafiri wa abiria. Ameacha alama kubwa kwakweli maana kila kona now kuna kijana ana pikipiki yaaani zimeajiri mamilioni kwa mamilioni ya watu kuna watu wanafaa kuchongewa sanamu aiseepo pongezi nyingi...
  2. Sky Eclat

    Usafiri wa Chai Maharage enzi za Mzee Ruksa

  3. Latebloomer

    Masalange; Kero ya usafiri katika mabasi iliyofumbiwa macho

    MASALANGE; KERO YA USAFIRI KATIKA MABASI ILIYO FUMBIWA MACHO! Masalange au kama wanavyo penda kuitwa, Maafisa usafirishaji kwa kimombo " BUS AGENTS" ni watu ambao wamekuwepo katika kila Stendi za mabasi ili kurahisisha upatikanaji wa usafiri kwa abiria waendao maeneo mbali mbali nchini na nje...
  4. jetcargo255

    Unapotaka kuhama unatumia usafiri gani? na unaupata wapi? Ipo njia rahisi kama huwa unahangaika kutafuta gari ya mizigo yako

    Unapata shida kusafirisha mizigo, bidhaa, kwasababu hujui wapi unapata gari, hujui gharama za kusafirishia, au unapigwa na watu wa kati na hujui jinsi mambo yanavyofanyika? Kwanini upigwe kwa bei za ajabu? Kwanini usifanye mwenyewe? USIISHI KIZAMANI Mambo yamebadilika, kuanzia leo...
  5. N

    Watumishi wa Afya kuvaa mavazi ya kazi kwenye usafiri wa Umma ni hatari kwa afya za wananchi

    Leo nikiwa natoka kazini kwenye daladala nimekaa pembeni yangu alikuepo Nnesi amevaa sare ya kazi nahisi naye alikuwa anatoka kazini. Kwakweli kwa upande wangu sijafurahia alikuwa anatoa kwa mbali manukato ya hospitali. Nimejiuliza mtu anayeshinda na wagonjwa wengine ni magonjwa hatari je...
  6. Sky Eclat

    Vijana mfikirie usafiri wa wake zenu kwenda na kurudi kazini hasa siku za mvua

    Siku za mvua zina vishawishi vingi sana, ukifikiria usafiri wa kufika Mbagala, mabasi yamejaa na miundo mbinu yetu ilivyo rafiki. Mvua imeanza mchana na umefika ofisini na high heels zile ulizonunua juzi kutoka Uturuki. Kuna kijana hupendi sauti yake lakini ana IST, mbona unaweza kumtafuta...
  7. M

    Usafiri wa Dar -Moshi Alhamisi jioni

    Ndugu wanajamiiforum! Habari za weekend? Nategemea kwenda Moshi Alhamisi jioni kwa ajili ya shughuli za kifamilia ijumaa... Naomba ushauri wetu ni aina gani ya usafiri nitapata kutokea Dar kuanzia saa 12 jioni. Natanguliza shukrani
  8. Nigga What

    Usije Dar es Salaam -- huko mkoani usafiri, hali ya hewa, usalama viko vizuri sana

    Ebwana kama upo mkoani unafanya kazi au biashara unapata average income usijaribu kuwaza kuja jijini DAR, kwa sababu huko mkoani usafiri, hali ya hewa, usalama viko vizuri sana. Kama uko Mbeya, Iringa, tulia usafiri wa mbeya ni rahisi na magari ni mazuri sana, hali ya hewa shwari, nyumba za...
  9. W

    Usafiri na usafirishaji wa anga ni jambo la 17 la Muungano, Tujikumbushe mambo 22 ya Muungano

    Ukurasa wa 218 na 219 wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977, unataja Mambo ya Muungano ambayo ni:-. 01. Katiba ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Muungano 02. Mambo ya nje 03. Ulinzi na Usalama, 04. Polisi 05. Mamlaka juu ya mambo yanayohusu hali ya hatari,. 06. Uraia. 07...
  10. mama D

    Bodaboda sio salama kwa watoto wetu wadogo - Mzazi mjali mwanao, ukimpeleka shule mbali mlipie schoolbus au mpeleke na kumchua mwenyewe

    Pamoja na wazazi wengi kuwasajili watoto wao shule za mbali na wanakoishi ili sababu ya ubora wa hizo shule ukweli ni kwamba wamekua wakiwatesa sana watoto wao. Fikiria mtoto wa Dar es salaam anaishi pugu, gongo lamboto, kibamba, mbagala, toangoma halafu anasoma bunge primary, diamond au...
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    Wito wangu kwa Wanawake: Achaneni kabisa na usafiri wa bodaboda, sio salama kwenu

    NI saa saba na dakika tano, mataa ya Mwenge, ajali mbaya sana inatokea, mabinti wawili wakiwa kwenye bodaboda, wanapata ajali mbaya sana na kufariki dunia hapohapo. Last week nilihudhuria msiba wa mrembo mmoja aliyefariki kwenye Kona ya Target akielekea Juliana, alikuwa kwenye bodaboda. Sweet...
  12. CM 1774858

