toyota

  1. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota caldina for sale at Magomeni Dar es Salaam

    Gari inauzwa. full AC mileage 121,000 haina tatizo lolote. asking price 3.5mil 0713096076
  2. 100 others

    JamiiForums Tanzania Filamu ya James Bond ikionyesha Land Cruiser Toyota inavyozipa shida na kuziharibu Range Rovers

    Mwezi huu wale wazee wa torrent imetoka hii filamu ya James Bond kwa jina la no time to die ,katika kutazama hii filamu nimeona scene ambayo imenifikirisha kwa nini na kuna maana gani? Mapema land rover walitoa video fupi ya no time to die ambayo ipo YouTube, cha kushangaza ni James Bond...
  3. ommytk

    JamiiForums Tanzania Nataka gari aina ya Toyota IST, bajeti 5 to 6m

    Nahitaji gari aina ist bajeti yangu ni 5 to 6m gari iwe yako sio dalali sinunui kwa dalali
  4. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Vitz namba BV cc 990, kwa milioni 3

    .......
  5. J

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota allion for sale

    TOYOTA ALLION NAMBA D ENGINE 1800CC IKO DAR BEI 6.4M(NEGOTIABLE) CONTACT 0762295954
  6. Tujisahihishe Tz

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota IST inauzwa Tsh. milioni 10.5

    TOYOTA IST NAMBA D NZURI (Mwaka 2004) Haina tatizo lolote, Haijafunguliwa engin Well maintained, Full paid documents Engine Type 2nz, Engine capacity 1290 Haijarudiwa rangi, Full aircondition Bei 10.5million maongezi yapo PiGa 0621604087 WhatsApp 0621604087 Call 0621604087
  7. Junnie27

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota crown for sale

    Toyota Crown Year:2005 EngineCC:2500 Price 8,800,000/= Call/what's app 0626409908 dsm
  8. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota IST no DLW inauzwa kwa 8mil. Dar es salaam

    iwahi, bei haina udalali. cc 1290. imenyooka call 0713096076 nikuunganishe kwa boss mkaongee zaidi.
  9. Junnie27

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Turbo Glanza for sell

    glanza turbo manual transmition 5.5m dsm 0626409908
  10. C

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Inauzwa/For sale: 2007 Toyota IST

    Toyota IST ya 2007, 1490 CC, 63,800 KM. Price/Bei: TSh 14.5 million Inuzwa na mmiliki (hakuna dalali). Ipo Mbweni malindi/Mbweni JKT, Dar es Salaam. Wasiliana 0759970963/ Whatsapp 0625536529 2007 Toyota IST Details Price negotiable: Yes Condition: Used Year: 2007 Make: Toyota Model: IST...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Gari Inauzwa Toyota Mark II Gx 100 Tzs. 2.5m

    Assalaam Wanabodi, Nauza gari yangu aina ya Toyota Mark II Gx 100. Gari hii iko katika hali nzuri. Haijaguswa Engine wala Gearbox kwa matengenezo yoyote. Changamoto kidogo iko kwenye bodi, sehemu ndogo sana ya juu imelika kutokana na chumvi ya bahari hapa Dar es Salaam. Na hii ni kutokana na...
  12. C

    JamiiForums Tanzania Toyota fielder Msaada

    Ambae ameimiliki hii gari ,utumiaji Mafuta,Spea, comfortability yake,utulivu barabarani nk, M-barikiwe saana
  13. N

    JamiiForums Tanzania Nani anamiliki Toyota Filda humu?

    Mwenye kuwahi itumia Toyota fielder namuomba inbox plsss cc 1500. Ubarikiwe
  14. JituMirabaMinne

    JamiiForums Tanzania Athari za kutoa masega kwenye gari (catalytic converter)

    Bila Catalytic Converter kuna sumu zinazotoka kwenye moshi ambazo zitakuwa zinaingia kwenye hewa. Sumu hizo hazifanani kulingana na aina ya engine, Engine za petrol hutoa Hydrocarbons, Carbon monoxide pamoja na Oxygen gas. Engine za Diesel hutoa NOX, Oxygen gas pamoja na Carbon dioxide...
  15. polokwane

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna fundi anaye weza kuubalisha mlango wa TOYOTA SIENTA wa kuburuza kuwa mlango wa kawaida kama wa Rav4, IST?

    Msaada hapo tafadhari naipenda hii gari muundo wake ila ule mlango wake tu wa kuburuza kama wa noah ndio kikwazo kwangu nataman ufunguke kama wa Rav 4 au gari zingine zenye mlango kama hizo. Kama kuna mtaalamu wa kufanya modification na ukakaa safi kabisa niunganishwe naye anihakikishie.
  16. hp4510

    JamiiForums Tanzania Naitaji shockup za Toyota kluger

    Wakuu Naitaji bidhaa tajwa hapo juu mwenye nazo tafadhari naomba unipm Ni shockup za nyuma Niko dar es salaam, mwenye used na mpya wote tunaweza kuwasiliana
  17. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota IST, No D kwa Tsh. milioni 9

    IST, YOM: 2004 CC 1290 COLOUR: silver Engine iko poa Some small scratches kwenye body hakuna changamoto zaidi. karibu tumalize biashara: 0683011003 0683011003
  18. N

    JamiiForums Tanzania Toyota Corolla fielder

    Naomba mwenye kuijua vema hii gari Anisaidie tafadhali nataka kuinunua mwezi ujao mikononi kwa mtu Namba DKL
  19. T

    JamiiForums Tanzania Nimeelewa sababu ya vijana kupenda Toyota Crown

    Niwe mkweli, nilikua sijawahi kuendesha gari aina ya toyota crown na mbaya zaidi kwenye circle yangu hakukua na mtu anaemiliki toyota crown labda siku moja ingetokea by chance nikaiendesha. Mimi binafsi preference ya magari yangu ni SUV kama Prado, Harrier ama Vanguard ambayo nimewahi kumiliki...
  20. KIMOMWEMOTORS

    JamiiForums Tanzania Toyota Ipsum au Wish? Tumeweka maoni yetu

    TOYOTA WISH AU IPSUM?- Kama alivyouliza mdau kwenye group Na KIMOMWE MOTORS (T) Ltd- Waagizaji Magari Ipsum za zamani zimeadimika, hivyo ntaongelea ile mpya kuanzia miaka ya 2001. Toyota Ipsum inakuja na injini kubwa iitwayo 2AZ (Cc2400) yenye Vvti ambayo pia inapatikana kwenye Harrier Old na...
Back
Top Bottom