Nilibahatika kuja Dar es Salaam kwa safari ya kibinafsi na mojawapo la tatizo la Dar ni usafiri. Kwenye hoteli niliyofikia nikawauliza usafiri utakaonisaidia nikiwa Dar na wakanishauri nijiunge na bolt. Kwa kweli usafiri wa bolt ni poa sana.
Unaweza kusafiri na bolt toka Sinza na kwenda katikati ya Jiji unaweza kulipa kuanzia 6,000 mpaka 8,000 wakati taxi za kawaida unaweza kulipa mpaka 20,000.
Kutoka Sinza mpaka airport nililipa 13,000 wakati taxi za kawaida ni Tshs.25,000. Kweli usafiri wa bolt una unafuu sana katika Jiji la Dar.
Unaweza kusafiri na bolt toka Sinza na kwenda katikati ya Jiji unaweza kulipa kuanzia 6,000 mpaka 8,000 wakati taxi za kawaida unaweza kulipa mpaka 20,000.
Kutoka Sinza mpaka airport nililipa 13,000 wakati taxi za kawaida ni Tshs.25,000. Kweli usafiri wa bolt una unafuu sana katika Jiji la Dar.