uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sheikh Ponda Aomba Kura Temeke, Aahidi Kutetea Wananchi Kama Alivyofanya Mtwara

    Mgombea ubunge wa Temeke kupitia Chama cha ACT- Wazalendo, Sheikh Ponda Issa Ponda, amewa-omba wakazi wa Temeke kumchagua kuwa mbunge wao ili kuweza kuwakilisha kero zao bungeni, ka-ma alivyowahi kufanya kwa wananchi wa Mtwara wakati wa mgogoro wa gesi na mambo yakawa sawa. Sheikh Ponda amesema...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wakazi Wamtaka Mgombea Ubunge Bahati Ndingo Aweke Kipaumbele Kilimo cha Umwagiliaji

    ampeni za Uchaguzi Mkuu zimeendelea katika Jimbo la Mbarali, mkoani Mbeya, ambapo baadhi ya wakazi wametoa ombi kwa mgombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bahati Ndingo, kusimamia agenda ya upatikanaji wa ardhi ya kutosha kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji. Ombi hilo limeibuliwa...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Shekhe Ibrahim Mavumbi: Bila kujali dini jitokezeni kupiga kura Oktoba 29

    Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Alihaji Shekhe Ibrahim Mavumbi, ametoa wito kwa wananchi wote bila kujali dini wanayo abudu, kujitokeza kupiga kura ifikapo Oktoba 29, mwaka huu, ilkutekeleza haki yao ya msingi ya kuchagua viongozi watakao waongoza.
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Tuchague viongozi bora wenye nia na uwezo wa maendeleo

    Mgombea Urais kwa tiketi ya CHAUMMA, Salum Mwalim amewaomba wananchi wautumie vyema uchaguzi kuleta viongozi bora baada ya kuwapima nia na uwezo wao wa kuchagiza maendeleo. Mwalim ametoa rai hiyo alipokuwa akinadi sera na kuomba kura kwa wananchi wa Sengerema kama anavyoeleza Emmanuel Kalemba...
  5. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania GE2025 Walioahidiwa Ubunge ndani ya ACT Wazalendo ni watu wawili tu, Zitto Kabwe, Ado Shaibu. Wengine wanatumika tu

    Kutoka vyanzo vya kuaminika kwa asilimia 99.99 ni kwamba Ndani ya ACT Wazalendo ni watu wawili tu walio ahidiwa kubewa ubunge au kupewa ubunge nao ni Zitto Kabwe na Ado Shaibu katibu mkuu wa ACT Wazalendo. Hawa wana baraka kutoka Ikulu kwa Mamana pia hata kwa Mgombea mwenza wa CCN Nduhmgu...
  6. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mastaa Nchini walaani kitendo cha polisi kuwapiga wafuasi wa CHADEMA

    Watu mbalimbali mashuhuri nchini Tanzania wamelaani kitendo cha Jeshi la Polisi kuwapiga kwa virungu baadhi ya wafuasi wa CHADEMA ambao waligoma kuondoka katika nje ya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, baada ya kuambiwa ukumbi umejaa.
  7. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mndeme: Tunahitaji Kigamboni isiyokuwa na vikwazo

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni, Jijini Dar es Salaam kupitia tiketi ya chama cha ACT Wazalendo, Wakili Mwanaisha Mndeme ameahidi kuwa endapo atapewa ridhaa ya kuwa Mbunge wa jimbo hilo, atakuwa sauti ya wananchi katika kuibua, kufuatilia na kutatua changamoto zinazowakabili kwa muda mrefu...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais wa TLS, wakili Mwabukusi: Anakwambia kinukishe, mwingine yupo Ulaya

    "Nilimwambia mtu mmoja nyumbani kwangu ninapotoka kunajulikana, watoto wangu wanaposoma kunajulikana. Sijifichi. Pia soma > Wakili Mwabukusi akataa kuvuruga amani ya nchi, asema Rais hafokewi "Mwingine anayekwambia pambana. Kinukishe au kafanye hivi hajulikani anapoishi. Akikuandikia meseji...
  9. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mapingamizi ya Tundu Lissu yatupwa, anarejeshwa tena gerezani, Mahakama kuendelea Saa Nane Mchana

    Jopo la majaji watatu wa Mahakama Kuu, masjala ndogo ya Dar es Salaam, ambao ni Jaji Dunstan Nduguru, Jaji James Karayemana na Jaji Ferdinand, wametupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Tundu Lissu kwenye kesi ya uhaini na kusema kuwa hayawezi kuifanya mahakama hiyo kukosa mamlaka, leo...
  10. The Watchman

    JamiiForums Tanzania GE2025 Video: Polisi zaidi ya 10 wakimshambulia mwananchi aliyefika mahakama kuu kufuatilia kesi ya Lissu

    Polisi zaidi ya 10 wakimshambulia mwananchi nje ya mahakama, mwananchi huyu alifika kufuatilia kesi ya Mh. Tundu Lissu leo. PGO inawaelekeza askari wote, kujiepusha na vitendo vyote visivyo vya kibinadamu au vyenye kushusha heshima ya mtu kwa mazingira yoyote kwani havivumiliki kwa Polisi...
  11. Mafunzo yote ya Udereva

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ikiwa karatasi za kura zilichapishwa bila kuwepo Mgombea wa ACT katika nafasi ya urais je Mpina angeshindaje pingamizi!?

