uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    GE2025 Salum Mwalimu amesema yeye kuwa Rais ni Kichekesho haiwezekani bado sana

    Kama alivyonukuliwa kupitia Kipindi cha Wake Up Call cha UPENDO TV ambacho kinaongozwa na mwanahabari mahiri na Makini Fransic Nongolo amesema kuwa yeye Kiumri na uzoefu wake kwenye siasa hawezi kushika wadhifa huo Mkubwa. Video hii hapa
  2. DuaZaMama

    GE2025 Aliyekosa nafasi ya kugombea Urais kupitia CUF sasa kugombea Ubunge

    Wakati dirisha la uchukuaji fomu za uteuzi kwa ajili ya kugombea nafasi za Ubunge likiwa tayari limefunguliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, wagombea wawili wa Chama cha Wananchi CUF, Bw. Nkunyuntila Siwale (Jimbo la Mbozi), ambaye awali aliomba ridhaa ya kugombea nafasi ya Urais, kupitia...
  3. FRANCIS DA DON

    Je, kama mgombea urais akafariki dunia kabla ya uchaguzi kufanyika, utaratibu unasemaje?

    Mfano siku 3 kabla ya uchaguzi, mgombea wa UDP au TLP wa nafasi ya uRais akang’ata shuka.., utaratibu ni kuahirisha uchaguzi au inakuwaje.. Utaratibu wa kikatiba unasemaje?
  4. U

    Nina uhakika kabisa kama Uchaguzi Mkuu ungefanyika kwenye mitandao ya kijamii muda huu Chadema wangekuwa ikulu!

    Wapo busy na mitandaoni wakati kura hazipigwi wala kuhesabiwa huko!
  5. R

    GE2025 Mgombea Urais ADC: Nikiwa Rais amtolipa umeme wala maji

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Elias Mulumbe, amesema iwapo atachaguliwa kuwa Rais, Serikali yake itatoa bure huduma zote za kijamii ikiwemo afya, kuunganisha umeme, maji na elimu kuanzia ngazi ya awali...
  6. R

    GE2025 Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dar es salaam imemteua Shetta kugombea Udiwani Kata ya Mchikichi

    Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es salaam imemteua Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya na Mwanachama wa Chama hicho, Nurdin Bilal Juma (Shetta) kugombea Udiwani Kata ya Mchikichini Wilaya ya Ilala Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es salaam, Ally Bananga...
  7. Waufukweni

    GE2025 Mpina: Sijashiriki kumpitisha Rais Samia kwenye mkutano mkuu wa CCM

    Mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amejibu kuhusu kumpitisha Rais Samia kwenye mkutano mkuu wa CCM
  8. R

    GE2025 Mpina: Watuhumiwa wa ufisadi na ubadhilifu wa fedha za umma hawachukuliwi hatua badale yake wanapandishwa vyeo na kuteuliwa nafasi kubwa za maamuzi

    Mgombea na nafasi ya Urais ACT wazalendo na alieyekua mwanachama wa CCM, Luhaga Mpina akizungumza na wahariri wa Vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam ameeleza kuhusu uwajibikaji wake kwa Taifa kwa kufichua vitendo vya ufisadi na rushwa kuwa kosa la yeye kuenguliwa kugombea Ubunge kupitia CCM...
  9. Roving Journalist

    GE2025 Mpina: Samia aliposema mimi ni Mbunge wa Taifa, alimaanisha nitakuwa Rais

    Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari, leo Agosti 14 jijini Dares Salaam, mgombea urais wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amesema Rais Samia Suluhu Hassan aliposema kuwa yeye anafaa kuwa Mbunge wa Taifa, alimaanisha kwamna yeye atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Rais Samia alitoa taarifa...
  10. R

    GE2025 Mpina: Taarifa za Jina langu kukatwa kugombea Ubunge Jimbo la Kisesa zilianza kutangzwa miaka 2 iliyopita na baadhi ya Viongozi wa CCM

