Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,330
- 33,954
Iran ndiyo tishio na miongoni mwa madui wa Israel huko Mashariki ya Kati.
Israel imevamiwa na kulipa kisasi dhidi ya Palestina kwa siku kadhaa sasa.
Nchi za Magharibi zinashutumiwa kuiunga mkono Israel dhidi ya Palestina, lakini kwenye nchi hizo hizo za Magharibi (isipokuwa Ufaransa) kumefanyika maandamano makubwa ya kuilaani Israel.
Je, Iran ingekuwa imeivamia Israel maandamano ya kuiunga mkono Israel yangeruhusiwa kufanyika kwenye nchi za Kiarabu?
Israel imevamiwa na kulipa kisasi dhidi ya Palestina kwa siku kadhaa sasa.
Nchi za Magharibi zinashutumiwa kuiunga mkono Israel dhidi ya Palestina, lakini kwenye nchi hizo hizo za Magharibi (isipokuwa Ufaransa) kumefanyika maandamano makubwa ya kuilaani Israel.
Je, Iran ingekuwa imeivamia Israel maandamano ya kuiunga mkono Israel yangeruhusiwa kufanyika kwenye nchi za Kiarabu?