uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nipe Maji

    PreGE2025 POTOSHI Kauli ya Rose Mayemba kuwa uwezo wa Mwenyekiti kuipeleka CHADEMA mbele umeisha ilimlenga Lissu

  2. Just Pray

    GE2025 Chacha Heche: CHADEMA pekee yake ndiyo mshindani wa CCM

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mara, Chacha Heche, amesema kuwa hadi sasa chama pekee cha upinzani chenye uwezo wa kuibana CCM kisiasa na kulazimisha mawazo mapya ni CHADEMA pekee, akisisitiza kuwa hakuna chama kingine cha upinzani chenye ushawishi na nguvu...
  3. DuaZaMama

    GE2025 Ally Bananga: Mchujo wa wagombea DAR umekamilika

    "Kwenye upande wa wabunge na Viti Maalum jumla ya Wana Dar es Salaam zaidi ya Mia Nne walijaza fomu. Unapokaa na kujadili nafasi hizo mchakato wake unakuwa ni mrefu kwa sababu tulikuwa na vikao vya ngazi ya Sekretarieti, maadili na kamati ya siasa. "Pia tulikuwa na vikao vya ngazi ya Jumuiya za...
  4. Waufukweni

    GE2025 CHAUMMA: Tupo tayari kuungana na vyama vingine kudai mabadiliko

    Wakuu! CHAUMMA wanaingia kama Avengers wa siasa! Katibu Mkuu wao, Salum Mwalimu, anasema wapo tayari kushirikiana na vyama vingine vya upinzani lakini si kwa chokochoko, bali kwa maarifa na misingi madhubuti ya mabadiliko! 😅 === Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum...
  5. Waufukweni

    GE2025 Zitto Kabwe: Polisi atakayebeba Kura Bandia ni halali yetu

    Kiongozi mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, ametoa onyo kali kwa maafisa wa polisi na watendaji wengine wa serikali wanaoshiriki katika kile alichokiita uingizaji wa kura bandia kwenye uchaguzi, akisema chama hicho hakitasita kuchukua hatua hata kama mhusika ni askari wa vyombo vya...
  6. Zanzibar-ASP

    GE2025 DOKEZO Responded Nani anaratibu au kusajili haya magari yenye plate number mfanano zenye maandishi ya SSH? Tunajua athari zake?

    Kuna kitu cha ajabu kidogo kinaendelea hapa Tanzania kuhusu magari yenye plate number zenye maandishi ya SSH zikifuatiwa na namba za 25 30, 2025 30, nk Nimewahi kudadisi na kuchunguza kupitia afisa wa TRA, Trafiki wa barabarani na wamiliki wa hayo magari, na haya ndio niliyogundua. Afisa wa...
  7. DuaZaMama

    SI KWELI PreGE2025 CHADEMA yajipanga kurejea katika kinyang'anyiro cha Uchaguzi mkuu 2025

    wakuu === Nimekutana na hizi taarifa ni kweli CHADEMA watashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, mwenye taarifa za ukweli atusaidie.
  8. Prof_Adventure_guide

    Je, Mpango wa Kumuua Tundu Lissu kwa Sumu Ukiwa Kizuizini Ni Dalili ya Taifa Lenye Hofu ya Ukweli na Kukwama Kisaikolojia Kabla ya Uchaguzi Mkuu 2025?

    Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya CHADEMA, kuna taarifa za kijasusi zinazoibua hofu kuhusu mpango wa kumuwekea sumu Tundu Lissu akiwa kizuizini. Swali kuu ni: tunapoingia uchaguzi mkuu wa 2025, je, hii ndiyo lugha ya kisiasa tunayoruhusu kama taifa? Kama msomi wa saikolojia ya siasa, jaribio la...
  9. The Palm Beach

    GE2025 Jaji Warioba: CCM wako tayari kufanyia mabadiliko maeneo kadhaa kabla ya uchaguzi mkuu 2025. CHADEMA msimamo wao ni mkali mno, wanataka yote

    https://youtu.be/sjfPgpGxlPM?si=KotQLiYWJwasPFmS Leo nimepata nafasi ya kumsikiliza mzee wa CCM, Jaji Joseph Warioba akishirikiana na wenzake kujaribu kuwaleta CCM na CHADEMA pamoja ili kunusuru mgogoro mkubwa wa kisiasa uliopo Sasa na nchi kuingia ktk uchaguzi ikiwa moja badala ya mgawanyiko na...
  10. DuaZaMama