    Uzalendo wa Rais Samia kwa Taifa

    Wakati Rais Samia anakwepa gharama ya mafuta ya TZS 270M kwa kupanda usafiri wa Umma || Rais Joao wa Angola yeye ametumia TZS 9.5B kwenye Safari hiyo hiyo ya UN Gen Assembly, Wonders shall never end in Africa hongera sana Rais wangu Samia ==== Tunapoambiwa Tanzania imempata Rais Mzalendo wa...
  13. Ramon Abbas

    Car4Sale Una milioni 2 hapo na unataka usafiri uingie Downtown? chukua hii Balloon

    Ballon Engne 1g kavu (engine haina shida yoyote, njoo na mtaalam wako akusaidie kui zoom) Full ac, full kipupwe Bei mil 2 haipungui, Unapewa mafuta lita 20! Ipo Dodoma, makao makuu ya nchi toka UHURU Tuchekiane haraka achana na comments: 0625 750 755
  14. TODAYS

    Kampuni ya Uswidi inaleta Mapinduzi Katika Usafiri wa Umma Nchini

    Wakati juhudi za kurahisisha huduma za uchukuzi wa umma wa kidijitali ukiongezeka kwa kasi duniani, kampuni ya Uswidi imeingia kwenye soko la Tanzania kuwezesha usafiri wa umma wa kisasa. Kampuni iitwayo EnrouteQ imeanzisha jukwaa la usafirishaji linaloruhusu muundo wa njia, shughuli za gari za...
  15. sanalii

    Barabara ya kibaha mlandizi imekua ndogo magari mengi, usafiri umekua tabu sana kwa sasa

    Kuna hitaji ujenzi wa dharura wa barabara ya zamani ya kibaha mlandizi then mpango wa barabara nne ulioishia kibaha mailimoja ufike japo mlandizi, kwa sasa ikifika jioni ni shida, kwa mfano leo gari moja tu lime break down basi tangu saa kumi hadi saa nne hii ni foleni, TANROADS naomba mulione...
  16. Kurunzi

    Usafiri wa Daladala ni mateso. Hakuna mamlaka ya kudhibiti ubovu wa Daladala, au mpaka Majanga yatokee ndiyo tutashituka?

    Kigezo cha Gari kuwa Dadadala ni lazima liwe Bovu? Nenda stendi zote, Dar, Dodoma, Arusha, ukiacha zile zinazofanya ruti ndefu lakini zingine zote magari ni mabovu kiasi ambacho zingine ukiwa ndani unaona chini. Lakini sioni mammlaka husika zikifanya kazi yake. Zamani kwa mabasi yalikuwa...
  17. Crocodiletooth

    Usafiri na maoni yangu binafsi juu pahala sahihi pa kuwapeleka machinga ndani ya Dar

    Naishauri serekali yetu ilitwae eneo lote la shule ya sekondari Benjamin maps hapo kariakoo na pajengwe mall maalumu itakayokuwa na vizimba 5000 vyenye namba za utambulisho maalumu ili machinga wote waliotapakaa mabarabarani waingizwe humo, zoezi hili liende pamoja na kubotesha machinga complex...
  18. JACKLINE CELESTINE KITALE

    SoC01 Tatizo la unyanyasaji wa wanafunzi katika vyombo vya usafiri

    Kama umepata nafasi ya kuzaliwa , kusoma au kuishi katika mkoa wa Dar es Salaam, utakubaliana na Mimi ya kwamba wanafunzi hupata wakati mgumu Sana wakiwa wanaenda mashuleni siku za wiki hasa hasa kwenye magari ambayo yaanaelekea safari za Kariakoo,mnazi mmoja na Muhimbili. Shule nyingi hapa...
  19. MabatiBeiNafuu

    INAUZWA Pata mabati kwa bei nafuu na usafiri bure

    Tunatoa offer ya Misumari kwa kuanzia bati 80 Tunatoa offer ya Usafiri @ Kuanzia bati 80. Tupigie 0762 75 31 40 Whatsapp 0762 75 31 40 KARIBU TUKUHUDUMIE. ********** Migongo midogo ni Tsh 23500/= Migongo mipana ni Tsh 23500/= Versatile /Vigae Tsh 34000/= 𝐂𝐀𝐋𝐋 : 𝟎𝟕𝟔𝟐 𝟕𝟓𝟑𝟏𝟒𝟎, 𝟎𝟔𝟗𝟐 𝟕𝟔𝟑𝟑𝟎𝟔...
  20. Francis fares Maro

    SOLD: Tipper (Hino)

    Hino Tipper (Dumper) Repainted 1997 YOM 3.3 Tones 19 millions TSH negotiable Makumbusho Dar es salaam +255714908121
Back
Top Bottom