toyota

  1. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota Passo no D kwa 3.0 mil only

    Car in good condition Available all the time in Dar Price; 3.0 mil Call: 0683011003
  2. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota Runx, 6mil, DSM

    Toyota RUNX CC 1490 Full ac BEI ML 6 0683011003 Location airpot, Dar es Salaam.
  3. William Mshumbusi

    Ipi ni Gari nzuri Kati ya Prado Tx cc 2690 na Toyota klugger cc 2360

    Natamani kuwa na Gari kubwa nzuri kwaajili ya matumizi binafsi. Hapa natamani kujua Gari ipi nzuri kwa kuangalia vitu vifuatavyo. 1. Uimara 2. Matumizi ya mafuta 3. Service 4. Muonekano Najua zipo Vanguard na harrier new model Ila Bei imenitoa huko haswa used Tz. Ila kila nikiangalia hizi...
  4. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota IST no DDB

    TOYOTA I.S.T INAUZWA BEI MIL 7.5 FULL AC MZIKI MNENE NEW TYRE&RIM SPORT CC 1290 ENGINE 2NZ MWAKA 2005 KM 105000 Mahali iliko: BANANA DAR ES SALAAM.. #CALL 0683011003
  5. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota Cresta GX 110 for Tsh. milioni 3.9

    Engne 1g kavu Gari full Ac Njoo ukague gari Haina shida yoyote. Mahali iliko: kinondoni, Dar Call 0683011003
  6. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota chaser balloon GX 90

    Toyota CHASER BALLOON GX 90 Cc 1800 engine number 4s Full tinted Full documents Reamsports Safar popote mkoa wowote call 0683011003 Location Ukonga Bei million 2.5
  7. Nduka

    Kwanini Watanzania hawazichangamkii Toyota Mark X Vio

    Hii gari nimeipenda sana ilivyo na nafasi ndani, siti zake za nyuma zinaweza kulala kuongeza nafasi ya mizigo. Bei zake ni za kizalendo sana, nadhani kwa class yake ni gari ya bei nafuu kuliko zote. Injini ni 2.4 na inakuhakikishia power na durability. Kwanini wabongo hawajazichangamkia sana...
  8. Website Tanzania

    Special Thread: Tunauza Vitu mbalimbali (Magari, Nyumba, Mashamba na Viwanja)

    Toyota Rav4 Old Model Model 1998 Engine 3S Cc 1990 Kilometer 82095 Colour Silver New Tyres & Rims Price 14.5ML simu 0677 818283
  9. Chizi Maarifa

    Nissan 2021 Vs Toyota 2021 Jamaa wamefikia Tamati katika Ubunifu

    Nissan. Toyota
  10. Kasomi

    Majina ya Magari ya TOYOTA Na maana yake

    MAJINA YAMAGARI YA TOYOTA NA MAANA ZAKE. Kampuni ya Toyota ilianzishwa na mtu anayeitwa toyoda na si Toyota kama wengi wanavyofikiria . mwanzo ilikuwa ikijulikana kwa jina la katakana . kampuni ya Toyota ni ya mtu na famila yake . katika ukuaji wa biashara , katakana co.ltd , ilibadilishwa ...
  11. JituMirabaMinne

    Experience yangu mbaya na gari za Toyota

    Katika kufanya diagnosis na kurekebisha matatizo mbali mbali kwenye magari. Asilimia kubwa ya gari nilizokutana nazo ni gari za japan mathalani gari za toyota japo nishakutana pia na gari za ulaya kama BMW, Land Rover na VW na gari za US kama Jeep na Ford. Experience yangu mbaya kwenye kufanya...
  12. F

    Msaada: Nini nifanye ili niweze kutatua tatizo la gari yangu aina ya Toyota Corolla Fielder

    Habarini wapendwa kwema!!! Nina gari yangu aina ya Toyota corolla fielder shida kubwa kila nikiiwasha inawaka halafu inazimika nikirudia tena bado inazimika, ila ukiiwasha halafu ukaikanyangia moto hata kwa dk 3 mpk 5 ikishapata moto engine ndo inawaka. Nimeshaipeleka kwa fundi lkn bado shida...
  13. polokwane

    Hii ya kubadilisha KM za gari hivi ni kweli ipo? Kuna gari namba BAC ina KM 38900 TOYOTA KLUGER jamaa anaiuza

    Nimepata mashaka makubwa sana baada ya kutizama hizo kilometre na usajili wa gari yaani gari imesajiliwa muda mrefu lakin imetembea km chache sana nika muuliza kulikoni gari inausajili wa BAC wa muda mrefu lakini gari imetembea km chache kiasi hiki? Akanijibu tangu imenunuliwa ilikuwa haitumiki...
  14. MAMESHO

    Car4Sale Inauzwa pick-up double cabin Toyota Hilux JTD5 2.4 Diesel

    Pick-up double cabin White Imported from: great britain Manufactured: 2004 Manual 2kd D4d Current location : moshi Whatsapp /call 0713683422 Owner is a doctor Reason for selling: requires automatic same vehicle due to left leg injury Price: 28 million
  15. G

    Naomba kufahamu oil ya gear box ya Toyota Sienta na bei yake

    Naomba kujua bei ya oil ya gear box ya Toyota sienta, Pia nikiwasha gari nyakati za asubuhi au injin inapokuwa imepoa huwa inatoa muungurumo wa juu kana kwamba nimekanyaga mafuta... Kisha baada ya dk 1 inatulia. Msaada tafadhali
  16. D

    Car4Sale Toyota Verossa inauzwa

    Habari, Nauza gari Aina ya Toyota Verossa number DAK haina tatizo lolote unawasha gari na kwenda safari kokote, gari ni yangu mwenyewe nauza ili nibadilishe au pia tunaweza kubadilisha na.ukaniongeza hela. Bei ni 6.8M hata ukiwa mkoani unafikishiwa kwa usalama na uaminifu. Kwa picha naomba...
  17. D

    Nahitaji Toyota Voltz

    Mwenye nayo tuwasiliane iwe na sifa zifuatazo: 1. Engine 1ZZ 2. 2WD 3. Isiwe imerudiwa rangi Offer 10m Tuma pic 0715140001
  18. B

    Naomba nijue ubora na udhaifu kati Toyota Kluger na Harrier new model

    Wakuu habari za leo, Nina mpango wa kuagiza gari Japan, ninafikiria zaidi Harrier New model au Toyota Kluger za mwaka 2004-2006, nahitaji kujua ubora na udhaifu kati ya hayo magari mawili, na ushauri wa lipi niweze kuagiza. Pia anaejua kuhusu calculation za mapato TRA na kulitoa gari...
  19. Komeo Lachuma

    Ukiacha body Toyota Noah nini kingine shida?

    Hizi Toyota Noah za namna hii watu wamekuwa wakilalamika sana kuhusu body yake kuwa si imara. Actually hii ni gari ya mizunguko ya town si ya kwendea shamba. Ukiacha malalamiko ya kuwa Body yake ni nyanya nini kingine tatizo kwa gari hii? Kuna ndugu yangu anataka inunua kama gari ya family...
  20. MagariTanzania

    Car4Sale Toyota Land Cruiser inauzwa

    Diesel Auto Ipo katika hali nzuri, inatembea. Ipo Dar es Salaam. Bei 17mil. Mawasiliano 0784225000.
Back
Top Bottom