    Akizungumza Wahariri wa Vyombo vya Habari katika Jengo la Maalim Seif, Dar es Salaam, Mgombea nafasin ya Urais chama cha ACT Wazalendo Luhaga Mpina ameeleza kuwa taarifa za kukatwa jina lake kugombea ubunge Jimbo la Kisesa zilianza kutangazwa miaka miwili iliyopita na baadhi ya viongozi wa CCM...
  11. tonicimmobility

    Live ya kesi ya Lissu waliokuwa wanafuatilia ni zaidi ya watu 10K alafu live ya harambee ya CCM walikuwa watu 500

    Mioyo ya watanzania imeanza kuamka sasa, hawafuatilii tena vitu visivyo na mbele wala nyuma Giza limeanza kuondoka, matongotongo machoni mwa watanzania hayakaliki tena, hadi saluni siku hizi wadada hawapigi tena umbea bali wanakaa na kumtazama jamaa aliebeba tumaini lao
  12. tonicimmobility

    Mpina ataja sababu za kuhama CCM

    Aliyekuwa kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye ni mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupiti tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina ameeleza sababu zilizomfanya kuondoka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuhamia ACT Wazalendo. Soma pia: Bwege: Mpina siyo katoka...
  13. Waufukweni

    GE2025 Mpina: Nampongeza Lissu kwa Uzalendo wake, Mungu hatomuacha, aikubali 'No Reforms No Election'

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT Wazalendo Luhaga Mpina, ameonekana kuunga mkono kampeni ya 'No reform No election' ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) huku akimponge mwenyewe wa chama hicho Tundu Antiphas Lissu.
  14. Roving Journalist

    GE2025 Special Thread: Wasifu wa Wagombea Urais Uchaguzi Mkuu 2025

    1. ACT WAZLENDO LUHAGA MPINA Jina Kamili: Luhaga Joelson Mpina Chama: ACT Wazalendo Tarehe ya Kuzaliwa: 5 Mei 1975 (Tanzania) Elimu: Shahada ya Uhasibu (B.Acc) – Mzumbe University; MSc – University of Strathclyde Historia ya Siasa: Mbunge wa Kisesa tangu Desemba 2005-2025 (CCM) Waziri wa...
  15. R

    GE2025 Mpina: Nilianza kusikia nampiga vita Rais, nikachukua hatua ya kukutana na viongozi waandamizi wa Serikali, nikaomba kuonana na Rais haikuwezekana

    Akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari katika Jengo la Maalim Seif, Dar es Salaam, Mgombea nafasi ya Urasi chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina na aliyekua Mbunge Jimbo la Kisesa na Mwanachama wa CCM, ameeleza kuhusu kuenguliwa kugombea ndani ya CCM na kuhama chama Ameeleza baada ya...
  16. Waufukweni

    GE2025 Luhaga Mpina: CCM ina wenyewe na hao wenyewe ndio mliowaona juzi kwenye harambee yao

    Luhaga Mpina Mgombea urais kupitia chama Cha ACT-Wazalendo akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini leo tarehe 14 Agost, 2025 katika Jengo la Maalim Seif, Dar es Salaam. "Nimezaliwa katika familia ya CCM akiwemo baba yangu ambaye ni mwanzilishi wa Chama Cha TANU,lakini...
  17. R

    GE2025 Mpina: Niliandika maoni kurasa 235 kwa Tume ya rais ya maboresho ya kodi, angalieni wagombea wote kama waliwahi kuandika hata kurasa 5 kushauri Taifa

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, Mgombea akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari katika Jengo la Maalim Seif, Dar es Salaam ameeleza yale aliyoyafanya katika kipindi cha uongozi wake aiwa kama waziri na Mbunge. Luhaga Mpina amesema...
  18. Waufukweni

    GE2025 Polisi yaonya lugha za vitisho, uzushi, matusi na uchonganishi wakati wa Uchaguzi Mkuu

    Jeshi la Polisi limeagiza wananchi wajiepushe na lugha za vitisho, matusi na uchonganishi wakati huu wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu. Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema hayo alipozungumza kwa njia ya Simu katika kipindi cha Power Breakfast kilichorushwa na Kituo cha Redio cha Clouds...
Back
Top Bottom