traffic

  1. Mulokozi GG

    SoC01 Tusiwageuze traffic polisi mafisadi

    Tamaduni na matendo yetu kama binaadamu ni muunganiko na matokeo ya tabia ndogo ndogo tuzifanyazo kila siku. Hivyo mtu anaye ishi maisha yake kama jambazi, mwizi au fisadi hakuzaliwa hivyo bali alilelewa hivyo. Kwa maneno mengine fisadi au jambazi sugu analelewa na kufundishwa tabia hiyo na watu...
  2. J

    Mwenge - Morocco: Stendi za Daladala 6 na Traffic lights maeneo 10 kama mapambo, Panachosha lakini salama

    Ukitokea Mwenge kuelekea Morocco Traffic lights 1. Mwenge 2. Njia panda ya ITV 3. Bamaga 4. Sayansi 5. Millenium tower 6. Makumbusho 7. Njia panda ya Mwananyamala 8. Njia panda ya Kairuki hospital 9. Njia panda ya Chato ( Vodacom) 10. Morocco Vituo vya Daladala 1. ITV 2. Bamaga 3. Sayansi 4...
  3. Chendembe

    Kero za askari wa usalama barabarani: Utaratibu wa kutoza adhabu barabarani uangaliwe upya

    Nitangulize kupongeza wote waliohusika kubadili utaratibu wa kutoza adhabu za vyombo vya usafiri barabarani badala ya ule wa awali ambapo mahakama pekee ndio ilikuwa inatoza. Hakika, walikuwa na nia njema ya kuondoa usimamaji wa vyombo vya usafiri kusubiri hukumu ya mahakama. Pamoja na nia...
  4. Son.j

    You are not stuck in traffic, you are the traffic

    planet is more safe if we do not exist
  5. maroon7

    Traffic lights kona ya ITV zimeongeza jam

    Yaani badala ya kusaidia kupunguza jam hizi taa hapa ITV junction zimeongeza kero aisee sijui nini wataalam wetu wameshindwa kutatua. Kwanini hata wasingewaza magari ya kutokea upande wa ITV yanayoelekea mwenge yakazungukie bamaga? Na Yanayotoka bamaga kuingia Mikocheni yakaingilie mwenge? Mbona...
  6. MK254

    Multi billion projects that will resolve Nairobi traffic mess

    According to a report by the Institute of Economic Affairs (IEA), studies show that Kenya loses approximately Ksh50 million daily due to direct financial impact caused by traffic jams. The national and county governments have embarked on mega projects to increase road capacity and manage...
  7. RRONDO

    TANROADS rekebisheni traffic lights za Aga Khan junction kabla hazijasabanisha ajali

    TANROADS tafadhalini rekebisheni hizo taa. Karibu wiki sasa naona taa zinaruhusu huku na huku kwa wakati mmoja. Naweka picha inayoonesha gari kutoka Agakhan hospital zimeruhusiwa huku gari zinatoka selander kuingia upanga nazo zimeruhusiwa.
  8. B

    Dalili za Rushwa: Magari binafsi ya Traffic yanapotumika kukamata magari

    Ni kawaida siku hizi kuona askari wa usalama barabarani wakiwa na magari yao wemeyaweka vichakani wakisimamia sheria za barabarani au wakifanya kazi ya kukamatakamata. Magari haya unaweza kuyakuta mbali tena yakiwa nje ya mji. Swali la kujiuliza. Nani anaweka mafuta haya magari kuyawezesha...
  9. J

    Rais Samia: Jeshi la Polisi msitumie Sheria kama 'Kitega Uchumi'

    RAIS AWATAKA POLISI WASITUMIE MAKOSA KAMA KITEGA UCHUMI Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewataka Polisi wasitumie makosa kama kitega uchumi kwa kutoza faini mbalimbali badala yake wajikite kwenye kudhibiti makosa Ameyasema hayo alipokuwa katika Ziara ya Kuzindua Kiwanda cha Ushonaji cha...
  10. Nsimbinso

    Vitendo vya baadhi ya matrafiki vinatia doa Jeshi la Polisi

    Habari wadau. Imekuwa kawaida kusimamishwa na Askari wa barabarani kwa ajili ya ukaguzi. Huu ni moja kati ya wajibu wao wa msingi kwa ajili ya kuhakikisha usalama wetu watumia vyombo vya usafiri pamoja na wote wanaotumia barabara au wenye shughuli zao pembezoni mwa barabara. Baadhi ya askari...
  11. YEHODAYA

    Rais niulizie Traffic Dar kisa cha kila siku kukamata daladala na kuwadai hela wakati wako kwenye route sajiliwa ni nini?

