uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    Hivi foleni inasogea au bado msululu ni mrefu?

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche na wanachama wa chama hicho, wakitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, baada ya kesi inayomkabili Tundu Lissu kuahirishwa.
  2. R

    Kaya 3,255 kunufaika na Majiko ya Gesi Katavi

    Wananchi Kijiji cha Usevya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wamepongeza hatua zinazochukuliwa na Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kuhakikisha wanafikiwa na nishati safi ya kupikia kwa bei ya ruzuku. Wametoa pongezi hizo kijijini hapo Agosti 12, 2025 wakati wa zoezi la...
  3. R

    Rais Samia apeleka Bilioni 300 Tume ya umwagiliaji

    Chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika mwaka wa fedha 2025|2026, Tume ya Umwagiliaji iliidhinishiwa jumla ya Shilingi 382,138,408,000. Fedha hizi zimetengwa kama ifuatavyo: Shilingi 308,721,961,000 ni fedha za Maendeleo, huku Shilingi 73,416,447,000 zikielekezwa kwa matumizi ya...
  4. DuaZaMama

    GE2025 Heche: Rais Samia, anamuogopa Lissu, akosoa hatua ya kuzuia kesi kurushwa Live

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amvaa vikali mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Rais Samia Suluhu kwa madai kwamba anamuogopa Mwenyekiti wao wa CHADEMA, Tundu Lissu, "hatukati tamaa" Heche amewashangaa Mawakili wa Jamhuri kwa kutaka kesi ya Lissu isirushe moja kwa moja kwa kile...
  5. DuaZaMama

    GE2025 BAWACHA wakifanya maombi nje ya mahakama ya Kisutu baada ya kesi ya Lissu kuahirishwa hadi Agosti 18

    Wanawake wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) wameonekana wakifanya maombi nje ya viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mara baada ya kuahirishwa kwa kesi ya Uhaini ya Lissu hadi Agosti 18, 2025.
  6. Waufukweni

    GE2025 Zitto ambwaga Nondo kura za maoni ubunge Kigoma Mjini

    Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameibuka kidedea katika mchakato wa kura za maoni za kuwania Jimbo la Kigoma Mjini uliofanyika jana Jumanne Agosti 12, 2025. Katika mchakato huo uliofanyika mkoani Kigoma, Zitto ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya ACT Wazalendo, alipata kura 228...
  7. R

    GE2025 Hawa wananchi wanaomsifia Shigongo leo waliishije miaka minne iliyopita bila maendeleo yaliyokuja tu ghafla kuelekea uchaguzi 2025?

    Wakuu wa JF, nimekutana na video inaonyesha wananchi wa Buchosa wakitoa maoni wanamsifia aliyekua Mbunnge wao ambaye tena ni Mgombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CCM Eric Shigongo. Imenifanya nifuatilie hayo maendeleo wanayozngumzia yamefanyika kipindi gani? na kwa nini kipindi hiko? Nimegundua...
  8. tonicimmobility

    GE2025 Mgombea urais wa chama cha DP alivyowasili INEC kuchukua fomu

    Mgombea urais kupitia Chama cha Democratic Party (DP), Abdul Mluya leo Jumatano Agosti 13, 2025 ameongoza msafara wake kuelekea Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) zilizopo mtaa wa Njedengwa, jijini Dodoma, kuchukua fomu ya uteuzi. Soma pia: Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya Chama cha...
  9. tonicimmobility

    GE2025 Makada wanne wajitokeza kumrithi Ndugai

    Wagombea 24 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamechukua fomu kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea ubunge wa Jimbo la Kongwa, kufuatia kifo cha aliyekuwa Spika wa Bunge mstaafu na Mbunge wa jimbo hilo, Hayati Job Ndugai. Tukio hilo limefanyika jana, Agosti 12, 2025. Hatua hiyo inafuatia uamuzi wa...
  10. DuaZaMama

    GE2025 Mluya: Serikali yangu itakuwa na wajibu wa kuwatunza mama mjamzito na mtoto kwa kumpa lishe bora kwa muda wa miezi mitatu

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Democratic Party (DP), Abdul Juma Mluya, akiambatana na Mgombea wake mwenza Sadoun Abrahman Khatib, leo Agosti 13, 2025, wamechukua fomu za uteuzi katika Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Njedengwa jijini Dodoma...
  11. Waufukweni

