toyota

  1. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Magari ya mzungu yametuacha mbali Sana Sisi akina Toyota

    Nimeshangaa kuona jinsi Magari ya mzungu yakivyokuwa na utofauti na Magari yetu ya kijapan,Jana nilikuwa nasukuma ndinga BMW 320i kutoka banana Hadi Kariakoo hakika kuna utofauti Mkubwa Sana na rumion Yangu Hadi nilikuwa siamini jinsi hizi gari zilivyobarikiwa kuna nguvu, stability...
  2. Boyla

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Noah inauzwa

    Toyota Noah Category: Station Wagons Transmission: Automatic Colour: Gold Engine 1998cc Fuel: Petrol Mileage: 200000km Year of manufacture 2001 Condition: Used for 4year Price: Tshs.Mil.11,500,000/= Haina tatizo,njoo na fundi wako akague. Maongezi yapo Call#0652563680
  3. MAGARI7

    JamiiForums Tanzania Ifahamu toyota allion

    Wasalaam, Leo ningependa kuiongelea kidogo gari tajwa hapo juu ambayo ni miongoni mwa gari pendwa kwa wengi kutoka kwenye kampuni ya Toyota. Toyota Allion ni gari ndogo (sedan/saloon car) yenye ukubwa wa katikati. Ilitambulishwa sokoni mnamo mwaka wa 2001. Kwa sasa, Toyota Allion nyingi...
  4. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Run X namba D kwa 8.5 mil.

    Hii hapa Run X nzuri tu Haina shida yoyote. Inapatikana Dar Tuwasiliane 0683011003 Imerudiwa rangi full kutokana na some scratches
  5. Zuriel_cfc

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Carina Ti

    Nauza gari yangu toyota Carina Ti, haina tatizo lolote, AC inafanyakazi fresh. Bei ni milioni nane ( 8ml) Kwa aliye serious njoo tufanye biashara. Madalali kaeni pembeni tafadhali Picha kwa maelezo zaidi.. Mawasiliano:0713114009
  6. KIMOMWEMOTORS

    JamiiForums Tanzania Ijue Toyota Progres kwa ufupi

    IFAHAM TOYOTA PROGRES- kwa ufupi Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagiza Magari Utangulizi Gari hii ndogo ya starehe ilizalishwa miaka ya 1998- 2007. Mshindani wake ni Lexus IS ingawa Progress inaelezewa kuundwa vizuri hivyo kutokua na mitetemo katika vumbi. Injini na Mafuta 1JZ yenye Cc 2500-...
  7. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Passo no D kwa 3.0 mil only

    Car in good condition Available all the time in Dar Price; 3.0 mil Call: 0683011003
  8. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Runx, 6mil, DSM

    Toyota RUNX CC 1490 Full ac BEI ML 6 0683011003 Location airpot, Dar es Salaam.
  9. William Mshumbusi

    JamiiForums Tanzania Ipi ni Gari nzuri Kati ya Prado Tx cc 2690 na Toyota klugger cc 2360

    Natamani kuwa na Gari kubwa nzuri kwaajili ya matumizi binafsi. Hapa natamani kujua Gari ipi nzuri kwa kuangalia vitu vifuatavyo. 1. Uimara 2. Matumizi ya mafuta 3. Service 4. Muonekano Najua zipo Vanguard na harrier new model Ila Bei imenitoa huko haswa used Tz. Ila kila nikiangalia hizi...
  10. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota IST no DDB

    TOYOTA I.S.T INAUZWA BEI MIL 7.5 FULL AC MZIKI MNENE NEW TYRE&RIM SPORT CC 1290 ENGINE 2NZ MWAKA 2005 KM 105000 Mahali iliko: BANANA DAR ES SALAAM.. #CALL 0683011003
  11. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Cresta GX 110 for Tsh. milioni 3.9

    Engne 1g kavu Gari full Ac Njoo ukague gari Haina shida yoyote. Mahali iliko: kinondoni, Dar Call 0683011003
  12. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota chaser balloon GX 90

    Toyota CHASER BALLOON GX 90 Cc 1800 engine number 4s Full tinted Full documents Reamsports Safar popote mkoa wowote call 0683011003 Location Ukonga Bei million 2.5
  13. Nduka

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania hawazichangamkii Toyota Mark X Vio

    Hii gari nimeipenda sana ilivyo na nafasi ndani, siti zake za nyuma zinaweza kulala kuongeza nafasi ya mizigo. Bei zake ni za kizalendo sana, nadhani kwa class yake ni gari ya bei nafuu kuliko zote. Injini ni 2.4 na inakuhakikishia power na durability. Kwanini wabongo hawajazichangamkia sana...
  14. Website Tanzania

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Tunauza Vitu mbalimbali (Magari, Nyumba, Mashamba na Viwanja)

    Toyota Rav4 Old Model Model 1998 Engine 3S Cc 1990 Kilometer 82095 Colour Silver New Tyres & Rims Price 14.5ML simu 0677 818283
  15. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Nissan 2021 Vs Toyota 2021 Jamaa wamefikia Tamati katika Ubunifu

    Nissan. Toyota
  16. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Majina ya Magari ya TOYOTA Na maana yake

    MAJINA YAMAGARI YA TOYOTA NA MAANA ZAKE. Kampuni ya Toyota ilianzishwa na mtu anayeitwa toyoda na si Toyota kama wengi wanavyofikiria . mwanzo ilikuwa ikijulikana kwa jina la katakana . kampuni ya Toyota ni ya mtu na famila yake . katika ukuaji wa biashara , katakana co.ltd , ilibadilishwa ...
  17. JituMirabaMinne

    JamiiForums Tanzania Experience yangu mbaya na gari za Toyota

    Katika kufanya diagnosis na kurekebisha matatizo mbali mbali kwenye magari. Asilimia kubwa ya gari nilizokutana nazo ni gari za japan mathalani gari za toyota japo nishakutana pia na gari za ulaya kama BMW, Land Rover na VW na gari za US kama Jeep na Ford. Experience yangu mbaya kwenye kufanya...
  18. F

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nini nifanye ili niweze kutatua tatizo la gari yangu aina ya Toyota Corolla Fielder

    Habarini wapendwa kwema!!! Nina gari yangu aina ya Toyota corolla fielder shida kubwa kila nikiiwasha inawaka halafu inazimika nikirudia tena bado inazimika, ila ukiiwasha halafu ukaikanyangia moto hata kwa dk 3 mpk 5 ikishapata moto engine ndo inawaka. Nimeshaipeleka kwa fundi lkn bado shida...
  19. polokwane

    JamiiForums Tanzania Hii ya kubadilisha KM za gari hivi ni kweli ipo? Kuna gari namba BAC ina KM 38900 TOYOTA KLUGER jamaa anaiuza

    Nimepata mashaka makubwa sana baada ya kutizama hizo kilometre na usajili wa gari yaani gari imesajiliwa muda mrefu lakin imetembea km chache sana nika muuliza kulikoni gari inausajili wa BAC wa muda mrefu lakini gari imetembea km chache kiasi hiki? Akanijibu tangu imenunuliwa ilikuwa haitumiki...
  20. MAMESHO

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Inauzwa pick-up double cabin Toyota Hilux JTD5 2.4 Diesel

    Pick-up double cabin White Imported from: great britain Manufactured: 2004 Manual 2kd D4d Current location : moshi Whatsapp /call 0713683422 Owner is a doctor Reason for selling: requires automatic same vehicle due to left leg injury Price: 28 million
Back
Top Bottom