uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    PreGE2025 Tume ya uchaguzi yapongezwa maandalizi uchaguzi mkuu 2025

    Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonaz ameipongeza Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa kukamilisha zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na kuendelea vyema na maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Dkt. Yonazi ametoa pongezi hizo leo...
  2. Stephano Mgendanyi

    PreGE2025 Tanzania yasisitiza Uwazi na Uhuru Uchaguzi Mkuu 2025

    Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro, ameyahakikishia mataifa mbalimbali ulimwenguni kuwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, utafanyika kwa uhuru, uwazi na haki, kwa mujibu wa sheria mpya za uchaguzi za mwaka 2024. Akizungumza jijini Dar es Salaam...
  3. Nyankurungu2020

    Hoja ambazo zinakwenda kuipasua CCM na kuinyima kura uchaguzi mkuu 2025

    Moja kabisa ni utata juu ya kifo cha Shujaa Magufuli na wasaidizi wake wa karibu. Hii itakuwa mjadala mkubwa kipindi cha uchaguzi. Ufisadi na wizi wa pesa za umma. Sasa hivi pesa za umma zinatafunwa kama njugu sio kama kipindi hayati JPM shujaa wa Afrika yupo. Utekaji ubambikiaji kesi. Hii...
  4. ChoiceVariable

    PreGE2025 DC Kiswaga: Endapo William Lukuvi atagoma kustaafu Ubunge Isimani, wananchi tutamstaafisha kwa lazima

    Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Festo Kiswaga, ametangaza rasmi nia yake ya kugombea ubunge katika Jimbo la Isimani, mkoani Iringa, katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Lumilo Hotel, Manispaa ya Iringa, Kiswaga amesema kuwa uamuzi huo umetokana na...
  5. Just Pray

    PreGE2025 CUF yatoa msimamo, haitaungana au kushirikiana na chama chochote uchaguzi mkuu 2025

    Wakuu Siku moja mara baada ya vyama 14 vya siasa nchini kutangaza rasmi kuunda umoja wao kuwa vitashiriki uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, Chama cha Wananchi CUF kimetangaza kutoungana na chama chochote cha siasa kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi yoyote ya uongozi.
  6. M

    PreGE2025 Mvutano Viongozi wa CCM Simiyu: Kengele ya hatari kabla ya Uchaguzi Mkuu 2025

    Mvutano unaoendelea kati ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Simiyu,Shemsa Mohamed na Katibu wake,Eva Degeleki umeanza kuzua taharuki miongoni mwa wanachama na wachambuzi wa siasa, wakionya kuwa hali hiyo inaweza kudhoofisha nafasi ya chama hicho tawala kuelekea uchaguzi mkuu wa...
  7. Alloyce PR

    PreGE2025 Kuna maisha baada ya uchaguzi, linda amani, kataa chokochoko zao

    "Wananchi muwe macho mwaka huu wa uchaguzi mkuu; si kila anayelia nanyi ni wa kwenu. Wapo wanafiki wanaojificha kwenye joho la huruma, huku mioyoni mwao wakiwatoa ninyi sadaka kwa tamaa zao binafsi. Usikubali huruma ya kisiasa ikageuke msumeno wa mateso baada ya uchaguzi." — Alloyce, P.R.
  8. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mama Samia Support tupo tayari kumpigania rais Samia kushinda katika uchaguzi mkuu 2025

    Taasisi ya Mama Samia Support, inazidi Kusongesha Gurudumu la Rais Samia Kwa Kauli Mbiu ya ’Kazi Na Utu, Tunasonga Mbele’ Taasisi Hii Leo May 29, 2025 wamefanya Maandamano ya amani yenye Lengo la Kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa...
  9. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 CHADEMA yatoa wito kwa tume huru ya uchaguzi kuondoa zuio na utayari wa chama kushiriki uchaguzi mkuu 2025

  10. Mindyou

    Bodi ya Ithibati yatoa muda wa mwezi mmoja kuanzia 22 Mei hadi 21 Juni 2025 kwa ajili waandishi wa habari kujisajili ili wapate "press card"

    Wakuu, Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imetoa kipindi cha mwezi mmoja kuanzia tarehe 22 Mei hadi tarehe 21 Juni 2025 kwa Waandishi wa Habari wote wanaofanya kazi za kihabari nchini, kujisajili kupitia Mfumo wa TAI-Habari kwa ajili ya kuomba kuthibitishwa na kupewa vitambulisho...
  11. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Waandishi Habari Wasiothibitishwa hawatoruhusiwa kuripoti uchaguzi mkuu 2025

    Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa habari (JAB) imesema waandishi wa habari ambao hawatakuwa wamethibitishwa na ithibishwa ni bodi hiyo hawatoruhusiwa kutekeleza majukumu yoyote yanayohusiana moja kwa moja na mchakato wa uchakuzi mkuu 2025. Kundi hilo la waandishi wa habari linajumuisha Wahariri...
  12. Waufukweni

