uhitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. zhang laoshi

    Oil chafu zinazokusanywa mitaani zinaenda wapi? Why uhitaji ni mkubwa hivi?

    Habari wadau! Naomba kufahamishwa Kwa anayelijua hili, oil chafu na makopo ya oil yanayokusanywa na watu toka gereji za magari na pikpik zinaenda kutumia kwenye nini? Nilipewa fununu kuwa kuna jinsi zinapikwa na kurudishwa tena dukani... Pia wanawasihi mafundi wakiwa wanafungua wafungue vizuri...
  2. Roving Journalist

    Mkaguzi Kata ya Kisangura (Mara) awapatia Wananchi wenye uhitaji viti mwendo

    Mkaguzi Kata ya Kisangura Wilayani Serengeti Mkoa wa Mara Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/Insp Genuine Kimario ametoa viti mwendo kwa wananchi wahitaji. Mkaguzi huyo amebainisha kuwa ameendelea kutoa viti mwendo hivyo kutokana na changamoto aliyoikuta kwa wananchi anao wahudumia ambapo aliwaomba...
  3. Brave_Idiot

    Kwa mwenye uhitaji wa website?

    Nimepatwa Shida, Bei imenishuka. Natengeneza website kwa Tsh 150,000 tu. Itatumia CMS ya WordPress. Malipo ni baada ya kazi. Work Delivery ni ndani ya masaa 24. Serious customers tu Jamani 🙏 Nipigie #0656801058
  4. Y

    Nina Uhitaji na mashine hii,naomba msaada.

    Nina Uhitaji wa mashine hii. Nina uhitaji wa mashine ya kusagia vitu vigumu (Multpurpose grain grinders.Ikipatikana used au mpya nitachukua. Nina uhitaji wa mashine hii yenye kuzaga kilo 2,3 hadi 5. Mawasiliano yangu, 0621436829 Dsm
  5. Roving Journalist

    INSP Hadja Mfinaga: Wazazi Tusiwafiche Watoto wenye uhitaji

    Mkuu wa dawati la Jinsia na watoto Wilaya ya Ngara Mkoa wa Kagera Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/INSP Hadja Mfinaga amewaomba wazazi wilayani humo kutowaficha watoto wenye mahitaji maalum na badala yake wawafikishe katika vituo na shule maalum ambazo zitawaendeleza kielimu. Kauli hiyo ameitoa...
  6. Mayor Quimby

    Uhitaji wa Social Reformers Tanzania

    Mambo ni shaghala bhaghala kama nchi. Tanzania aichomoki kwa wahusika wa succession planning waliopo hawana clue dunia inazunguka vipi. Take it or leave it hata hao vijana wa kesho waliopewa madaraka leo, wengi hawana uwezo. Get some serious people tume ya utumishi. Kama teuzi za uongozi...
  7. D

    Natoa vitu hivi kwa mwenye uhitaji wa kweli

    Nimehama makazi ila kuna vitu vya ndani sijahama navyo hivyo navitoa bure kwa mtu anahitaji(mwenye shida kweli) au kama unamjua anayehitaji. -Godoro zima kabisa -Nguo- mashati, Tshirts na surual, nguo nzima ila tu ni za kufua -vyombo vichache vya ndani Mtu awahi kabla sijakabidhi chumba...
  8. JituMirabaMinne

    Nahitaji vijana wawili wenye uhitaji wa kujifunza Car Diagnosis, repairs na umeme wa magari kiujumla.

    Sifa Awe na basic knowledge ya magari madogo(Zingatia). Muaminifu na mchapakazi Garage iko Iko Makuburi, Ubungo. Hakuna malipo. Tuma message ya kawaida au whatsapp +255688758625 (usipige simu tafadhali).
  9. L

    Kwa kijana mwenye uhitaji wa kazi isiyohitaji vyeti

    Mimi ninatafuta kijana wa kazi ya kuuza na kusambaza bidhaa Kwa wateja.kazi ni ya dukani,nafasi moja (1) eneo la kazi ni Arusha Tanzania Sifa zake 1. jinsia yoyote ilimradi awe tayari kukubali mazingira ya kazi. 2. Umri wake awe na angalau miaka 18+ na asizidi miaka 20.( Awe kijana). 3...
  10. C

    Nina uhitaji wa kozi ya lugha ya kingereza

    Wanajamvi naomba mnishauri sehemu ambapo ninaweza kufanya kozi ya lugha ya kingereza, ili niweze kuwa mzungumzaji mzuri, na kuboresha matamashi, uwezo wangu ni "intermediate". Nipo mkoani Dodoma! Kama ni online naomba jina la website Asanteni
  11. C

