uhuru

  1. SoC01 Namna fikra bora na uhuru wa kusema vitavyochochea mapinduzi ya kiuchumi kwa jamii ya Watanzania

    Mada yangu itajikita zaidi kuonesha namna uhuru wa fikra na kusema unaweza kuwa ni chachu ya kuleta mapinduzi ya maendeleo ya kiuchumi kwa jamii, hususani ya watanzania. Hivo, natoa pia fursa kwa mada nyingine katika uwanda huu wa ‘uhuru wa fikra na kusema’ na namna zinavoweza kuleta mapinduzi...
  2. Uhuru did not ink Sh16bn JKIA rail contract in Paris

    Safi sana!👍 Kibinafsi I didnt see the viability of this project anymore when expressway was initiated and is on steroids right now, running concurrently na rail! How was it going to get value for money in the near term basis? Wacha French waendelee na Mau Summit - Nakuru Highway, makes more...
  3. Uhuru wa fikra na sanamu za shaba

    Mungu ibariki Afrika. Heshima kwenu ndugu zangu katika Jamii forum, washiriki katika Jamii forum page Facebook, Telegram na search engine zote zenye unapata kuunganishwa na nyuzi zote makini kutoka JF. Kwanza kabisa napenda kuupongeza uongozi wa JF kwa kuleta mabadiliko na elimu pana...
  4. Hakuna bara lenye uhuru kama Afrika

    Africa kiukweli kuna Uhuru sana wa kufanya shughuli nyingi za kujipatia rizki ,ukilinganisha na mabara ya ulaya na Asia ,mfano hapa bongo ukitaka kufanya biashara yoyote unafanya hakuna vipingamizi vingi ,yaan ,hakuna ufuatiliaji sana. Mfano kuna jamaa yangu ni gold prospectus hana leseni...
  5. Freeman Mbowe aalikwa rasmi Clouds FM katika kipindi cha Traffic Jam siku ya Ijumaa

    Taarifa zinazosambazwa duniani kote leo hii zinaonyesha kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Laingwanan , Mtemi Isike au Ustaadh Abubakar, Freeman Mbowe, amekubali mwaliko wa Clouds FM kwenye kipindi chao cha Traffic Jam ijumaa hii. Kaeni tayari kwa nondo na bila shaka Operesheni haki...
  6. Uhuru to vaccine sceptics: Some education about it is crucial

    President Kenyatta has now declared that no Kenyan will be forced to take the COVID-19 vaccination, which will be provided free of charge to all adults by the government. The Head of State who announced a slew of revised containment measures on Tuesday was addressing what he claimed were...
  7. Uhuru wa kifedha sio uwezo wa kuoanisha mapato na matumizi tu bali ni uhuru mpana wa kufanya kila jambo ambalo ungependelea kufanya bila kukwama

    Uhuru wa kifedha ni ule uhuru wa kufanya mambo kama upendavyo au kutekeleza mahitaji yako yote kama upendavyo. Uhuru wa kifedha sio uwezo wa kuoanisha mapato na matumizi tu bali ni uhuru mpana wa kufanya kila jambo ambalo ungependelea kufanya bila kukwama. Ili uweze kufikia uhuru wa kifedha...
  8. Tundu Lissu ndiye mtu Jasiri zaidi Tanzania tangu tupate Uhuru

    Nchi yetu pendwa, kipenzi cha nchi nyingi duniani, kilimbilio la watu wote waliokua wakikandamizwa kwenye nchi zao hakuwahi kutawaliwa na Rais wa ajabu kama Magufuli. Rais ambaye hakuwapenda raia wake, hakusikiliza tulio hai, akitoa matamko ya kudhalilisha na kukejeli. Rais ambae hakuheshimu...
  9. P

    Mtu kupita bila kupingwa ndani ya Jimbo na Kata ni kunyima uhuru wa Wananchi

    Haiingii akilini kutangazwa MTU kapita bila kupingwa. Kila uchaguzi iwepo kanuni ya uwepo wa mgombea zaidi ya mmoja hata kama ni chama kimoja endapo vyama vingine havisimamishi kwasababu mbalimbali.
  10. Katibu Mkuu CCM usimtishe Mbunge, tunaomba uishauri Serikali Wabunge wote na viongozi waanze kukatwa kodi

    MBUNGE AACHIE JIMBO! Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge wa Mbongwe, Nicodemus Maganga kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aliopohijiwa na gazeti...
  11. Viongozi waliopigania Uhuru wa Afrika, wapumzike kwa amani

