Baadhi ya ofa atakazopata Neymar huko Uarabuni

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
20,718
45,125
Neymar Jr ameondoka katika soka la ulaya akiwa na miaka 31 tu. Ameenda zake Saudi Arabia kuungana na mastaa wengine waliokimbilia katika ligi hiyo.

Baadhi ya ofa ambazo Neymar atazipata katika mkataba wake huko katika klabu yake ya Al Hilal.
Ofa hizo ni kama ifuatavyo;

1. Jumba la kifahari lenye vyumba takribani 25 na Jumba hilo lina bwawa kubwa la kuogelea (Swimming Pool) lenye mita 40x10 na vymba vitatu vya sauna.

2. Wafanyakazi watano ambao watakuwa wapo masaa 24 kwaajili ya Jumba la Neymar.

3. Gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT ambalo thamani yake ni sawa na Tshs. Milioni 650

4. Gari la pili ambalo ni Aston Martin DBX ambalo ni miongoni mwa magari ya gharama sana

5. Gari la tatu ambalo ni Lamborghini Huracan. Gari la kisasa zaidi.

6. Dereva atakayekuwa yupo muda wote kwa ajili ya kumuendesha Neymar

7. Atakuwa analipiwa gharama zote za hotelini, migahawani kipindi chote atakapokuwa likizo. Yaani mfano akienda Ibiza huko kipindi cha likizo basi gharama zote zitalipwa na klabu yake.

8. Ndege binafsi ambayo ataweza kuitumia popote atakapotaka kwenda kwa gharama za klabu.

9. Atapatiwa Euro 500,000 ambazo ni sawa na Tshs. Bilioni 1 na Milioni mia tatu na hamsini na saba atakapokuwa anapost kuhusu nchi ya Saudi Arabia katika mitandao yake ya kijamii kama vile Instagram.

10. Mshahara wa Euro Milioni 100 kwa Mwaka ambazo ni sawa na Tshs. Bilioni 273 kwa mwaka mmoja tu.

Kwa ofa ya namna hiyo na kwa Neymar ambaye hakuwa na muendelezo mzuri, hatuwezi kumlaumu acha akavune pesa tu. Pesa inafanya dunia izunguke.
 
Neymar Jr ameondoka katika soka la ulaya akiwa na miaka 31 tu. Ameenda zake Saudi Arabia kuungana na mastaa wengine waliokimbilia katika ligi hiyo.

Baadhi ya ofa ambazo Neymar atazipata katika mkataba wake huko katika klabu yake ya Al Hilal.
Ofa hizo ni kama ifuatavyo;

1. Jumba la kifahari lenye vyumba takribani 25 na Jumba hilo lina bwawa kubwa la kuogelea (Swimming Pool) lenye mita 40x10 na vymba vitatu vya sauna.

2. Wafanyakazi watano ambao watakuwa wapo masaa 24 kwaajili ya Jumba la Neymar.

3. Gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT ambalo thamani yake ni sawa na Tshs. Milioni 650

4. Gari la pili ambalo ni Aston Martin DBX ambalo ni miongoni mwa magari ya gharama sana

5. Gari la tatu ambalo ni Lamborghini Huracan. Gari la kisasa zaidi.

6. Dereva atakayekuwa yupo muda wote kwa ajili ya kumuendesha Neymar

7. Atakuwa analipiwa gharama zote za hotelini, migahawani kipindi chote atakapokuwa likizo. Yaani mfano akienda Ibiza huko kipindi cha likizo basi gharama zote zitalipwa na klabu yake.

8. Ndege binafsi ambayo ataweza kuitumia popote atakapotaka kwenda kwa gharama za klabu.

9. Atapatiwa Euro 500,000 ambazo ni sawa na Tshs. Bilioni 1 na Milioni mia tatu na hamsini na saba atakapokuwa anapost kuhusu nchi ya Saudi Arabia katika mitandao yake ya kijamii kama vile Instagram.

10. Mshahara wa Euro Milioni 100 kwa Mwaka ambazo ni sawa na Tshs. Bilioni 273 kwa mwaka mmoja tu.

Kwa ofa ya namna hiyo na kwa Neymar ambaye hakuwa na muendelezo mzuri, hatuwezi kumlaumu acha akavune pesa tu. Pesa inafanya dunia izunguke.
Hawa jamaa wana ajenda nzito nzito na watu maarufu kwa manufaa ya nchi yao.
 
Lakini Mimi bado sijapata jibu kwanini hii league inatumia gharama kubwa kiasi hiki?. Wanarudishaje gharama za uwekezaji?.
Neymar Jr ameondoka katika soka la ulaya akiwa na miaka 31 tu. Ameenda zake Saudi Arabia kuungana na mastaa wengine waliokimbilia katika ligi hiyo.

Baadhi ya ofa ambazo Neymar atazipata katika mkataba wake huko katika klabu yake ya Al Hilal.
Ofa hizo ni kama ifuatavyo;

1. Jumba la kifahari lenye vyumba takribani 25 na Jumba hilo lina bwawa kubwa la kuogelea (Swimming Pool) lenye mita 40x10 na vymba vitatu vya sauna.

2. Wafanyakazi watano ambao watakuwa wapo masaa 24 kwaajili ya Jumba la Neymar.

3. Gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT ambalo thamani yake ni sawa na Tshs. Milioni 650

4. Gari la pili ambalo ni Aston Martin DBX ambalo ni miongoni mwa magari ya gharama sana

5. Gari la tatu ambalo ni Lamborghini Huracan. Gari la kisasa zaidi.

6. Dereva atakayekuwa yupo muda wote kwa ajili ya kumuendesha Neymar

7. Atakuwa analipiwa gharama zote za hotelini, migahawani kipindi chote atakapokuwa likizo. Yaani mfano akienda Ibiza huko kipindi cha likizo basi gharama zote zitalipwa na klabu yake.

8. Ndege binafsi ambayo ataweza kuitumia popote atakapotaka kwenda kwa gharama za klabu.

9. Atapatiwa Euro 500,000 ambazo ni sawa na Tshs. Bilioni 1 na Milioni mia tatu na hamsini na saba atakapokuwa anapost kuhusu nchi ya Saudi Arabia katika mitandao yake ya kijamii kama vile Instagram.

10. Mshahara wa Euro Milioni 100 kwa Mwaka ambazo ni sawa na Tshs. Bilioni 273 kwa mwaka mmoja tu.

Kwa ofa ya namna hiyo na kwa Neymar ambaye hakuwa na muendelezo mzuri, hatuwezi kumlaumu acha akavune pesa tu. Pesa inafanya dunia izunguke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na huyo ni mchezaji mmoja Sasa Kama wanakuwa watatu wanne.
Mbona tayari wapo zaidi ya 4 na wanapiga hela nzuri tu,

Neymar__Al hilal
Sadio Mane__AlNassr
Allan saint__Al hilal
Riyadh Mahrez__Al Ahli
Jordan Handerson__Al Ettifaq
CR7__AL Nassr
Benzema__Al Ittihad
Ngolo Kante__Al Ittihad
Roberto Firmino__AL Ahli
Edouard Mendy__Al Ahli
Ruben Neves__Al Hilal
Allex Telles__Al Nassr

Wengine ni,

Jota,Kalidou Koulibaly,Marcelo Brozovic,Seko Fafana,Malcolm,Moussa Dembele,
 
ivi kati ya ronaldo na neymar huko saudia nani analipwa mkwanja mrefu kama mshahara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom