uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe imetoa elimu kwa bodaboda kuepeuka kutumika vibaya kipindi cha uchaguzi

    Katika kuhakikisha Uchaguzi Mkuu 2025 unafanyika kwa usalama na amani Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe kupitia watendaji wake wa kata limeendelea kutoa elimu kwa makundi mbalimbali katika jamii, wakiwemo wasafirishaji wa abiria kwa kutumia Pikipiki maarufu kama bodaboda, kuhusu umuhimu wa...
  2. Ex Spy

    GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    More to come… Kaiweka barua mwenyewe mtandaoni: ======= Kwa heshima na unyenyekevu, naomba kukutaarifu kuwa nimefikia uamuzi wa kujiuzulu nafasi yangu ya Uongozi wa Umma nikiwa Balozi na Mkuu wa Kituo cha Uwakilishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Havana – Cuba, pamoja na uwakilishi wa...
  3. R

    GE2025 Yosepha Komba: Hakuna namna unaweza kuzuia uchaguzi ikiwa si sehemu ya uchaguzi

    Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Kaskazini Yosepha Komba ambae kwa sasa ni mtia nia wa Ubunge Jimbo la Muheza kupitia CHAUMMA amedai kuwa ni vyema kuwakabili CCM kwenye maboksi ya kupigia kura kuliko kuwasusia wabaki wenyewe, kwakuwa hakuna namna uchaguzi unaweza kuzuiliwa ikiwa...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Rose Kahoji autaka urais kupitia CUF

    Mwanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), Rose Kahoji amekuwa mwanamke wa tatu nchini kutangaza nia ya kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kwa hatua hiyo, Kahoji anaungana na Rais wa sasa, Samia Suluhu Hassan wa CCM, ambaye tayari amepitishwa na chama chake kuwania nafasi...
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mchengerwa: Bilioni 23.5 zitajenga vituo vipya vya afya nchini

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, amesema kuwa serikali imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 23.5 kwa ajili ya ujenzi wa vituo vipya vya afya katika majimbo mbalimbali nchini, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa awamu ya pili ya...
  6. Carlos The Jackal

    GE2025 Hamna Mpinzani wa Kumshinda MPINA Kisesa kwenye Uchaguzi , Kumkata jina lake, Maana yake CCM lazima waibe Uchaguzi tu ili washinde Hilo Jimbo

    Hili liko Wazi, Kwa Kisesa huwezi itenganisha na MPINA, MPINA ndio Kisesa na Kisesa ndio MPINA. Kama CCM wanamkata MPINA mwenye Jimbo lake, maana yake hamna mwanaCCM pale anayekubalika, hii Inakua picha halisi kua UCHAGUZI HUU WA KIHUNI, CCM WATAUPORA TU. Huwezi kukata MTU anayekubarika(...
  7. DuaZaMama

    GE2025 Olengurumwa: Mfumo wa CCM unazaa wabunge waoga

    Anaandika Mkurugenzi wa THRDC Onesmo Kasale Olengurumwa kupitia ukurasa wake wa Instagram: ==== Sijajua tunataka wabunge wa aina gani - nilisifia hizi kanuni mpya za Chama Cha Mapinduzi CCM upande mmoja kuwa imeongeza watu wengi kupiga kura na kupunguza rushwa ila nikaonesha hatari ya...
  8. Knock life

    Kwahiyo mnataka kunambia Gambo habari ndo imeisha pale mjini Arusha na atakuwa nje ya dimba kwa miaka mitano ijayo?

    Sitaki kuamini hii naomba isiwe kweli . Gambo huyu aliyekuwa anamnyanyasa Lema Gambo huyu huyu mpakaji wa Majungu . Gambo huyu huyu ambaye alizuia hosptali ya Mama na mtoto isijengwe Arusha. Ahaaaaa!!!!!! Najua hii habari ikiwa ni ya kweli basi bia zitaisha kwenye bar , maana watu...
  9. R

    GE2025 Ushauri Mpina: Kagombee kupitia chama chochote, utapita maana wananchi wako upande wako kwa 100%

    1. You are a very resourceful person. 2. Umekatwa kwa fitina za mkuu wenu wa chama. 3. Nakushauri nenda ACT kagombee, utapita maana wananchi ni wako by 100%. Labda wakuengue kwa sababu za kishenzi as usual!/kukuibia kura kwa amri ya Mkuu wa chama chako na ushenzi mwingine kama huo
  10. R

    GE2025 Moshi: Tulimchagua mbunge akaja kutuonesha kitambi, barabara ni mbovu, hakuna Umeme, nani apige tena kura?

