Toyota Probox hii ina shida gani?

Nkuruvi

JF-Expert Member
Dec 1, 2014
563
536
Wakuu,
Toyota Probox hii ina kama mwaka mmoja toka niingize nchini toka Japan. Imekuwa ikifanya vizuri toka nimeinunua ila hivi karibuni, ilianza kupunguza nguvu, haiendi zaidi ya 80KM/HR barabarani na kwenye mlima haizidi 40km/hr.

Mlio wa gari pia umebadilika sana na inakula sana mafuta sasa hivi. Gari yenyewe ni 4WD. Shida itakuwa ni nini wakuu?
 
Wakuu,
Toyota Probox hii ina kama mwaka mmoja toka niingize nchini toka Japan. Imekuwa ikifanya vizuri toka nimeinunua ila hivi karibuni, ilianza kupunguza nguvu, haiendi zaidi ya 80KM/HR barabarani na kwenye mlima haizidi 40km/hr.

Mlio wa gari pia umebadilika sana na inakula sana mafuta sasa hivi. Gari yenyewe ni 4WD. Shida itakuwa ni nini wakuu?
Ningeanza na kubadili plug kama sina uhakika mara ya mwisho lini zimebadilishwa.
 
Wakuu,
Toyota Probox hii ina kama mwaka mmoja toka niingize nchini toka Japan. Imekuwa ikifanya vizuri toka nimeinunua ila hivi karibuni, ilianza kupunguza nguvu, haiendi zaidi ya 80KM/HR barabarani na kwenye mlima haizidi 40km/hr.

Mlio wa gari pia umebadilika sana na inakula sana mafuta sasa hivi. Gari yenyewe ni 4WD. Shida itakuwa ni nini wakuu?

Hiyo ishaibiwa masega hilo tatizo mimi lishanikumba gari inakuwa haina nguvu pia mafuta yanaenda sasa
 
Sijui upo mkoa gani Ila kama upo DAR nenda garage mitaa ya shaurimoyo Ilala Hilo tatizo limeshawahi kumtokea rafiki yangu na probox succeed mwaka Jana akiwa morogoro,gari ilikosa nguvu na akaendesha hivyohivyo chini ya speed 50 mpaka DAR na mafundi fasta waligundua tatizo ni masega....
 
Gari ya Mwaka 2012 huu ni Mwaka 2022 na imeshatembea Km 145k alafu unashangaa hayo matatizo na service zenyewe hizi za mafundi wetu hawa wa ramli??
Mkuu nadilisha gari hilo kabla halijakutia hasara. Huu ndio ushauri wangu.
Kwa unavyo jichekesha ni dhahiri hujui chochote kuhusu gari. Sio kila uzi ni wa kuingiza utani.
Watu tuna gari namba A za 2001 huko na hazina shida yoyote.
 
Wakuu,
Toyota Probox hii ina kama mwaka mmoja toka niingize nchini toka Japan. Imekuwa ikifanya vizuri toka nimeinunua ila hivi karibuni, ilianza kupunguza nguvu, haiendi zaidi ya 80KM/HR barabarani na kwenye mlima haizidi 40km/hr.

Mlio wa gari pia umebadilika sana na inakula sana mafuta sasa hivi. Gari yenyewe ni 4WD. Shida itakuwa ni nini wakuu?
Vijana wa garage washapita na masega chief.
 
Masega ni nini kwenye gari? Naomba kujua.
Dah! Bro.Garage wakiona gari mpya tuu,Hicho ndio kitu cha kwanza kuondoa wanajua we utakuwa mgeni tuu hujui.baada ya hapo ndio unaanza kuona shida km hizo...Km unaikumbuka garage ya kwanza baada ya kutoka yard ndio imekufanyia huo mchezo.Masega huwa yanakaa kwenye bomba la kutoa moshi huko nyuma wanauza.
 
Naam wahuni sio watu wazur wameondoka na hii kitu
 

Attachments

  • download.jpeg
    download.jpeg
    10.8 KB · Views: 75
Gari ya Mwaka 2012 huu ni Mwaka 2022 na imeshatembea Km 145k alafu unashangaa hayo matatizo na service zenyewe hizi za mafundi wetu hawa wa ramli??
Mkuu nadilisha gari hilo kabla halijakutia hasara. Huu ndio ushauri wangu.
endelea kufunua hotpot kwa mume wa dada yako

dada anageuzwageuzwa wewe upate bando
 
Gari ya Mwaka 2012 huu ni Mwaka 2022 na imeshatembea Km 145k alafu unashangaa hayo matatizo na service zenyewe hizi za mafundi wetu hawa wa ramli??
Mkuu nadilisha gari hilo kabla halijakutia hasara. Huu ndio ushauri wangu.
Ulichojibu unaonyesha wazi wewe hujui gari, gari zote hizi zinazokuja Afrika 90% zimetengenezwa miaka mpaka 25 nyuma na ni mpya Kwa hapa Afrika, zina nguvu na hazina shida huku kwetu na unaweza dunda nayo miaka 15 ikikutazama tu, hapo Kuna shida tu ya kiufundi basi na siyo hizo blaa blaa zingine
 
Kumwambia mtu abadilishe gari ambayo imeshatembea km zaidi ya 140k alafu inamsumbua ni ujinga? Hivi nyie watu mna funza kichwani?
140k milage Kwa Africa bado ni gari mpya Sana ni mtanzania gani anaweza kubadilisha gari eti Kwa Kwa vile milage ni 140K.
Ukiingia kwenye site za mitandao ya wauza magari zipo gari zimetembea zaidi ya 200K na watu wananunua na hayasumbui...kama hiyo gari ingekuwa imetokea hiyo shida ikiwa IPO chini ya 70k milage ungemshauri abadili gari au atafute yenye milage ndogo zaidi?
Sometimes jaribu kuwaza Kwa umakini kabla haujapost comments
 
Back
Top Bottom