FACT KUELEKEA UCHAGUZI:- MTAJI WA WAGOMBEA.
Na Thadei Ole Mushi.
Ccm inakwenda kwenye uchaguzi ikiwa na Jumla ya Kura Milioni 11,111,500 (Milioni Kumi na moja,Laki Moja,kumi na Moja elfu na miatano).
Ipo hivi Jumla ya matawi ya CCM nchi nzima na yaliyoshiriki Kura za maoni Ni 2,22,230 kila...