    GE2025 Shamsia Mtamba, amechukua fomu ya ubunge jimbo la mtwara Vijijini kupitia CUF

    Mbunge wa Jimbo la Mtwara Vijijini anayemaliza muda wake, Mhe.Shamsia Mtamba, amechukua fomu ya kutetea nafasi ya ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama chake cha Wananchi-CUF. Shamsia amechukua fomu hiyo katika ofisi za Chama cha CUF wilaya ya Mtwara. Amesema dhamira yake ya kuchukua fomu na...
  11. Carlos The Jackal

    Niliwaambia CHADEMA itashiriki uchaguzi mkuu 2025, mabadiliko kufanyika. LISSU alitumia Mbinu ya kung'oa magugu ili abakishe Ngano

    Wale mlohama CHADEMA, inaenda kula Kwenu. Ni Maneno ya LISSU, amtaka HAKIMU kutoruhusu kuendelea kua Gerezani Ili tu kufanya CHADEMA ishirik Uchaguzi Mkuu! What a Genius !!! 🔥🔥
  12. Roving Journalist

    GE2025 Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Udiwani katika Uchaguzi Mkuu 2025

    Tunavyoelekea kwenye uchaguzi Mkuu 2025 baadhi ya vyama vya siasa nchini vimefungua dirisha kwa wanachama wao kutia nia kugombea nafasi za Udiwani. Uzi huu utakusogezea wananchi wanaotia nia kugombea nafasi ya Udiwani na watakaopitishwa na vyama vyao kugombea nafasi hiyo. Juni 2025 Pre...
  13. Roving Journalist

    GE2025 Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu 2025

    Tunavyoelekea kwenye uchaguzi Mkuu 2025 baadhi ya vyama vya siasa nchini vimefungua dirisha kwa wanachama wao kutia nia kugombea nafasi za ubunge. Uzi huu utakusogezea wananchi wanaotia nia kugombea nafasi ya Ubunge na watakaopitishwa na vyama vyao kugombea nafasi hiyo. Juni 2025 Mchungaji...
  14. The Palm Beach

    Dr Wilbroad P. Slaa: Afichua mpango wa siri CCM kuitaka CHADEMA iandae wagombea uchaguzi mkuu 2025

    https://youtu.be/DzhhwThYJOY?si=IRsW6tOKSbFXAH_f Very unfortunately kuwa, wanasema haya wakati kwa mlango wa nyuma wanawatesa CHADEMA walio kinyume na mawazo yao maovu.... Mfano; CCM wanawezaje kuwa na hoja ya namna hii wakati Mwenyekiti wa chama kikubwa CHADEMA, mshindani mkuu wa chama...
  15. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Jafo: Tunapoenda kwenye uchaguzi mkuu 2025 mafanikio yote haya atuwezi kujivunia kama tukishindwa kulinda amani ya nchi

    Niwaombe Watanzania wote tunapoelekea kwenye uchaguzi wa mwaka huu 2025, mafanikio yote tuliyonayo kama haya atuwezi kujivunia kama tukishindwa kulinda amani ya nchi.
  16. Magodi Katuni

    Uchaguzi Mkuu 2025

  17. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Salim Kikeke athibitisha kugombea ubunge kulekea uchaguzi mkuu 2025

    Leo katika posti yake katika mtandao wa Instagram Salim Kikeke amesema akitoka kwenye majukumu yake nje ya nchi atakuja kugombea moja ya jimbo, licha ajaweka ni jimbo gani Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya...
  18. Magodi Katuni

    Uchaguzi Mkuu 2025 #GE2025

  19. DuaZaMama

    PreGE2025 Chama Cha mapinduzi CCM kitashinda Uchaguzi Mkuu 2025 Kwa kishindo

    Licha ya upinzani mkubwa wa sera na mipango mikubwa ya Chadema ni wazi CCM ni mshindi mpaka sasa Kwa sababu hawa Chadema wenye wafuasi wengi hawatashiriki uchaguzi. CCM Wana Hela za kutosha hawana tone Kwa tone, Wana vyombo vya ulinzi Wana watumishi wa Umma kama walimu ambao wao Kila kitu...
  20. Mshana Jr

    Special Thread: Motivational/ Interesting/ Wise Quotes

Back
Top Bottom