ukraine

  1. Financial Analyst

    Avamia LIVE kipindi cha TV ya Taifa akipinga vita dhidi ya Ukraine

    Ni mwana habari katika runinga ya taifa ya nchini Russia. Alivamia taarifa ya habari iliyokuwa live hewani na kuprotest dhidi ya Russia kuivamia Ukraine.
  2. Analogia Malenga

    Umoja wa Mataifa: Afrika itakumbwa na uhaba wa ngano kutokana na vita vya Urusi na Ukraine

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameonya kwamba vita vya Urusi dhidi ya Ukraine vinaweza kusababisha kile alichokiita "kimbunga cha njaa" na uhaba wa chakula kote duniani. Alisema nchi nyingi za Afrika na maskini zinategemea zaidi uzalishaji wa ngano wa Urusi na Ukraine...
  3. YEHODAYA

    The Embassy of Ukraine in Nigeria says Nigerians who are willing to travel to Ukraine to fight Russian forces must be willing to provide $1,000

    The Embassy of Ukraine in Nigeria says Nigerians who are willing to travel to Ukraine to fight Russian forces must be willing to provide $1,000 for ticket and visa. The embassy stated this when scores of Nigerian men converged on its premises in Abuja on Thursday to express their readiness to...
  4. and 998 others

    Vyuo Vikuu Ukraine haviridhishi kitaaluma

    Vyuo Vikuu pendwa havipo hata kwenye top 3000 global universities rankings! Hivyo chukueni tahadhari. **USHAURI: Bora hata umpeleke mtoto vyuo vya South Africa kuliko Ukraine. NB: Hakuna mtu makini nchini aliyesoma vyuo tajwa.
  5. Analogia Malenga

    Brent Renaud: Mwandishi wa Marekani auawa kwa kushambuliwa Ukraine

    Mwandishi wa Habari wa Marekani anayefanya kazi nchini Ukraine ameuawa kwa kupigwa risasi katika mji wa Irpin, nje ya Kyiv, polisi wamesema. Brent Renaud, mwenye umri wa miaka 50, alikuwa mwandishi wa habari na mtengenezaji wa filamu ambaye alikuwa akifanya kazi katika eneo hilo kwa muda sasa...
  6. Mathanzua

    The Ultimate “Revenge War” in Ukraine Explained and The Truth About The Conflict With Russia

    “The truth is incontrovertible. Malice may attack it, ignorance may deride it, but in the end, there it is.” Winston Churchill The current conflict between the US/UK/NATO and Russia is due to one simple reason: the Ashkenazim, also known as Ashkenazi Jews. They have many scores to settle with...
  7. Analogia Malenga

    Shirika la Afya Duniani (WHO): Vita ya Urusi na Ukraine itazidisha tatizo la Corona

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema vita kati ya Urusi na Ukraine vitazidisha madhara ya COVID-19 kwa kuwa juhudi za kupambana na Corona zinasahaulika. Japo maambukizi yamepungua nchini Ukraine, kuna hatari ya vifo au kuugua sana kutokana na utoaji chanjo kuwa chini. Pia watu milioni 2...
  8. Makirita Amani

    Hiki ndiyo kitu bora kabisa unachopaswa kufanya wakati huu wa vita ya Urusi na Ukraine

    Rafiki yangu mpendwa, Chombo kikubwa cha habari nchini China (Horizon News), kilichapa kwa makosa maelekezo yaliyokuwa yametolewa kwa wahariri wake. Pamoja na mengine mengi, maelekezo hayo yaliwataka wahariri kuhakikisha hawachapishi habari yoyote inayoichafua Urusi au kusiria upande wa...
  9. YEHODAYA

    Papa Francis amwambia Putin aache mauaji ya kimbari Ukraine amlaani kwa kutaka kuigeuza Ukraine kuwa nchi ya makaburi matupu

    Katika waraka uliosomwa live na Pope Francis Papa Francis amwambia Putin aache mauaji ya kimbari Ukraine . Amlaani kwa kutaka kuigeuza Ukraine kuwa nchi ya makaburi matupu. Source: skynews ikimwonyesha Pope akisoma statement ========= Pope Francis directly addressed Russian President...
  10. lee Vladimir cleef

    Operesheni maalum ya Urusi dhidi ya Ukraine ikiisha NATO itavunjika

    Kwa maoni yangu,Iwe Urusi imeshinda ama imeshindwa katika operation yake dhidi ya Ukraine mara TU baada ya operation hiyo kuisha Umoja wa NATO utavunjuka. Hautavunjika kwa siku moja au mwezi,Bali miaka isiyozidi mitatu NATO haitaendelea kuwepo wataivunja. Haya ni mawazo yangu TU kwa kuangalia...
  11. beth

