Tatizo la engine kumisi ukikanyaga accelerator kwenye baadhi ya gari za Toyota

JituMirabaMinne

JF-Expert Member
May 4, 2020
3,327
9,328
Hii kitu nimekutana nayo sana kwenye familia tatu za engine za toyota

NZ engines[1NZ-FE, 2NZ-FE]

AZ engines[1AZ, 2AZ]

na ZZ engines [1ZZ sanasana]

Sitotaja gari zinazotumia hizo engine sababu hata nikianza kuzitaja ni nyingi sitamaliza, lakini huenda zaidi ya 50% ya gari ndogo ambazo watu wanatumia zinaangukia kwenye hizo engine family nilizotaja hapo juu.

Hasa nimekutana nayo kwenye Rav 4 na IST lakini huenda ipo kwenye gari nyingi sana sababu toyota gari nyingi zinashare engines.

Okay ishu yenyewe ipo hivi,

Gari inachemsha, inaweza hata ikaunguza cylinder head gasket na kupindisha cylinder head.

Unarudishia kila kitu fresh, ila ukija kuwasha gari, engine inakaa Idling vizuri kabisa ila changamoto inakuja ukikanyaga accelerator.

Ukikanyaga tu accelerator inakuja misi kubwa yaani gari inaweza hata kuzima. Ukiikanyaga taratibu na kwa kwa kuibembeleza ndio mshale wa RPM unapanda vizuri kabisa.

Ila ukikanyaga kawaida au haraka basi lazima imisi. Na ukiwa barabarani ndio ile unakanyaga gari haitembei. Na kibaya zaidi kwenye Diagnostic mashine huwa haioneshi chochote.

Sasa hiyo ishu unaweza ukabadilisha spea mpaka kichwa kikauma ila in real sense sababu kubwa huwa ni Kuharibika kwa Ignition Coil Pack Zote.

Nimeshakutana na Case 6 mtindo huo na mara zote ilikuwa ni Ignition coils.

Ukifunga coil pack zingine ishu inapotea kabisa.
 
huo ndio moyo wa kitajiri,wengine ungesikia ukipata tatizo kama hili nione private box,hili tatizo boss wangu wa kihindi lilimtesa sana na toyota spacio,alifumua engine kwa mafundi wa uhakika 3 tofauti,lakini wapi....

Uko sawa ni ishu ambayo inatesa for real.

Pia nimesahau kuongelea kitu kimoja. Pia gari huwa inachelewa kuwaka sometimes.
 
Safi sana kiongozi Kwa uzalendo wako,hapa umesaidia watu wengi kupata uelewa. Tatizo kama Hilo ukienda Kwa mafundi wetu WA chini ya mwembe watabahatisha Kwa kuagiza fuel pump na plugs mpya

Me mwenyewe mwanzo hii ishu imeshanisumbua sana.

Ukiangalia the way gari inavyobehave unaweza kudhani Crankshaft Position Sensor ndio inashida ila unaweza badili hizo sensor hata 10 lakini haitosolve tatizo....
 
Me mwenyewe mwanzo hii ishu imeshanisumbua sana.

Ukiangalia the way gari inavyobehave unaweza kudhani Crankshaft Position Sensor ndio inashida ila unaweza badili hizo sensor hata 10 lakini haitosolve tatizo....
DAH...We jamaa una moyo wa ajabu sana.una heshima yangu kabisa!
Asante sana sana sana.hujui tu hii imenisaidia kwa kiwango gani
 
Hii kitu nimekutana nayo sana kwenye familia tatu za engine za toyota

NZ engines[1NZ-FE, 2NZ-FE]

AZ engines[1AZ, 2AZ]

na ZZ engines [1ZZ sanasana]

Sitotaja gari zinazotumia hizo engine sababu hata nikianza kuzitaja ni nyingi sitamaliza, lakini huenda zaidi ya 50% ya gari ndogo ambazo watu wanatumia zinaangukia kwenye hizo engine family nilizotaja hapo juu.

Hasa nimekutana nayo kwenye Rav 4 na IST lakini huenda ipo kwenye gari nyingi sana sababu toyota gari nyingi zinashare engines.

Okay ishu yenyewe ipo hivi,

Gari inachemsha, inaweza hata ikaunguza cylinder head gasket na kupindisha cylinder head.

