Kijana na wazee, mada hii ni fikirishi ila italenga kutoa maana kuhusu Maisha. Hapa duniani haijalishi upo mjini au kijijini Ila unachohitaji ili ufanikiwe na kutoishi maisha ya kuangaika ni kibali.
Zingatia huu mchakato kwanza ili upate kibali.
Fanya chaguzi kwa kuitikia wito wako. Ukiitikia...
Sina maelezo mengi ila nyote mnajionea wenyewe mfululizo wa matukio.
Kweli wanaume tumeumbwa mateso.
Maisha tunahangaika sisi ili familia ziwe na ustawi mzuri wa kuhaki na kiuchumi lakini vyote tunaviacha wanafaidi wengine.
Yaani hata ukiishi miaka mingi kiasi gani utajikuta tu lazima Mke...
Asofunnzwa na wazazi hufunzwa na walimwengu, huu msemo utaishi mpaka kiama.
Ni sawa na kusema katika nyakati ambazo wanawake wanapoteza uanamke wao na kuvaa joho la uanaume katka nafsi zao.
Kwa muktadha huu ndoa nyingi wanaume ni kama wanajiwekea njia madhubuti ya umauti wao.
Hivyo ili...
SHERIA MOJAWAPO YA MASKINI INASEMA: USIONYESHE WALA USI-POST MAFANIKIO YAKO.
Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Kuna maskini na umaskini wake. Alafu kuna tajiri na utajiri wake.
Umaskini na maskini wanasheria na kanuni zao.
Matajiri na utajiri wanasheria na kanuni zao.
Wapo maskini wa aina...
Kila mtu anaweza kuwa na neno ukimuliza kuhusu upendo. Toka muda watu wamesha tafafuta maana nyingi za neno upendo lakini bado hakuna anayeweza kuongelea upendo kwa maneno na akaumaliza kama jinsi ulivyo. Kila mtu ataongelea matokeo yake kwa jinsi alivyo ishi na uzoefu wake katika mazingira...
Hii rule ipo kwenye nyanja 5;
1. Kibinafsi
2. Kifamilia
3. Kiimani
4. Kikazi
5. Kimahusiano
Naomba nizungumzie kwa upande wa Kibinafsi na Kiimani.
Sisi binadamu tumekuja Duniani kuishi na kumuabudu Mwenyezi Mungu. Basi tujitahidi katika kuishi Tuishi kweli kweli na katika Kuabudu tuabudu...
Mtu amepewa kadi za hharusi na send-off 5, na zote inabidi achangie kulipa fadhila.
VICOBA vitatu vyote anadaiwa, upatu unamtesa, tv ya mkopo, mpaka nguo za mkopo.
Akipata pesa anapunguza huku, anakopa kule anakula anaanza tena kukopa.
Utasikia nikopeshe laki tarehe 10 nakulipa unamwambia subiri...
BINTI YANGU; NI AKHERI UWE SINGLE MOTHER KULIKO UISHI NA MWANAUME MPUMBAVU.
Anaandika, Robert Heriel
Baba na Mume.
Kama vile Mimi Taikon, Nyota ya Tibeli nisivyoweza kuishi na Mwanamke mpumbavu, hata angekuwa Mama yenu, vivyohivyo nilimuambia Mama yenu kuwa kamwe asijevumilia kuishi na Mimi...
JF nimejiunga miaka 12 ilopita.
Japo sionekani sana kwa sasa ila ni sababu ya JF yenyewe imesababisha haya. Kupitia jukwaa hili nimevuna nilicho panda kwa wanajamii wenzangu. Kupitia JF mimi nipo kama nilivyo sasa.
Napenda kusema Chochote nacho miliki,chochote nacho fanya na ajira yangu ya...
Upweke ni tatizo kubwa hususani vijana, unashangaa upo online masaa 24 kwenye mitandao ya kijamii.
Lakini...
Huna muda wala ukaribu na mtu wa karibu yako pengine majirani zako, kwa kisingizio unaishi maisha yako hivyo wasikufate fuate, Kumbuka maisha bila watu hayana ladha.
Mitandao ya...
Kuishi na mwanamke inapaswa iwe raha.
Ukiona huna raha kuishi naye, tambua kuna sehemu umeyumba.
Kosa kubwa wengi hufanya ni kuishi na mwanamke anayemtesa sababu anaogopa kumuacha. Anaogopa kuanza upya kutafuta mwanamke mwingine.
Anaona aishi na huyo hivyo hivyo tu, maisha yasonge.
Lakini tambua...
Salaam JF,
Mwanamke sio sanamu bali ni binadamu, hivyo wanaume acheni uduni wa fikra usijichoshe. Tongoza mwanamke mwenye dalili zote za kuvutiwa na wewe.
Kwa uchache tu pokeeni huu ujumbe.
Wadiz
Habari waungwana,
Ukiwa mwelewa na kuacha ubishi haya maneno yanaweza kubadilisha maisha yako kabisa. Siandiki maneno haya ili kukuonyesha kwamba mimi ni tajiri sana hapana. Naweza kuwa sina chochote lakini bado nikaandika kitu ambacho kitakufanya kesho uwe mtu mkubwa sana hapa duniani. Wapo...
Leo ngoja nikusifie mtoto wa kipare, tulianza mahusiano nikiwa chuo mwaka wa mwisho nikiwa chembamba cheusi sivutii nani angenitamani kipindi kile mtoto wa watu kigori cheupe kifupi kinene nilipokutongoza ukanikubalia thax mama be blessed my dear.
Nikapata kazi baada ya chuo tukawa pamoja...
Mna heri wakuu na si laana.
Moja kwa moja kwenye mada
Nipo mkoani Kagera kikazi wilaya naomba nisitaje sasa ni miezi 5
Uzuri nilipofika huku kuna dogo langu mmoja ni askari huku kwahiyo ndio alinipokea na kunitafutia room
Aliponitafutia room nilimkuta jamaa mmoja na mkewe na vitoto vidogo...
Mna hero wakuu na si laana.
Moja kwa moja kwny mada
Nipo mkoani Kagera kikazi wilaya naomba nisitaje sasa ni miezi 5
Uzuri nilipofka huku kuna dogo langu mmoja ni askali huku kwahiyo ndo alinipokea na kunitafutia room
Aliponitafutia room nilimkuta jamaa mmoja na mkewe na vitoto vidogo vitatu...
Ukiwa na dingi mkali au mbabe, huyu lazima umdanganye, hakuna namna
Ili umnase demu lazima utupie uongo
Walimu wanoko, dawa yao uongo tu.
Hata kanisani wengi ni waongo na wanafiki, nyuma wameficha ukweli mchungu
Na sehemu nyingi, uongo haukwepeki
Uongo ni sehemu ya maisha yetu. Ukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.