uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Olesendeka: Kosa ambalo CCM haifanyi ni kumleta mgombea Urais ambae rekodi yake haijathibitika kuwa anaweza kuongoza Nchi hii

    Aliyekuwa Mbunge wa Simanjiro na mwanasiasa mkongwe, Christopher Olesendeka, amesema wagombea wa Urais wa Tanzania kutoka vyama vya upinzani hawawezi kulinganishwa na mgombea wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza katika kampeni za ubunge jimbo la Mbulu Mjini mkoani Manyara hivi karibuni...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenezi CCM, Arumeru: CCM hatujahusika kuwaambia msishiriki Uchaguzi, wanaohamasisha kutoshiriki wamepewa uraia huko nje

    Mwenezi CCM, Arumeru Magharibi amesema CCM hatujahusika kuwambia msishiriki uchaguzi, wanaohamasisha kutoshiriki wamepewa uraia huko nje.
  3. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Wasira amesema 'hapa Tanzania kwaka huu CCM inaogopa CHADEMA, inawakamata ili ishinde uchaguzi'

  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Urais wa AAFP, Kunje Ngombale Mwiru: Mafisadi watakumbana na Bwawa la Mamba Ikulu

    "Ili kukomesha ufisadi nitawaambia Idara ya usalama wa Taifa ndani ya miezi miwili wajenge bwawa la mamba pale Ikulu ili mtu akigusa kitu cha umma aogope na akiheshimu, akitumia vibaya atakumbana na bwawa la mamba pale Ikulu yangu" - Kunje Ngombale Mwiru Mgombea Urais kupitia Chama cha Wakulima...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Olesendeka: Samia anashindanishwa na nani? CHAUMMA Au ACT, au kitu kingine kinaitwa NRA?

    Aliyekuwa Mbunge wa Simanjiro na mwanasiasa mkongwe, Christopher Olesendeka, amesema wagombea wa Urais wa Tanzania kutoka vyama vya upinzani hawawezi kulinganishwa na mgombea wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza katika kampeni za ubunge jimbo la Mbulu Mjini mkoani Manyara hivi...
  6. The Watchman

    JamiiForums Tanzania GE2025 Golugwa: Vyombo vya ulinzi na usalama visiwashambulie raia

    Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Amani Golugwa, ametoa wito kwa vyombo vya ulinzi na usalama kuacha kuwashambulia wananchi wanaojitokeza kuonesha hisia zao katika masuala yanayohusu maisha na mustakabali wa taifa. Golugwa ameyasema hayo wakati wa mazungumzo...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jaji: Hakuna amri ya Polisi kufukuza wafuasi wa CHADEMA Mahakamani katika Kesi ya Tundu Lissu

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam imetupilia mbali hoja iliyokuwa umewasilishwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uhaini, ambaye alidai kuwa Polisi kupitia amri ya ZCO waliwatoa watu (viongozi na wafuasi wa CHADEMA) waliofika Mahakamani...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nyalandu: Wasiojiweza wasaidiwe kupiga Kura

    Waziri wa zamani, Lazaro Nyalandu, amewasihi viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Hanang mkoani Manyara kuhakikisha mipango inafanyika ili watu wenye ulemavu na wazee waweze kufika kwenye vituo vya kupiga kura. Nyalandu ametoa kauli hiyo jana Septemba 16, 2025 katika mkutano wa...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Morogoro: Lucy Shayo afikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi kwa tuhuma za kusambaza taarifa za Uongo

    Lucy Simon Shayo amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro asubuhi hii. Lucy Shayo anatuhumiwa na kuchapisha na kisambaza taarifa za uongo mitandaoni kwamba CCM wanatumia magari ya jeshi katika mikutano yao ya kampeni. Kumshikilia mtuhumiwa kwa siku sita bila kumfikisha mahakamani kunazua...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Asia Halamga: Nyie ni Mkono wangu wa Kuume, mkinichagua nitakuja kulala kwenye Kata zenu

    Mgombea Ubunge Jimbo la Hanang Kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Asia Halamga amesema kuwa m iwapo atapewa ridhaa ya kuwa Mbunge Wa Jimbo hilo atahakikisha anamalizia miradi iliyoanzishwa anamalizia na kujenga miundombinu ya huduma muhimu Katika kata ambazo hazijafikiwa na huduma hizo. Halamga...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wolper: Mimi ni Kioo cha jamii, siwezi kukalia kimya uonevu wanaofanyiwa Wananchi