    Ninaona Samora Matchel alimuiga Fidel Castro kuanzia mavazi. Dhamira yake ilikua kuifanya Msumbiji kuwa kama Cuba.
  12. J

    Maana ya Uhuru wa kujieleza na Umuhimu wake

    Uhuru wa kujieleza ni haki inayompa kila mtu uhuru wa kutoa na kupokea maoni, kupokea na kutoa taarifa na mawazo bila kuingiliwa. Uhuru wa kujieleza humfanya kila Mwananchi kuwa sehemu ya Serikali na kumfanya awe na uzalendo na Nchi yake. Uhuru wa kujieleza unalinda haki ya mawazo na taarifa...
  13. J

    Umuhimu wa Uhuru wa kujieleza

    Huwa ni msingi wa haki nyingine za kibinadamu.Ikiwa watu wana uhuru wa kujieleza wanaweza kusema pale haki zao nyingine zinapovunjwa na kuwawajibisha wavunja haki Uhuru wa kujieleza husaidia vyombo vya habari kuupa Umma taarifa muhimu kuhusu mambo yanayoendelea kwenye jamii yao Huwapa...
  14. R

    Ikiwa Uhuru na Haki za Binadamu tayari vinazingatiwa kwa kiasi fulani, mengine tutarekebisha taratibu

    Najua kuna mapungufu makubwa katika utawala wa awamu ya sita, wa Rais Samia. Lakini lazima tuwe na pa kuanzia. 1. Angalau kuna uhuru, watu wanaweza wakalala majumbani mwao wakiwa na uhakika kutakucha salama? 2. Kwa kiasi fulani haki za Binadamu zinazingatiwa ingawa bado kuna kazi kubwa ya...
  15. Uhuru, haki na demokrasia katika Awamu ya Sita

    Awamu ya Tano ililaumiwa sana kuhusu kuminya Uhuru, Haki na Demokrasia. Katika kurejesha imani kuhusu "Haki", Rais wa Awamu ya Sita, Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akikemea watendaji wa Taasisi za kusimamia haki ili kuleta ufanisi. Matokeo yake kumekuwa na mabadiliko ya viongozi kwenye Taasisi...
  16. Laiti Rais samia angeijua historia ya soko la Kariakoo katika kupigania uhuru wa Tanganyika

    Mama Samia leo asubuhi aliamkia Soko la Karikaoo kuangalia biashara inavyokwenda na kuzumgumza na viongozi wa soko. Allah ana rehma zake na hutukumbusha mengi kwa njia ambazo mtu huwezi kutegemea. Hapo aliposimama kwenye gari Rais Mama yetu Samia Soko la Kariakoo alikoelekeza sura yake ni Mtaa...
  17. K

    Dkt. Slaa Uhuru wa kufanya Siasa umerudi, una hoja yakusimama jukwaani?

    Dkt. Slaa alikimbia mapambano kwa ahadi ya Ubalozi. Alipofika huko akaacha kukemea maovu na kubariki kila kilichofanywa na mteule wake. Nadhani aliamini mapambano ya haki yasingewezekana tena, aliamini mijadala huru haitakuwepo Tena. Leo tunajiuliza anaweza kujirudi nakuhubiri yanayokinzana na...
  18. Demokrasia na uhuru wa vyama vya siasa una raha yake

    Kusema ukweli demokrasia na uhuru wa vyama vya siasa kufanya kazi zake kwa uhuru kuna raha yake. Mama Samia rais wetu, wewe tayari ni rais huna cha kupoteza, huhitaji teuzi wala ajira yeyote. Ajira uliyonayo ni ya juu kabisa, hakuna ajira zaidi ya urais hivyo huna cha kupoteza wala kuogopa...
  19. Tusome historia ya TANU na Uhuru wa Tanganyika

    TUSOME HISTORIA YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA Hawa vijana wamevutiwa sana na historia ya Abdulwahid Sykes wameagiza vitabu hivyo kutoka Dar es Salaam. Hawa vijana wako Shinyanga. Wana nakala pia ya kitabu cha Rajabu Ibrahim Kirama.
  20. Kenya's multi-billion projects brought back to life

    There are projects through out Kenya that have been run down over the years due to mismanagement of funds and inadequate financial muscle. Some of these projects have roared back to life after President Uhuru Kenyatta allocated funds to their revamping in line with the big four agenda. Below...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…