    Huyu ZZB , amekuwa mnafiki Sana , Kama anawatengenezea Ccm mazingira ya kupata 99.9% na kuwatumia wenzake sio sahihi . CCM ina mbinu zake za kupata ushindi , Ila pia Ccm hakuna kitu wanaogopa Kama kupata mtu anayewafunua nguo. Kwa katiba ya ACT, kwa Zitto na n.k maana yake wanajua na...
  12. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Je, unakabiliana vipi na matokeo ya kura yanayovuja mtandaoni kabla ya taarifa rasmi kutoka kwa mamlaka?

    Katika uchaguzi wowote, mara nyingi taarifa huibuka kabla ya matokeo rasmi. Matokeo yanayovuja mtandaoni yanaweza kuchanganya mawazo na kuibua mashaka. Je, wewe unakabiliana vipi na taarifa hizi kabla ya kutolewa rasmi na mamlaka? Soma Pia: GE2025 - Je, taarifa za wagombea unazoziona mtandaoni...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Rais Samia unaombaje kura wakati umeshindwa kumaliza ugonjwa la Maralia, na uwezo ulikuwa nao?

    Tanzania Zanzibar hakuna maralia lakini Tanzania Bara kuna maralia ambapo inauwa watoto, wa mama wajawazito na hata wazee, lakini ulikuwa unawezo wa kumaliza ugonjwa la Maralia, na uwezo ulikuwa nao hiyo ni kulinda maslai ya watu fulani kwa sababu ya bishara ya dawa
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Cecilia Paresso: Rais Samia amejenga shule za wasichana kwa michepuo ya Sayansi shule 26 katika mikoa yote Tanzania Bara

    Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Cecilia Paresso ameainisha sababu za Watanzania kumpa kura Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan. Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara mbele ya mgombea mwenza wa Urais Dkt. Emmanuel Nchimbi uliofanyika mkoani Arusha...
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Agnesta Kaiza: Nichague mimi ili wana Segerea mpate mabadiliko ya kweli

    Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Agnesta Lambert Kaiza amesema licha ya changamoto za kiuchumi anazodai zimesababishwa na uongozi uliopo chini ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wananchi wameendelea kutafuta riziki kwa juhudi zao wenyewe, hivyo...
  16. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia: Tutahakikisha barabara za vijijini inajengwa kwa changarawe na umeme katika vitongoji Kigoma

    Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika kampeni kunadi sera Kigoma Mjini amewaahidi wananchi kuwa watahakikiha barabara zote za vijijini ambazo hazipo kwenye mpango wa kujengwa kwa lami inajengwa kwa changarawe ili kupitika misimu yote mwaka mzima Pia...
  17. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia: Tutalipa fidia zote, Serikali ya Chama cha Mapinduzi haidhulumu mtu tutakuja kulipa

    Mgombea Urais Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Kigoma Mjini leo Septemba 14, 2025 akiendelea na kampeni za CCM amewahakikishia wananchi kuwa katika miradi yote iliyoanzishwa na kutekelezwa na serikali kama kuna maeneo ya wananchi...
  18. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia: Tumejidhatiti Kuungasisha Kigoma kwa njia zote barabara, reli na njia ya maji

    Mgombea Urais Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Kigoma Mjini leo Septemba 14, 2025 akiendelea na kampeni za CCM amesema serikali yake imejidhatititi kukuza uchumi wa Mkoa wa Kigoma kwa kuboresha na kukamilisja ujenzi wa barabara, anga, reli na...
  19. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia: Ni dhahiri kwamba tumetimiza ahadi na mikakati ya CCM Kigoma

    Mgombea Urais Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika kampeni Kigoma Mjini ameeleza namana mikakati na miradi ya maendeleo iliyowekwa na serikali ya awamu ya tano kuwa imekamilika
  20. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 ACT Wazalendo kumwekea Pingamizi Samia ikidai uteuzi wake haukufuata Katiba na Kanuni za chama hicho

    Chama cha ACT Wazalendo kimetangaza kuwa kitaweka pingamizi dhidi ya uteuzi wa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, kikidai kuwa uteuzi wake haukufuata Katiba na Kanuni za chama hicho Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 14 Septemba 2025 jijini Dar es...
Back
Top Bottom