Toyota IST ya 2007, 1490 CC, 63,800 KM.
Price/Bei: TSh 14.5 million
Inuzwa na mmiliki (hakuna dalali).
Ipo Mbweni malindi/Mbweni JKT, Dar es Salaam.
Wasiliana 0759970963/ Whatsapp 0625536529
2007 Toyota IST
Details
Price negotiable: Yes
Condition: Used
Year: 2007
Make: Toyota
Model: IST...
Assalaam Wanabodi,
Nauza gari yangu aina ya Toyota Mark II Gx 100. Gari hii iko katika hali nzuri. Haijaguswa Engine wala Gearbox kwa matengenezo yoyote.
Changamoto kidogo iko kwenye bodi, sehemu ndogo sana ya juu imelika kutokana na chumvi ya bahari hapa Dar es Salaam. Na hii ni kutokana na...
Bila Catalytic Converter kuna sumu zinazotoka kwenye moshi ambazo zitakuwa zinaingia kwenye hewa.
Sumu hizo hazifanani kulingana na aina ya engine,
Engine za petrol hutoa Hydrocarbons, Carbon monoxide pamoja na Oxygen gas.
Engine za Diesel hutoa NOX, Oxygen gas pamoja na Carbon dioxide...
Msaada hapo tafadhari naipenda hii gari muundo wake ila ule mlango wake tu wa kuburuza kama wa noah ndio kikwazo kwangu nataman ufunguke kama wa Rav 4 au gari zingine zenye mlango kama hizo.
Kama kuna mtaalamu wa kufanya modification na ukakaa safi kabisa niunganishwe naye anihakikishie.
Wakuu
Naitaji bidhaa tajwa hapo juu mwenye nazo tafadhari naomba unipm
Ni shockup za nyuma
Niko dar es salaam, mwenye used na mpya wote tunaweza kuwasiliana
IST,
YOM: 2004
CC 1290
COLOUR:
silver
Engine iko poa
Some small scratches kwenye body hakuna changamoto zaidi.
karibu tumalize biashara: 0683011003
0683011003
Niwe mkweli, nilikua sijawahi kuendesha gari aina ya toyota crown na mbaya zaidi kwenye circle yangu hakukua na mtu anaemiliki toyota crown labda siku moja ingetokea by chance nikaiendesha.
Mimi binafsi preference ya magari yangu ni SUV kama Prado, Harrier ama Vanguard ambayo nimewahi kumiliki...
TOYOTA WISH AU IPSUM?- Kama alivyouliza mdau kwenye group
Na KIMOMWE MOTORS (T) Ltd- Waagizaji Magari
Ipsum za zamani zimeadimika, hivyo ntaongelea ile mpya kuanzia miaka ya 2001.
Toyota Ipsum inakuja na injini kubwa iitwayo 2AZ (Cc2400) yenye Vvti ambayo pia inapatikana kwenye Harrier Old na...
Nimeshangaa kuona jinsi Magari ya mzungu yakivyokuwa na utofauti na Magari yetu ya kijapan,Jana nilikuwa nasukuma ndinga BMW 320i kutoka banana Hadi Kariakoo hakika kuna utofauti Mkubwa Sana na rumion Yangu Hadi nilikuwa siamini jinsi hizi gari zilivyobarikiwa kuna nguvu, stability...
Toyota Noah
Category: Station Wagons
Transmission: Automatic
Colour: Gold
Engine 1998cc
Fuel: Petrol
Mileage: 200000km
Year of manufacture 2001
Condition: Used for 4year
Price: Tshs.Mil.11,500,000/=
Haina tatizo,njoo na fundi wako akague.
Maongezi yapo
Call#0652563680
Wasalaam,
Leo ningependa kuiongelea kidogo gari tajwa hapo juu ambayo ni miongoni mwa gari pendwa kwa wengi kutoka kwenye kampuni ya Toyota.
Toyota Allion ni gari ndogo (sedan/saloon car) yenye ukubwa wa katikati. Ilitambulishwa sokoni mnamo mwaka wa 2001.
Kwa sasa, Toyota Allion nyingi...
Nauza gari yangu toyota Carina Ti, haina tatizo lolote, AC inafanyakazi fresh. Bei ni milioni nane ( 8ml) Kwa aliye serious njoo tufanye biashara. Madalali kaeni pembeni tafadhali
Picha kwa maelezo zaidi..
Mawasiliano:0713114009
IFAHAM TOYOTA PROGRES- kwa ufupi
Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagiza Magari
Utangulizi
Gari hii ndogo ya starehe ilizalishwa miaka ya 1998- 2007. Mshindani wake ni Lexus IS ingawa Progress inaelezewa kuundwa vizuri hivyo kutokua na mitetemo katika vumbi.
Injini na Mafuta
1JZ yenye Cc 2500-...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.