Uchaguzi 2020 Rukwa: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,797
11,959
Wakuu,

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Rukwa. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.

Mkoa wa Rukwa una jumla ya majimbo ya uchaguzi 5 ambayo ni

Sumbawanga Mjini -
Aeshi Khalfan Hilary (CCM) - Kura 36, 807
Sadrick Enock Malila (CHADEMA) - Kura 17,829.

Nkansi Kaskazini -
Aida Khenani (CHADEMA) - Kura 21,226
Ally Keissy (CCM) - Kura 19,972

Nkansi Kusini - Kalambo -
Josephat Sinkamba Kandege (CCM) - amepita bila kupingwa


Kwela -
Deus Sangu (CCM)


ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
 
Back
Top Bottom