Unarudishia kila kitu fresh, ila ukija kuwasha gari, engine inakaa Idling vizuri kabisa ila changamoto inakuja ukikanyaga accelerator.

Ukikanyaga tu accelerator inakuja misi kubwa yaani gari inaweza hata kuzima. Ukiikanyaga taratibu na kwa kwa kuibembeleza ndio mshale wa RPM unapanda vizuri kabisa.

Ila ukikanyaga kawaida au haraka basi lazima imisi. Na ukiwa barabarani ndio ile unakanyaga gari haitembei. Na kibaya zaidi kwenye Diagnostic mashine huwa haioneshi chochote.

Sasa hiyo ishu unaweza ukabadilisha spea mpaka kichwa kikauma ila in real sense sababu kubwa huwa ni Kuharibika kwa Ignition Coil Pack Zote.

Nimeshakutana na Case 6 mtindo huo na mara zote ilikuwa ni Ignition coils.

Ukifunga coil pack zingine ishu inapotea kabisa.
Mkuu umemuokoa jamaa yangu saana.... ulichokielezea ndio exactly kilichokuwa kinaendelea kwene IST ya jamaa yangu.

Nilochofanya ni nilichukua coil spark za kwenye gari yangu nikahamishia kwenye yake na hapo hapo hili tatizo kwenye gari yake likaisha

Kesho anaamkia kwa wachinjaji wa spea za japan achukue coil spark zake maana tumepin-point tatizo kupitia huu uzi.

Tutakutumia chochote tukipata namba yako, kwa sasa tunasema AHSANTE SANA..
 
Mk
Hii kitu nimekutana nayo sana kwenye familia tatu za engine za toyota

NZ engines[1NZ-FE, 2NZ-FE]

AZ engines[1AZ, 2AZ]

na ZZ engines [1ZZ sanasana]

Sitotaja gari zinazotumia hizo engine sababu hata nikianza kuzitaja ni nyingi sitamaliza, lakini huenda zaidi ya 50% ya gari ndogo ambazo watu wanatumia zinaangukia kwenye hizo engine family nilizotaja hapo juu.

Hasa nimekutana nayo kwenye Rav 4 na IST lakini huenda ipo kwenye gari nyingi sana sababu toyota gari nyingi zinashare engines.

Okay ishu yenyewe ipo hivi,

Gari inachemsha, inaweza hata ikaunguza cylinder head gasket na kupindisha cylinder head.

Unarudishia kila kitu fresh, ila ukija kuwasha gari, engine inakaa Idling vizuri kabisa ila changamoto inakuja ukikanyaga accelerator.

Ukikanyaga tu accelerator inakuja misi kubwa yaani gari inaweza hata kuzima. Ukiikanyaga taratibu na kwa kwa kuibembeleza ndio mshale wa RPM unapanda vizuri kabisa.

Ila ukikanyaga kawaida au haraka basi lazima imisi. Na ukiwa barabarani ndio ile unakanyaga gari haitembei. Na kibaya zaidi kwenye Diagnostic mashine huwa haioneshi chochote.

Sasa hiyo ishu unaweza ukabadilisha spea mpaka kichwa kikauma ila in real sense sababu kubwa huwa ni Kuharibika kwa Ignition Coil Pack Zote.

Nimeshakutana na Case 6 mtindo huo na mara zote ilikuwa ni Ignition coils.

Ukifunga coil pack zingine ishu inapotea kabisa.
Mkuu unaupiga Mwingi sana, Big Up
 
Mkuu umemuokoa jamaa yangu saana.... ulichokielezea ndio exactly kilichokuwa kinaendelea kwene IST ya jamaa yangu.

Nilochofanya ni nilichukua coil spark za kwenye gari yangu nikahamishia kwenye yake na hapo hapo hili tatizo kwenye gari yake likaisha

Kesho anaamkia kwa wachinjaji wa spea za japan achukue coil spark zake maana tumepin-point tatizo kupitia huu uzi.

Tutakutumia chochote tukipata namba yako, kwa sasa tunasema AHSANTE SANA..
Mkuu hizo Coil Spark gharama yake sh ngapi?
 
Back
Top Bottom