    GE2025 Fid Q: Muda umefika watu wasikilize vizuri hizi kampeni ili kujua wanajihusisha na kitu gani

    Leo Agosti 13 ni kumbukizi ya kuzaliwa kwa Rapa maarufu Fareed Kubanda, anayejulikana kama Fid Q akiwa amefanikiwa kutoa albamu kadhaa ikiwemo Propaganda, Roho, Kitaaolojia, na Mbinguni. Machi 16, 2020, akizungumza kupitia kipindi cha Salama Na Fid, kilichokuwa kikiwaendeshwa na Salama Jabir...
  12. R

    Polepole naomba maoni yako kuhusu uchangiaji wa kampeni CCM

    Sitaki nikuinfluence, toa maoni yako.
  13. Waufukweni

    GE2025 Mvutano mkali wazuka kati ya Polisi na Mwandishi wa Habari Kisutu kwenye Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu

    Mvutano mkali wazuka kati ya Jeshi la Polisi na mwandishi wa habari asubuhi hii Kisutu, kabla ya kuanza kwa usikilizaji wa kesi ya uhaini Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu inayomkabili Mwenyekiti wa Chama, Tundu Lissu. Fuatilia mwenendo wa Kesi hapa > Kesi ya Uhaini ya Jamhuri dhidi ya Tundu...
  14. Roving Journalist

    GE2025 Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu yaahirishwa hadi 18 Agosti 2025

    Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Franco Kiswaga, anatarajiwa kutoa uamuzi wa hoja zilizowasilishwa na pande mbili katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu. Kabla ya uamuzi huo, upande wa Jamhuri utatakiwa kutoa maelezo kuhusu hatua...
  15. bro alex

    Kwa niliyoyaona michango kwa CCM, wazalendo uchwara wenzangu zingatieni hili

    Hizi ni pesa, na mjini hakuna kitu cha bure. Wale waliotoa pesa wanajua zitawarudia vipi Ukitendewa ubaya na tajiri wa mjini—iwe ni kukanyagwa, kudhulumiwa mali zako, au kupigwa bila sababu maskini ni heri ukimbie tu. La sivyo, unaweza kupigwa risasi bure na hakuna kesi itakayofunguliwa Hebu...
  16. S

    CCM iko vizuri inakubalika kwa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa, ushahidi michango mikubwa waliyochangia

    Uchumi wa Tanzania kwa sasa sehemu kubwa uko chini ya sekta binafsi sio serikali Na ndio walipa kodi wakubwa kodi ya kuendesha nchi na kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali CCM iko vizuri inakubalika kwa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa ushahidi michango waliyochangia ni ushahidi...
  17. Ex Spy

    GE2025 Mmiliki wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth Singh katika hafla ya harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) - Uchaguzi Mkuu 2025

    Mfanyabishara na Mmiliki wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth akiwa katika hafla ya harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuchangia fedha za Uchaguzi Mkuu
  18. tonicimmobility

    GE2025 Wangapi mmejua leo kuwa kuna chama kinaitwa CCK? Hii nchi imekaa kiupigaji sana

    Mgombea wa nafasi ya Rais kupitia Chama Cha Kijamii (CCK), David Mwaijojele, ametaja moja ya changamoto kubwa kwa watumishi wa umma kuwa ni hofu ya kustaafu, akisema wengi wao hukosa ujasiri wa kuacha kazi hata wanapofikia umri wa kustaafu kwa mujibu wa sheria. Akizungumza leo Jumanne, Agosti...
  19. Baraka Mina

    GE2025 Harambee ya kuchangia kampeni za CCM 2025, Mlimani city (CCM gala dinner 2025) wamekusanya Bilioni 86.31

    https://www.youtube.com/live/Kl7JY-zdy0c?si=TWJ9NKMmXZrdQII6 Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Mlimani City jijini Dar Es Salaam ambapo leo tarehe 12 Agosti 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinafanya harambee ya kuchangia Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wawakilishi, Wabunge na...
  20. R

    GE2025 Salum Mwalimu ajibu kuhusu Polepole Kumbeza

    Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) na Katibu Mkuu wa chama hicho, Salum Mwalimu, amesema hatashiriki katika malumbano na watu wanaomkosoa au kumbeza kuhusu uamuzi wake wa kugombea Urais na kushindana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan...
Back
Top Bottom