    PreGE2025 CPA Makalla: Hakuna mwenye ubavuwa wa kuzuia Uchaguzi Mkuu 2025, awataja Lissu na Heche

    Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) CPA. Amos Makalla amesema hakuna Chama au Kikundi Chochote Chenye Uwezo wa Kuzuia Kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Mwezi Oktoba Mwaka huu. Makalla ametoa Kauli hiyo mei 21, 2025 akizungumza na Wananchi Jijini Mwanza kupitia...
  13. Kekule Wa Benzene Ring

    PreGE2025 Tegemea muungano wa vyama hivi kuelekea uchaguzi mkuu 2025

    Straight to the point! Kuna mkakati unaosukwa wa Kutengeneza COALITION ( MUUNGANO WA KISIASA) wa vyama vya ACT-WAZALENDO, CUF, CHAUMMA, na NCCR na kusimamisha mgombea mmoja kwenye mbio za urais 2025. Mkakati unasukwa na system Ili kuaminisha uwepo wa demokrasia Kwenye uchaguzi mkuu na...
  14. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 TK Movement Kagera Yapinga Vikali Upotoshaji Kuhusu Ushiriki wa Wananchi Katika Uchaguzi Mkuu 2025

    Taasisi ya Taifa Letu, Kesho Yetu (TK) Movement Mkoa Kagera imesema haitakubaliana wala haitamsikiliza mtu yeyote mwenye kuja na kauli za kuwapotosha wananchi kuwa wasishiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu 2025 Hayo yamejiri katika Kikao cha Wilaya Bukoba DC kilichowakutanisha...
  15. Carlos The Jackal

    CHADEMA mpya itashiriki uchaguzi Mkuu ujao , Ushindi wake ni hakika, Mamia kwa mamia ya Wabunge, Madiwani wa CHADEMA, Pole kwa wanaohama

    Wakuu, Rais ajaye baada ya Samia ni Tundu Lissu ! Pole Kwa G-55 na wahuni wote ambao mmeingizwa Cha kike na watu wajinga. Wavumilivu Kwa miezi hiyo michache wanaenda kula Mbivu na Wananchi wooooote Kwa ujumla watakua na Furaha sana Kwasababu WANAOONGOZA, NI WATU WA HAKI. CCM HATA mfanyeje...
  16. Papaa Mobimba

    PreGE2025 Kongamano la Kitaifa la TLS kuhusu uchaguzi mkuu wa Tanzania 2025

    Kongamano kubwa la Kitaifa la TLS kuhusu uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2025. https://www.youtube.com/live/OsDzcv1mgK0 Jaji Warioba - 2015 Kuna sababu Nyingi zilizofanya wagombea wakaenguliwa lakini zile hazikuwa na Misingi iliyoko kwenye sheria za Uchaguzi wala Katiba ya Nchi na ilileta...
  17. Pascal Mayalla

    PreGE2025 Live from JNCC: Kikao kazi cha Msajili wa Vyama vya Siasa na Jukwaa la Wahariri, kuelekea uchaguzi mkuu 2025

    Wanabodi Jumamosi ya leo, nimeanzia, ukumbi wa JNCC, kwenye kikao kazi cha Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi, na Wahariri wa Vyombo vya Habari na Jukwaa la Wahariri (TEF), kuelekea uchaguzi mkuu 2025!. NB: Kumbe Kikao hiki ni Strictly Confidential!, hivyo nitawapa briefing...
  18. peno hasegawa

    Kukamatwa kwa Lissu, Kuumizwa kwa Padre Kitima, na Kutekwa kwa Nyangali: Watanganyika wamejifunza nini kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

    Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, matukio kadhaa ya kutisha yameibuka nchini Tanzania, ambayo yanaonyesha hali halisi ya siasa na usalama. Kukamatwa Tundu Lissu, kuumizwa kwa Padre Kitima, na kutekwa kwa mwanaharakati Nyangali ni mifano hai ya changamoto zinazokabili demokrasia...
  19. Pascal Mayalla

    PreGE2025 Je, Wajua bila minimum Reforms za Katiba, Uchaguzi Mkuu wote utakuwa ni batili?Sababu,INEC,Katiba ya ZnZ na Sheria Mpya ya Uchaguzi Zote ni Batili

    Wanabodi Leo naendelea na somo la Ijue Katiba ya JMT ya mwaka 1977 kwa jicho la mtunga katiba。 Hii ni mada ngumu ya hoja za kisheria,hivyo nakuomba kama hujawahi kuwa na interest hata ya kusoma tuu katiba,nakushauri pita mbali na mada hii。 Utambulisho Kila nikileta mada za kisheria zinazohusu...
  20. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 CHADEMA Yaomba Tume ya Uchaguzi Kuwaruhusu Kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, John Heche, amesema kuwa chama hicho kiko tayari kushiriki Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, endapo Tume ya Uchaguzi itawapa nafasi hiyo.
Back
Top Bottom