    Kumbukizi, Wabibi wa kichaga uko moshi vijijini wanasema walimchagua mbunge akarudi kuwaonesha kitambi hakuna kitu amewasaidia Soma pia: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 Chanzo: habari24media
  11. Yoda

    GE2025 Picha: Nape Nnauye akizungumza na mwananchi huku akiwa amekaa kwenye vumbi. Unadhani walikuwa wanazungumza nini

    Mbunge wa jimbo la Mtama Nape Nnauye kupitia ukurasa wake Instagram amechapisha picha zinazomuonesha akizungumza na mwananchi aliyekaa kwenye kiti huku Mbunge huyo akikaa kwenye vumbi. Kipindi hiki cha Uchaguzi wananchi wananyenyekewa sana kama wafalme kwa sababu ya thamani ya kura zenye kuamua...
  12. DuaZaMama

    GE2025 Dorothy Semu: CCM hawajafanya jitihada ili uchaguzi uwe wa huru

    "Chama cha Mapinduzi. Hakitaki kusikia wala hakijafanya jitihada zozote kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na kuaminika. Sisi tunawaambia kuwa tumejipanga. Tunakwenda kwenye uchaguzi tukiwa na mikakati." Ameeleza haya katika mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Same Mashariki Mkoani...
  13. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Waziri Mkuu mstaafu Pinda: Chujeni wagombea bila upendeleo

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda, amewataka wanachama na viongozi wa chama hicho waliokabidhiwa jukumu la kusimamia mchakato wa kuchuja wagombea wa uchaguzi kutenda haki na kuepuka upendeleo. Waziri Mkuu...
  14. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Boni Yai amehamia CHAUMMA na kutangaza nia ya kugombea ubunge

    JamiiCheck ni kweli kuwa BoniYai kahamia CHADEMA?
  15. R

    GE2025 Aliyekuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema Taifa Andrea Oisso, amejiunga rasmi CHAUMMA

    Aliyekuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema Taifa Andrea Oisso, ambaye hapo awali alitangaza kujiondoa CHADEMA kutokana na kutokubaliana na msimamo wa chama hicho kuchukua mrengo wa kususia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kwa madai ya kutaka mageuzi kwanza, ameweka wazi kuwa tayari amepata jukwaa...
  16. DuaZaMama

    GE2025 Mtemi Fundikila atangaza Dua maalum kuelekea uchaguzi mkuu

    Makamu Mwenyekiti wa Machifu Tanzania Mtemi Msogata Fundikila ametangaza kuwa kesho ataungana na maelfu ya wakazi wa mkoa wa Tabora na mikoa ya jirani kufanya Dua maalumu ya kuiombea amani Tanzania hususan katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba 2025. Mtemi huyo amesema...
  17. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kampeni ya sauti ya mwanamke sandukuni yazinduliwa kushiriki uchaguzi mkuu

    Fridah mmanga - mratibu wa Sauti ya Mwanamke Sandukuni Kuelekea kwenye uchaguzi mkuu 2025 sauti ya mwanamke wamezindua kampeni ya #MwanamkeSandukuni ambayo inamtaka mwanamke kushiriki uchaguzi mkuu. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special...
  18. W

    GE2025 Mwenyekiti wa UWT: Hatutaki Pesa, tunataka Maendeleo

    Maoni ya wajumbe mbalimbali kuelekea Uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Akijibu kuhusu swali la wajumbe kuwa vigeugeu Mary Komba, Mwenyekiti wa UWT Tawi la Biyuda, Kinondoni amesema "Ni kweli wajumbe tunakuwa vigeugeu na tunatamani kubalika na wajumbe mwaka huu tusiangalie pesa tuangalie maendeleo"...
  19. mwanamwana

    GE2025 Mara: Wananchi Mwibara wamchoka mbunge anayemaliza muda wake, waomba kupatiwa mgombea mpya

    Wananchi wa Jimbo la Mwibara, lililopo mkoani Mara, wamemwomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), awasikilize kilio chao kwa kuwapatia mgombea mpya katika uchaguzi ujao, wakieleza kutoridhishwa na utendaji wa...
  20. KING MIDAS

    GE2025 Sifa za kufaa kuwa mbunge wa majimbo ya mbeya

    MKOA WETU UNAHITAJI WABUNGE WENYE SIFA HIZI KATIKA MAJIMBO YETU 1. Mbunge mwenye mpango kazi binafsi wa miaka mitano kama mbunge, siyo mbunge wa kujivunia miradi iliyotekelezwa na serikali pasipo yeye kubuni hata mradi mmoja ndani ya Jimbo. 2. Mbunge anayebeba hoja na mahitaji ya wananchi...
Back
Top Bottom