Ukweli ni upi kuhusu Heche?

Ukweli ni upi kuhusu Heche?

passioner255

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2019
Posts
6,779
Reaction score
13,005
Ukweli ni kwamba CCM/Samia hayamtaki Heche awe kwenye nafasi yake kwa sababu ya misimamo yake ya kutokutaka maridhiano feki.

Ukweli ni kwamba CCM au regime hii ovu hawatafanikiwa kwa sababu baada ya kufanya yale mauaji na kufanya uhuni kama utekaji,ulawiti,ufisadi Regime hii imelaaniwa kwa hiyo hizi jitihada zote ovu hazitafanikiwa bali ni kuharakisha kusambaratika kwa hii Regime.

Lakini bado nafasi ipo kwa huu utawala wa kuomba msamaha kwa watanzania na kukiri kutokurudia matukio haya ya kihuni.
 
Ukweli ni kwamba CCM/Samia hayamtaki Heche awe kwenye nafasi yake kwa sababu ya misimamo yake ya kutokutaka maridhiano feki.

Ukweli ni kwamba CCM au regime hii ovu hawatafanikiwa kwa sababu baada ya kufanya yale mauaji na kufanya uhuni kama utekaji,ulawiti,ufisadi Regime hii imelaaniwa kwa hiyo hizi jitihada zote ovu hazitafanikiwa bali ni kuharakisha kusambaratika kwa hii Regime.

Lakini bado nafasi ipo kwa huu utawala wa kuomba msamaha kwa watanzania na kukiri kutokurudia matukio haya ya kihuni.
Unahangaika kutibu sikio la kufa!

Hakuna binadamu wa kawaida anayeweza kutaka maridhiano na wakati huo huo akaendelea kufanya maovu dhidi ya wale anaotaka kuridhiana nao. Those mazafakas must be seriously sick in the head!
 
Ukweli ni kwamba CCM/Samia hayamtaki Heche awe kwenye nafasi yake kwa sababu ya misimamo yake ya kutokutaka maridhiano feki.

Ukweli ni kwamba CCM au regime hii ovu hawatafanikiwa kwa sababu baada ya kufanya yale mauaji na kufanya uhuni kama utekaji,ulawiti,ufisadi Regime hii imelaaniwa kwa hiyo hizi jitihada zote ovu hazitafanikiwa bali ni kuharakisha kusambaratika kwa hii Regime.

Lakini bado nafasi ipo kwa huu utawala wa kuomba msamaha kwa watanzania na kukiri kutokurudia matukio haya ya kihuni.
Naunga mkono hoja
 
Unahangaika kutibu sikio la kufa!

Hakuna binadamu wa kawaida anayeweza kutaka maridhiano na wakati huo huo akaendelea kufanya maovu dhidi ya wale anaotaka kuridhiana nao. Those mazafakas must be seriously sick in the head!
Ndiyo wanafosi sasa kuwe na maridhiano feki
 
Ukweli ni kwamba CCM/Samia hayamtaki Heche awe kwenye nafasi yake kwa sababu ya misimamo yake ya kutokutaka maridhiano feki.

Ukweli ni kwamba CCM au regime hii ovu hawatafanikiwa kwa sababu baada ya kufanya yale mauaji na kufanya uhuni kama utekaji,ulawiti,ufisadi Regime hii imelaaniwa kwa hiyo hizi jitihada zote ovu hazitafanikiwa bali ni kuharakisha kusambaratika kwa hii Regime.

Lakini bado nafasi ipo kwa huu utawala wa kuomba msamaha kwa watanzania na kukiri kutokurudia matukio haya ya kihuni.
porojo 🐒
 
Back
Top Bottom