uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    GE2025 UWT Geita waandamana hadi ofisi za CCM kulalamikia mchujo wa wagombea Udiwani

    Wakuu! Naona kumeanza kuchangamka... Umoja wa Wanawake (UWT) Kata ya Busanda, GEITA waandamana hadi ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) wakilalamikia mchakato wa mchujo wa awali wakupitisha majina ya wagombea katika ngazi ya Udiwani kwenye Chama hicho.
  2. Waufukweni

    GE2025 Mwenyekiti wa CCM Makete, Ngajilo: Ukikatwa usinune, lazima tumpate anayekubalika na Jamii

    Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Makete mkoani Njombe kimevunja ukimya na kusema mpaka sasa hakuna mtia nia wa nafasi yoyote ambaye jina lake limekatwa "Ukikatwa usinune" kauli ya Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Makete mkoani Njombe Clement Ngajilo. Akizungumza Julai 14, 2025 kwenye kikao cha wadau...
  3. Waufukweni

    GE2025 Kesi ya Uhaini ya Lissu yaahirishwa tena Mahakama ya Kisutu, hadi Julai 30, 2025

    Wakuu! Mwenyekiti CHADEMA Taifa Tundu Lissu kufikishwa katika Mahakamani ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo kwa ajili kesi ya Uhaini inayomhusu. Kumbuka kwamba kwenye kesi hii Tundu Lissu anajitetea mwenyewe. Je, leo mwamba anaachiwa au atarudishwa tena 'kukamilisha na kumalizia...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 DC Victoria Mwanziva akabidhi matairi kwa gari ya CCM Lindi Vijijini kuunga mkono kazi za chama

    Mkuu wa Wilaya ya Lindi- Bi Victoria Mwanziva amekabidhi magurudumu (Matairi) kwa ajili ya gari ya Chama - CCM Wilaya ya Lindi Vijijini- katika kuunga mkono jitihada na kazi nzuri inayoendelea kufanywa na Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Lindi Vijijini inayohudumia Jimbo la Mtama- Halmashauri ya...
  5. M

    GE2025 Dorothy Semu: Makamishna Tume Huru ya Uchaguzi wajiuzulu ili kupisha mchakato wa kupatikana wapya

    Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Ndugu Dorothy Semu amewataka Makamishna wa Tume huru ya Uchaguzi kujiuzulu ili kupisha mchakato wa kupatikana makamishna wapya kwa mujibu wa sheria. Hapa tulipo, makamishna waliopo ni aliyewahi kuwa msemaji wa CCM, ndugu Omary Ramadhan Mapuri. Pia soma KWELI...
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Recho Kiogwe: Kudai ‘reforms’ sio sababu ya kususia uchaguzi

    Mtia nia wa ubunge Jimbo la Mkinga mkoani Tanga kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Wakili Msomi Recho Kiogwe, amesema historia ya kudai mabadiliko ya kisiasa nchini ni ndefu na haikuwahi kuambatana na ususiaji wa chaguzi, hivyo anapinga hoja ya kususia uchaguzi kwa kisingizio cha...
  7. Erythrocyte

    GE2025 WanaCCM wengi wanalalamika kimya kimya kwamba hata kama inatolewa fomu 1, Mbona yeye hata hiyo hajachukua, kapitishwaje?

    Kwamba inakuwaje kiongozi anayejiamini aogope hata kuchukua fomu ambayo anapewa yeye tu Peke yake, kulikoni? tena anayempa ni Katibu Mkuu aliyemteua yeye Mwenyewe! Utaratibu huu ni wa wapi na umeandikwa kwenye Ibara ya Ngapi ya Katiba ya CCM? Pichani chini ni John Magufuli akichukua Fomu ya...
  8. R

    GE2025 Deus Kibamba: Unono na mfumo wa sheria/katiba ni sababu inayowavutia wengi kuwania ubunge

    Wakuu Kumekuwepo maswali mengi kuhusu wingi wa waliojitikeza kuchukua fomu za kutia nia na ubunge na udiwani, kupitia Kipindi cha Mada Kuu - TBC kilichofanyika Julai 10, 2025 Mchambuzi wa Masuala ya Siasa, Deus Kibamba alieleza badhi ya sababu zinazowavutia wengi kuwania nafasi ya Ubunge nchini...
  9. Waufukweni

    GE2025 Katibu Mkuu CCM Dkt. Nchimbi aongoza Kikao cha Sekretarieti ya maandalizi ya mchujo wa Wagombea

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiongoza kikao cha kawaida cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, leo Julai 14, 2025 katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM (White House) mkoani Dodoma. Kikao hicho kinachotarajiwa kuendelea hadi Julai 16...
  10. E

    GE2025 Heche: Mabadiliko yakipatikana tutampelekea fomu Lissu gerezani na atatoka akiwa rais (video)

