Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,814
- 11,991
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Geita. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Geita una jumla ya majimbo ya uchaguzi 7 na wabunge Walioshinda kwenye hayo majimbo ambayo ni:-
Busanda-
Tumaini Magesa (CCM)
Geita Mjini-
Constantine Kanyasu(CCM) - Kura 30,277
Upendo Peneza(CHADEMA) - Kura 17,272
Geita vijijini-
Joseph Musukuma (CCM) - Kura 31, 520
Neema Chozaile (CHADEMA) - Kura 3,901
Bukombe-
Dotto Biteko (CCM)
Chato-
Medard Kalemani (CCM)
Mbogwe-
Nicodemas Maganga (CCM)
Nyang'alwe-
Hussein Amar (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Geita. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Geita una jumla ya majimbo ya uchaguzi 7 na wabunge Walioshinda kwenye hayo majimbo ambayo ni:-
Busanda-
Tumaini Magesa (CCM)
Geita Mjini-
Constantine Kanyasu(CCM) - Kura 30,277
Upendo Peneza(CHADEMA) - Kura 17,272
Geita vijijini-
Joseph Musukuma (CCM) - Kura 31, 520
Neema Chozaile (CHADEMA) - Kura 3,901
Bukombe-
Dotto Biteko (CCM)
Chato-
Medard Kalemani (CCM)
Mbogwe-
Nicodemas Maganga (CCM)
Nyang'alwe-
Hussein Amar (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.