Tusome historia ya TANU na Uhuru wa Tanganyika

Mohamed Said

JF-Expert Member
Nov 2, 2008
20,910
30,253
TUSOME HISTORIA YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA

Hawa vijana wamevutiwa sana na historia ya Abdulwahid Sykes wameagiza vitabu hivyo kutoka Dar es Salaam.

Hawa vijana wako Shinyanga.

Wana nakala pia ya kitabu cha Rajabu Ibrahim Kirama.

IMG-20210527-WA0173.jpg


20210529_173615.jpg
 
Back
Top Bottom