Katika kuhakikisha Uchaguzi Mkuu 2025 unafanyika kwa usalama na amani Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe kupitia watendaji wake wa kata limeendelea kutoa elimu kwa makundi mbalimbali katika jamii, wakiwemo wasafirishaji wa abiria kwa kutumia Pikipiki maarufu kama bodaboda, kuhusu umuhimu wa...
More to come…
Kaiweka barua mwenyewe mtandaoni:
=======
Kwa heshima na unyenyekevu, naomba kukutaarifu kuwa nimefikia uamuzi wa kujiuzulu nafasi yangu ya Uongozi wa Umma nikiwa Balozi na Mkuu wa Kituo cha Uwakilishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Havana – Cuba, pamoja na uwakilishi wa...
Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Kaskazini Yosepha Komba ambae kwa sasa ni mtia nia wa Ubunge Jimbo la Muheza kupitia CHAUMMA amedai kuwa ni vyema kuwakabili CCM kwenye maboksi ya kupigia kura kuliko kuwasusia wabaki wenyewe, kwakuwa hakuna namna uchaguzi unaweza kuzuiliwa ikiwa...
Mwanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), Rose Kahoji amekuwa mwanamke wa tatu nchini kutangaza nia ya kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Kwa hatua hiyo, Kahoji anaungana na Rais wa sasa, Samia Suluhu Hassan wa CCM, ambaye tayari amepitishwa na chama chake kuwania nafasi...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, amesema kuwa serikali imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 23.5 kwa ajili ya ujenzi wa vituo vipya vya afya katika majimbo mbalimbali nchini, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa awamu ya pili ya...
Hili liko Wazi, Kwa Kisesa huwezi itenganisha na MPINA, MPINA ndio Kisesa na Kisesa ndio MPINA.
Kama CCM wanamkata MPINA mwenye Jimbo lake, maana yake hamna mwanaCCM pale anayekubalika, hii Inakua picha halisi kua UCHAGUZI HUU WA KIHUNI, CCM WATAUPORA TU.
Huwezi kukata MTU anayekubarika(...
Anaandika Mkurugenzi wa THRDC Onesmo Kasale Olengurumwa kupitia ukurasa wake wa Instagram:
====
Sijajua tunataka wabunge wa aina gani - nilisifia hizi kanuni mpya za Chama Cha Mapinduzi CCM upande mmoja kuwa imeongeza watu wengi kupiga kura na kupunguza rushwa ila nikaonesha hatari ya...
Sitaki kuamini hii naomba isiwe kweli .
Gambo huyu aliyekuwa anamnyanyasa Lema
Gambo huyu huyu mpakaji wa Majungu .
Gambo huyu huyu ambaye alizuia hosptali ya Mama na mtoto isijengwe Arusha.
Ahaaaaa!!!!!!
Najua hii habari ikiwa ni ya kweli basi bia zitaisha kwenye bar , maana watu...
1. You are a very resourceful person.
2. Umekatwa kwa fitina za mkuu wenu wa chama.
3. Nakushauri nenda ACT kagombee, utapita maana wananchi ni wako by 100%. Labda wakuengue kwa sababu za kishenzi as usual!/kukuibia kura kwa amri ya Mkuu wa chama chako na ushenzi mwingine kama huo
Kumbukizi, Wabibi wa kichaga uko moshi vijijini wanasema walimchagua mbunge akarudi kuwaonesha kitambi hakuna kitu amewasaidia
Soma pia: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Chanzo: habari24media
Mbunge wa jimbo la Mtama Nape Nnauye kupitia ukurasa wake Instagram amechapisha picha zinazomuonesha akizungumza na mwananchi aliyekaa kwenye kiti huku Mbunge huyo akikaa kwenye vumbi.
Kipindi hiki cha Uchaguzi wananchi wananyenyekewa sana kama wafalme kwa sababu ya thamani ya kura zenye kuamua...
"Chama cha Mapinduzi. Hakitaki kusikia wala hakijafanya jitihada zozote kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na kuaminika. Sisi tunawaambia kuwa tumejipanga. Tunakwenda kwenye uchaguzi tukiwa na mikakati."
Ameeleza haya katika mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Same Mashariki Mkoani...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda, amewataka wanachama na viongozi wa chama hicho waliokabidhiwa jukumu la kusimamia mchakato wa kuchuja wagombea wa uchaguzi kutenda haki na kuepuka upendeleo.
Waziri Mkuu...
Aliyekuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema Taifa Andrea Oisso, ambaye hapo awali alitangaza kujiondoa CHADEMA kutokana na kutokubaliana na msimamo wa chama hicho kuchukua mrengo wa kususia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kwa madai ya kutaka mageuzi kwanza, ameweka wazi kuwa tayari amepata jukwaa...
Makamu Mwenyekiti wa Machifu Tanzania Mtemi Msogata Fundikila ametangaza kuwa kesho ataungana na maelfu ya wakazi wa mkoa wa Tabora na mikoa ya jirani kufanya Dua maalumu ya kuiombea amani Tanzania hususan katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba 2025.
Mtemi huyo amesema...
Fridah mmanga - mratibu wa Sauti ya Mwanamke Sandukuni
Kuelekea kwenye uchaguzi mkuu 2025 sauti ya mwanamke wamezindua kampeni ya #MwanamkeSandukuni ambayo inamtaka mwanamke kushiriki uchaguzi mkuu.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special...
Maoni ya wajumbe mbalimbali kuelekea Uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Akijibu kuhusu swali la wajumbe kuwa vigeugeu Mary Komba, Mwenyekiti wa UWT Tawi la Biyuda, Kinondoni amesema "Ni kweli wajumbe tunakuwa vigeugeu na tunatamani kubalika na wajumbe mwaka huu tusiangalie pesa tuangalie maendeleo"...
Wananchi wa Jimbo la Mwibara, lililopo mkoani Mara, wamemwomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), awasikilize kilio chao kwa kuwapatia mgombea mpya katika uchaguzi ujao, wakieleza kutoridhishwa na utendaji wa...
MKOA WETU UNAHITAJI WABUNGE WENYE SIFA HIZI KATIKA MAJIMBO YETU
1. Mbunge mwenye mpango kazi binafsi wa miaka mitano kama mbunge, siyo mbunge wa kujivunia miradi iliyotekelezwa na serikali pasipo yeye kubuni hata mradi mmoja ndani ya Jimbo.
2. Mbunge anayebeba hoja na mahitaji ya wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.