Baadhi ya nchi za Uarabuni zimekuwa zikihusika katika mazungumzo ya amani katika migogoro mbalimbali ya kimataifa mfano Qatar.
Kwa mfano, Tshisekedi na Kagame walikuwa wanakimbiana kuanzia Dar, Angola, lakini wamekubali kukutana huko Qatar na kukubali kusitisha mapigano bila masharti. Si hiyo...