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema kama mabadiliko wanayoyadai yatapatikana kabla ya uchaguzi na endapo Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu atakuwa bado anashikiliwa rumnande, watampelekea fomu ya kugombea uraia na atashinda akiwa gerezani. Ameyasema hayo Julai 11, alipokuwa...
  11. Waufukweni

    GE2025 Dkt. Angelina Mabula: Mimi sitoi Fedha za Rushwa, Pesa yangu ikitoka inaenda kwa Jamii siyo kwa ajili ya Kura

    Mbunge wa Ilemela, Mwanza anayemaliza muda wake Dkt. Angelina Mabula amesema hajawahi kuingia kwenye mashindano ya fedha na mimi zaidi nafanya kazi za Jamii hakuna mahali ambapo nimeweka fedha kwamba nimetoa hii kwasababu yeye katoa hiki.
  12. Waufukweni

    GE2025 Mchinjita: Raia kuokotwa kwenye mabasi mchana kisha wakafa, halafu Serikali iseme ni Wasiojulikana, hiyo ni Serikali au Takataka?

    Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita amesema, "Unapofika mahala una Serikali ambayo raia wake wanaweza kwenda kuokotwa kwenye mabasi mchana kisha wakafa, halafu Serikali inasema walioua ni watu wasiojulikana — hiyo ni Serikali au takataka?" "Haijawahi kutokea duniani kote...
  13. R

    GE2025 Salum Mwalimu apinga madai CHAUMMA kutoshiriki uchaguzi, ashangaa CHADEMA kususa ikiwa wananchi wanahitaji mabadiliko

    Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amepinga vikali madai kuwa CHADEMA, wanachama na viongozi wake waliafikiana kususia uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, akisema hakuna kikao rasmi kilichopitisha uamuzi huo, na kuitaka CHADEMA kuweka wazi nyaraka za maamuzi hayo...
  14. Mwalimu Novath

    Ushauri kwa Mahakama kuhusu Kesi ya Tundu Lissu

    USHAURI WANGU KWA MAHAKAMA JUU YA KESI YA MHESHIMIWA TUNDU LISSU Mimi kama raia wa Tanzania ninayependa haki, amani, na utawala wa sheria, napenda kutoa ushauri wangu kwa heshima kwa Mahakama inayosikiliza kesi ya Mheshimiwa Tundu Antiphas Lissu. Kama raia, natambua mamlaka ya Mahakama kama...
  15. Waufukweni

    GE2025 Rais Samia achangia Tsh. Milioni 50 ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Nyalikungu Maswa

    Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Tsh. Milioni 50 kuchangia ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Nyalikungu wilayani Maswa Mkoa wa Simiyu. Akiwasilisha mchango kwa niaba ya Rais Samia, wilayani Maswa, jana, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira alisema Dkt. Samia anatambua...
  16. R

    GE2025 CHAUMMA walivyoshuka na chopa Tanga

    Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema kipo tayari kushiriki uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu na kitasimamisha wagombea wa ubunge na udiwani Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Taifa Salum Mwalimu mkoani Tanga kwenye mkutano wa...
  17. R

    GE2025 Zitto ashikiliwa na Polisi usiku wa manane Lindi

    Chama cha ACT Wazalendo kimetoa taarifa kali ya kulaani kile kinachodaiwa kuwa ni uvamizi na kushikiliwa kwa muda kwa Kiongozi wake wa Chama Mstaafu, Zitto Zuberi Kabwe, na maofisa wa Jeshi la Polisi usiku wa tarehe 14 Julai 2025, akiwa katika hoteli mkoani Lindi Kwa mujibu wa taarifa...
  18. Waufukweni

    GE2025 Zitto Kabwe: ACT Wazalendo tunapambana kurejesha heshima ya Kura

    Kiongozi mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema kuwa Operesheni Majimaji inayofanywa na chama hicho inalenga kuwaamsha Watanzania kurejesha thamani ya kura yao, ambayo amesema imeporomoka kwa kiasi kikubwa katika chaguzi tatu zilizopita. Akizungumza katika mkutano wa hadhara...
  19. Waufukweni

    GE2025 Kesi ya CHADEMA kumkataa Jaji Mwanga kutolewa maamuzi Julai 28, 2025

    Wakuu! Kesi iliyofunguliwa na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti Zanzibar Said Issa Mohammed dhidi ya Bodi ya Wadhamini ya Chadema na Katibu Mkuu wa Chama John Mnyika inaendelea leo Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, ambapo leo Mahakama itaanza kusikiliza shauri ndogo la kumtaka Jaji Hamidu Mwanga...
  20. Hance Mtanashati

    GE2025 Nitaipigia kura CCM kama Samia hatokuwa mgombea wa nafasi ya urais

    Ninaahidi kuipigia kura CCM kama tu samia hatopewa nafasi ya kugombania nafasi ya urais Samia hatoshi, mbadala wake anahitajika.
Back
Top Bottom