Ukiona yanayo tokea, badhasha, furaha inayoambatana na mapokezi ya Wagombea udiwani, ubunge na Urais kupitia Chadema na ACT wazalendo unagundua yafuatayo.
- wanainchi walikua na kiu ya kusikia Sera mbadala za upinzani ,
- kuna kundi la wananchi ni die hard wa upinzani hivyo katazo la shugjuri...