    Mheshimiwa Rais niulizie Traffic Dar kisa cha kila siku kukamata daladala na kuwadai hela wakati wako kwenye route sajiliwa ni nini? Basi limesajiliwa Route husika lakini unakuta Traffic kila siku wao kazi kupiga mkono daladala na kudai hela. Piga marufuku matraffic kukamata daladala ambazo...
  12. Geza Ulole

    Apparent JKIA does not have traffic control system, aircraft rely on Kilimanjaro Airport's traffic control system!

    ECONOMY New Sh346 million air traffic control system to boost JKIA safety WEDNESDAY MARCH 10 2021 Terminal 1A at Jomo Kenyatta International Airport. FILE PHOTO | NMG The Kenya Civil Aviation Authority (KCAA) will install a new Sh346 million air traffic control system at the Jomo Kenyatta...
  13. G

    Leo nimeona mwenyewe usumbufu wa polisi wa usalama barabarani dhidi ya magari ya mizigo

    Nilichukua gari kwenda kupokea mzigo wangu kutoka mkoani pale Mbezi Kibada cha mkaa. Wakati tunaenda tulipiti njia ya wazo hili na kutokea barabara ya Goba. Njiani nilisimamishwa na maaskari mara tatu, kila mala wakimwambia dereva wanataka kukagua lesseni yake. Kumbe hiyo ni lugha ya kutaka...
  14. G

    Fedha ya kupigia rangi viatu vya Traffic zinaharibu Noti zetu kwa malipo halali

    Katika Watanzania wanaoziharibu (Fedha za Noti) za Tanzania ni makondakta & madereva wetu wa vyombo vya moto yaani magari ya abiria na mizigo wakishirikiana na wasimamizi wa Sheria za nchi hii (Traffic). Fedha tajwa hapo juu hutolewa kwa njia ya kidhalilishaji kwa sarafu zetu na askari pia...
  15. R

    Hataki tufanye mapenzi mpaka tuoane

    Habar za kaz wadau hope all is gone well Mungu anasaidia january inakatika io ebu twende ndan ya mada Nipo katika mahusiano na girl mmoja hivi kwa almoat miaka miwili sasa mapenzi yetu yalitawaliwa na furaha tele ikiongozwa na upendo lkn kuna mikwaruzo midogo midogo toka awali lkn sasa sio...
  16. Ms Billionaire

    Traffic barabarani wanatatua matatizo au wanayazidisha?

    Habari ya Jumatatu mwananchi. Leo naomba tudiscuss kitu kimoja ambacho kimekua kinanisumbua sana kichwa. Hivi kiuhalisia, Askari Barabarani wapo kutatua changamoto au kuongeza. Nna incidents chache nnazoweza kuzitolea mfano. Unakuta mtu amepata matatizo barabarani ghafla tu, gari yake imeanza...
  17. Infantry Soldier

    TRAFFIC ENGINEERING: Ni vigezo gani huzingatiwa katika kufanya maamuzi ya kufunga "traffic lights" au kuweka "roundabout" kwenye makutano ya barabara?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa jamiiforums. Ndugu zangu watanzania (Traffic Engineers) eti; Ni vigezo gani vya kitaalam huzingatiwa na engineers katika kufanya maamuzi ya kufunga "traffic lights" au kuweka "roundabout" kwenye makutano ya barabara za mijini? (1) Kama...
  18. S

    Traffic wanabambikia watu faini, unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na gari halijaenda popote

    Kumekuwa na hali ambayo haileweki ndani ya jeshi la polisi upande wa usalama barabarani ambapo unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na unaandikiwa na kosa lako wakati huo wewe upo Dar es salaam na gari halijaenda popote siku nzima wewe upo nyumbani. Ukiingia kwenye mtandao wao wa...
  19. Extrovert

    Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

    Tumekuwa tukiona mahusiano ya aina tofauti tofauti ila common yakiwa yale ambayo mwanaume wana economic muscles ila kutokana na mabadiliko ya tabia nchi sikuhizi pia kumejitokeza mahusiano mengi ambayo wanawake wana financial muscles hali iliopelekea mahusiano ambayo mke anakuwa anaziba gap...
  20. fdizzle

    Kwa alichokifanya huyu Traffic Police, anastahili Pongezi

    Jana nilikuwa natokea kwenye mihangaiko yangu ya kutafuta ugali, ilikuwa ni nyakati za jioni hivyo nikasogea kituo cha daladala na kusubiri Usafiri( Najua mtanishangaa member wa JF kupanda daladala maana humu wengi wenu mnamiliki Ford Ranger na wachache wanamiliki Prado) Sasa ikaja daladala...
Back
Top Bottom