    Uingereza: Serikali kuwalipa watakaowapa makazi wananchi wa Ukraine

    Raia wa Uingereza watakaoruhusu Wananchi wanaokimbia mapigano Nchini Ukraine kukaa nyumbani kwao au kuwapa eneo kwa kipindi kisichopungua miezi sita watalipwa Paundi 350 kwa mwezi Hatua hiyo ya Serikali ni jaribio la kupunguza hasira zilizopo kuhusu namna inavyoshughulikia mzozo wa Wakimbizi...
  12. kimsboy

    Urusi: Marekani inashirikiana na Ukraine katika kutengeneza silaha za kibiolojia

    Urusi: Marekani inashrikiana na Ukraine katika kutengeneza silaha za kibiolojia Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa Marekani imekuwa ikidhamini fedha kwa ajili ya mradi wa kuzalisha silaha za kibiolojia nchini Ukraine, na kwamba Moscow ina ushahidi unaothibitisha suala hilo kutoka kwenye...
  13. Crocodiletooth

    Wazamiaji wa Kiafrika nchini Ukraine wakiwa hawajui la kufanya wala jinsi ya kuondoka

    Unofficial African in ukraine, treated badly
  14. Mathanzua

    The United States government is funding biolabs in Ukraine to create bioagents targeting ethnic groups

    Documents have been made available which support Russia’s claim that the United States government is funding biolabs in Ukraine to “create bioagents that can target certain ethnic groups.” In other words, the U.S. regime of Sleepy Joe Biden has been overseeing a bioweapons factory to carry out...
  15. beth

    Mariupol, Ukraine: Raia wakwama kuondoka baada ya jitihada za kusitisha mapigano kugonga mwamba

    Kaimu Waziri Mkuu wa Ukraine, Iryna Vereshchuk amesema Wananchi wa Mji wa Mariupol wameshindwa kuondoka baada ya Makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda kushindwa kutekelezwa Kutokana na hali inayoendelea, imeelezwa kuwa jitihada za kupelekea Chakula, Maji na Dawa kwenye Mji huo...
  16. Analogia Malenga

    Wanajeshi wa Ukraine walioko DRC watakiwa kuondoka

    Kikosi cha wanajeshi 250 wa kulinda amani wa Ukraine wanatarajiwa kuondoka mashariki mwa DRC na kurejea Ukraine. Tangazo hilo lilitolewa Jumanne na Umoja wa Mataifa. Tarehe ya kuondoka bado haijatangazwa. Uondoaji huo pia utajumuisha vifaa na helikopta. Hatua hiyo huenda ikawa na athari kwa...
  17. Mathanzua

    Vladimir Putin didn’t just invade the Ukraine on 24/02/2022, he officially ended the petrodollar system!

    Vladimir Putin didn’t just invade the Ukraine on 24/02/2022, he officially ended the petrodollar system. How? Remember, Russians don’t do anything without a plan. They & China have been prepping for this moment for years & are now ready. Russia has stated NATO expansion into Ukraine was a...
  18. Analogia Malenga

    Ukraine yazika watu kwenye kaburi moja

    Kutokana na mzozo unaoendelea, Naibu Meya wa #Mariupol, Sergei Orlov amesema hawawezi kujua idadi halisi ya waliofariki kutokana na mashambulizi japo idadi inakadiriwa kuwa 1,300 Ili kupunguza maiti mtaani, uongozi wa jiji umechimba mfereji wa urefu wa mita 22 na kuzika maiti kwa pamoja zikiwa...
  19. Analogia Malenga

    17 wajeruhiwa katika shambulizi la hospitali ya kujifungua Ukraine - maafisa

    Takriban watu 17 wamejeruhiwa na shambulizi la angani la Urusi kwenye hospitali ya Mariupol, kulingana na utawala wa kijeshi wa Ukraine katika eneo la mashariki la Donetsk. Wafanyikazi na wanawake walio katika harakati za kijifungua walikuwa miongoni mwa waliojeruhiwa, maafisa walisema. Pavlo...
  20. Kibingu

    Waafrika yatupasa kuiangalia vita ya Ethiopia kuliko vita ya Ukraine

    Leo mkuu wa shirika la haki za binadamu ameripoti mauaji ya kutisha na ubakaji huko Ethiopia kqtika majimbo ya Tigray na Afar. Idadi ya mauaji ya raia na visa vya ubakaji vinatia shaka kama mwafrika alipaswa kuaminika kupewa mamlaka ya kujiongoza mwenyewe. Ajabu zaidi ni kuwa sisi waafrika...
Back
Top Bottom