Hapa Tanzania.
Narudia tena, hapa Tanzania kijana jitahidi kupambania familia yako (wewe mwenyewe, mke/mume na watoto) basi. Mengine achana nayo maana hutayaweza.
Kama unaingia kwenye siasa ingia kwa ajili ya familia yako tu, kama unaingia kwenye utumishi wa umma the same, kama unaingia kwenye...