Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,921
- 15,613
Rais mtata wa Ufilipino (The Philippines), Rodrigo Duterte, jana amesisitiza kuwa nchi yake itaendelea kuwa nyutro (haitochukua upande wowote) ktk vita vya Russia nchini Ukraine.
"Nchi nyinginezo pamoja na Ulaya zitaangamia kama Russia ikiamua kufanya mashambulizi ya maangamizi. Hivyo, ni bora zaidi sisi wafilipino tuendelee kuwa nyutro ktk mzozo huu. Tujiepushe na kuuingilia kati mzozo huu ili tusiweze kuhusishwa nao," Duterte alizungumza.
Duterte akaongeza kuwa hatoruhusu wanajeshi wa Ufilipino kwenda kupigana kuisaidia Marekani kama waMarekani wakijiingiza kwenye vita hiyo.
Pamoja na kuwa Marekani na Ufilipino wana mkataba wa kusaidiana endapo nchi yoyote ikihatarishiwa usalama wake na taifa jingine, lakini ktk jambo hili la vita ya Ukraine, Marekani ikijiingiza yeye Duterte hatotuma mwanajeshi yoyote kwenye vita hiyo.
======
INQUIRER.net / 09:42 PM March 17, 2022
MANILA, Philippines — The Philippines should maintain its neutrality amid the Russian invasion of Ukraine, President Rodrigo Duterte reiterated Thursday.
“Other countries, Europe will die if Russia wreaks havoc. So we better — we better maintain our neutrality. Let’s avoid meddling in it so that we won’t get involved,” Duterte said in Visayan language during the inauguration of the New Leyte Provincial Government Complex and lot title distribution to former rebels.
The President added that he would not allow Filipino soldiers to fight, should the Americans engage in war.
“I won’t commit. If the Americans engage in a war and they’re here, why will I send my soldiers? It’s not our battle to fight,” he explained.
“If the violence spills over and the war somehow gets here, that will be very difficult. I won’t, I really won’t. For as long as I’m President, I won’t send a single soldier of mine to go to war,” continued Duterte.
Early this month, the chief executive raised that the country should remain neutral amid the conflict between the two foreign nations, expressing concern if the situation escalates to a nuclear war.
In February, Russia launched an invasion on Ukraine, amassing 150,000 to 200,000 troops along the latter’s borders.
The Palace then assured that Duterte’s main concern is the safety of Filipinos in Ukraine.
"Nchi nyinginezo pamoja na Ulaya zitaangamia kama Russia ikiamua kufanya mashambulizi ya maangamizi. Hivyo, ni bora zaidi sisi wafilipino tuendelee kuwa nyutro ktk mzozo huu. Tujiepushe na kuuingilia kati mzozo huu ili tusiweze kuhusishwa nao," Duterte alizungumza.
Duterte akaongeza kuwa hatoruhusu wanajeshi wa Ufilipino kwenda kupigana kuisaidia Marekani kama waMarekani wakijiingiza kwenye vita hiyo.
Pamoja na kuwa Marekani na Ufilipino wana mkataba wa kusaidiana endapo nchi yoyote ikihatarishiwa usalama wake na taifa jingine, lakini ktk jambo hili la vita ya Ukraine, Marekani ikijiingiza yeye Duterte hatotuma mwanajeshi yoyote kwenye vita hiyo.
======
Duterte: PH should maintain neutrality amid Russian invasion of Ukraine
By: Daniza Fernandez - Reporter / @DFernandezINQINQUIRER.net / 09:42 PM March 17, 2022
MANILA, Philippines — The Philippines should maintain its neutrality amid the Russian invasion of Ukraine, President Rodrigo Duterte reiterated Thursday.
“Other countries, Europe will die if Russia wreaks havoc. So we better — we better maintain our neutrality. Let’s avoid meddling in it so that we won’t get involved,” Duterte said in Visayan language during the inauguration of the New Leyte Provincial Government Complex and lot title distribution to former rebels.
The President added that he would not allow Filipino soldiers to fight, should the Americans engage in war.
“I won’t commit. If the Americans engage in a war and they’re here, why will I send my soldiers? It’s not our battle to fight,” he explained.
“If the violence spills over and the war somehow gets here, that will be very difficult. I won’t, I really won’t. For as long as I’m President, I won’t send a single soldier of mine to go to war,” continued Duterte.
Early this month, the chief executive raised that the country should remain neutral amid the conflict between the two foreign nations, expressing concern if the situation escalates to a nuclear war.
In February, Russia launched an invasion on Ukraine, amassing 150,000 to 200,000 troops along the latter’s borders.
The Palace then assured that Duterte’s main concern is the safety of Filipinos in Ukraine.
Duterte: PH should maintain neutrality amid Russian invasion of Ukraine
MANILA, Philippines -- The Philippines should maintain its neutrality amid the Russian invasion of Ukraine, President Rodrigo Duterte reiterated
globalnation.inquirer.net