    Mwigizaji Jacqueline Wolper ameeleza kuwa ameumizwa sana na jambo lililotokea jana Septemba 15, 2025 kati ya wanachama wa Chadema na polisi katika viunga vya mahakamani, kwenye kesi ya Tundu Lissu baada ya kuonekana Polisi wakiwashambulia kwa virungi na kujeruhi. Amesema, "Mimi ni kioo cha...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wafuasi wa CHADEMA wasusa kusikiliza kesi ya Lissu baada ya wenzao kuzuiwa kuingia ndani ya Mahakamani

    Leo Polisi wanazuia watu kuingia ndani ya chumba cha mahakama, kusikiliza Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu, wakidai mahakama imejaa lakini ndani hali ni hii. Watu wametoka nje ya chumba cha mahakama kushinikiza watu waliozuiwa kuingia mahakamani waruhusiwe...
  13. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mawakala wa Mabasi Dodoma wajidhatiti Kushiriki Uchaguzi

    Mawakala wa Mabasi Kituo Kikuu cha Mabasi Mkoani Dodoma wameishukuru serikali ya awamu ya sita kwa ujenzi wa Kituo hicho, wakikitaja kama Mkombozi wa Vijana wengi Mkoani humo ambao wamekuwa wakijishughulisha na shughuli mbalimbali Kituoni hapo ikiwemo ujasiriamali na biashara ndogondogo...
  14. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea ubunge Ukonga (ACT): Hatugombei kwa bahati mbaya, tumegombea kwa sababu tumevurugwa. Kijana tuliyemuamini ameshindwa kutulipa hisani

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ukonga kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Bakari Shingo, amesema uteuzi wake si wa bahati mbaya bali ni dhamira ya chama chake kuhakikisha changamoto zinazowakabili wananchi wa Ukonga zinapatiwa ufumbuzi. Akizungumza Septemba 15, 2025 katika uzinduzi wa kampeni...
  15. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nyalandu: Watu wana Upendo wa dhati kwa CCM, Samia

    Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii katika Serikali ya Awamu ya Nne, Lazaro Nyalandu, amesema kuwa safari yake katika mikoa ya Singida, Tabora, Kigoma na maeneo mengine kumnadi mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amethibitisha kuwa hamasa ya wananchi ni...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jamal Rwambow: CCM ilichukua laki 5 yangu, wakasema sifai kugombea

    Aliyekuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Jamal Rwambow ambaye kwa sasa anagombea Ubunge wa chama Cha ACT Wazalendo, Jimbo la Mbagala ambaye amefunguka mengi sana. Soma > Aliyekuwa Kamishna wa Jeshi la Polisi, Jamal Rwambow ajiunga na ACT Wazalendo
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Juma Khatib wa ADA TADEA: Nikiwa Makamu wa Rais nitamsaidia Rais Mwinyi kufanikisha hatua kubwa za maendeleo

    Mgombea wa kiti cha urais kupitia chama cha ADA Tadea Mheshimiwa Juma Ali Khatibamesema lengo la chama cha ADA TADEA ni kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali na kueka matumaini ya kuendelea kuongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni Mgombea kupitia Tiketi ya...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Waganga wa Jadi Tabora watambika kuombea Uchaguzi wa Oktoba 29, 2025

    Umoja wa Wataalamu wa Tiba za asili, pamoja na viongozi wa mila ambao ni Machifu, Watemi na Watwale kutoka mkoa wa Tabora wamekusanyika katika eneo la matambiko ya asili lililopo Izimbili kata ya Kalunde Manispaa ya Tabora na kufanya matambiko ya kimila wakiombea uchaguzi mkuu wa oktoba 29...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ulinzi mkali asubuhi hii Mahakama Kuu Kesi ya Lissu

    Kutoka viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, hivi ndivyo hali ilivyo asubuhi hii ambapo maafisa wa Jeshi la Polisi wanaonekana wakiimarisha ulinzi Ikimbukwe kuwa, pamoja na mambo mengine kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea ubunge ACT: Nitakwenda kuwa chawa wa wananchi wa Simanjiro

    Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Simanjiro kupitia ACT-Wazalendo Ndg.Olekai Letion Laizer amesema kuwa ikiwa atachaguliwa kuwa mbunge wa Simanjiro atakwenda kutetea maslahi ya wananchi wa Simanjiro. Letion ameyasema hayo akiwa katika Kata ya Komolo wilayani Simanjiro wakati akizindua...
Back
Top Bottom