    Ninahitaji kazi ya ualimu kufundisha Chemistry na Biology

    Kitaaluma ni mwalimu wa masomo ya chemistry na biology. Nina uzoefu wa kufundisha O level na A level kwa zaidi ya miaka tisa sasa. Ninao uzoefu wa kuongoza pia katika nafasi za ukuu wa shule, taaluma na nafasi nyinginezo za uongozi katika taasisi zizsizo za kielimu. Nina uwezo pia wa kufanya...
  12. Mastabata

    Natafuta shule za mahitaji maalum hasa Usonji kwa ajili ya mtoto wangu

    Hellow members, naomba kufahamishwa shule zilizopo dar zinazopokea watoto wenye uhitaji maalum, hasa usonji. Nina mwanangu ana hyo shida
  13. M

    Biblia imesisitiza zaidi kwenye kusaidia zaidi wenye uhitaji na sio kumtajirisha mmiliki/mchungaji au nabii wa kanisa kwa kigezo cha zaka na sadaka.

    Kwenye nyakati tulizopo kumekuwa na utapeli mkubwa miongoni mwetu wakristo kuhusu mambo ya zaka na sadaka. Kuna viongozi baadhi hutumia biblia vibaya kuwatisha waumini wao kwamba inatakiwa sadaka (pesa) zote zipelekwe kanisani. Wengine wameenda mbali zaidi kuwa hata kile kidogo ulicho nacho...
  14. GemMaster II

    Kama unahangaika kuwapata watu wenye uhitaji ili upate baraka/twawabu basi fika vyuoni hasa vyuo vikuu vya serikali

    Naandika haya nikiwa jikoni kabisa.Nimelia sana kwa maneno ya wabunge wanaokula posho za bure kwa kugonga meza na kudharau wanazuoni. Jamani kuna kundi kubwa sana la wanafunzi wa vyuo ndoto zao zinaisha njiani na kufa kabisa kwa sababu za ada,watu wanakosa malazi,watu wanapitia msoto mkali...
  15. Ibrahim daud

    Mimi ni binti mwenye Diploma ya Community Development, nina uhitaji sana wa ajira

    Habarini viongozi, Nina umri miaka 24. Naishi ARUSHA naishi na mama yangu pekee toka nikiwa mdogo mpk sasa Elimu yangu ni DIPLOMA OF COMMUNITY DEVELOPMENT. Nawaomba sana msaada wa kupata AJIRA ya aina yoyote na popote pale Tanzania hii tuweze kujikwamua mimi na MAMA YANGU
  16. Raphael Kalolo

    Nina uhitaji wa soft copies vitabu vifuatavyo

    1. Personal MBA - Josh Kaufman 2. $100 start up - Chris Guillebeau Natanguliza shukrani
  17. cleokippo

    Naomba kuuliza jaman wana sheria" hivi ni kosa kwa mmiliki wa carwash kuwauzia maji wananchi wenye uhitaji?

    Habar za usiku huu wana nzengo, mimi ni mmiliki wa carwash somewhere Kwa bahati mbaya au nzuri pale nilipoweka carwash yangu kuna shughuli kadha wa kadha za kijamii, Kwa kipindi ambacho nimeanzisha hapakuwa na shughuli yeyote ila sasa kutokana na kuendelea kwa lile eneo ndio ikapelekea uwepo...
  18. U

    Msaada: Kijana anahitaji kazi

    Habari zenu wanajukwaa, kuna kijana anahitaji kazi katika maduka ya jumla jumla yanayouza kati ya vitu vifuatavyo 1)Vifaa vya umeme 2)Machines mbali mbali. Anapatikana Dar. Elimu yake ni kidato cha sita, ana nida na ana leseni ya udereva anaweza kuzungumza English kwa ufasaha na anauzoefu wa...
  19. Nyafwili

    Bilionea Warren Buffett: Nikifariki mali zangu wapewe wenye uhitaji

    Bilionea namba 5 duniani kwa mujibu wa jarida la Forbes, Warren Buffett baada ya mwanahisa mwenzake ndani ya kampuni ya ''Berkshire Hathaway'' Bwana Charlie Munger kutangulia mbele ya haki 28/11/2023 Kwenye jarida la Fortune Magazine, linaeleza kuwa kwenye barua iliyochapishwa na kampuni ya...
  20. sky soldier

    Kuna siri ya mafanikio ya Yanga kwa kusaidia vituo vya watu wenye uhitaji maalum?

    Na sio ndani ya nchi tu ni mpaka nje ya nchi, mfano kwa sasa timu ipo Algeria lakini ikiongozwa na Rais Hersi leo mchana walitembelea na kuwapatia mahitaji mbalimbali. kituo cha watoto wenye uhitaji maalum kiitwacho Orphans of El MOHAMMADIA kilichopo mjini Algiers,
Back
Top Bottom