Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,023
- 1,609
Kampuni ya uzalishaji wa magari ya Toyota imesema itasitisha shughuli za uzalishaji katika viwanda vyake nchini Japan mwezi huu kutokana na marufuku ya kutoka nje kwa #Covid mjini Shanghai.
Hii ni kampuni kubwa ya pili ya magari kutangaza kuwa inaathiriwa na marufuku ya kutoka nje ya Covid-19 nchini Uchina baada ya Tesla kuripotiwa kupunguza uzalishaji katika kiwanda chake cha Shanghai
Mji wa Shanghai umekua muhimu kwa viwanda vya utengenezaji wa magari duniani kutokana na ubora sekta ya viwanda vya chuma iliyo malighafi kuu katika uzalishaji wa magari
......................................................................................
Toyota says it will suspend operations at more production lines at its factories in Japan this month due to the coronavirus lockdown in Shanghai.
The firm says the production halt will come into effect on Monday and stay in place until of end of next week.
It is the latest big car maker to announce that it is being impacted by the Covid-19 measures in China.
Meanwhile, Tesla has reportedly halted most production at its Shanghai plant due to problems with sourcing parts.
"Due to the impact of the semiconductor shortage, we announced our revised production plan for May," Toyota said in a statement.
"However, as a result of the lockdown in Shanghai, China, we have decided to additionally suspend operations of 14 lines at 8 plants in Japan from May 16 (Mon) to May 21 (Sat),"
Source: BBC News
Hii ni kampuni kubwa ya pili ya magari kutangaza kuwa inaathiriwa na marufuku ya kutoka nje ya Covid-19 nchini Uchina baada ya Tesla kuripotiwa kupunguza uzalishaji katika kiwanda chake cha Shanghai
Mji wa Shanghai umekua muhimu kwa viwanda vya utengenezaji wa magari duniani kutokana na ubora sekta ya viwanda vya chuma iliyo malighafi kuu katika uzalishaji wa magari
......................................................................................
Toyota says it will suspend operations at more production lines at its factories in Japan this month due to the coronavirus lockdown in Shanghai.
The firm says the production halt will come into effect on Monday and stay in place until of end of next week.
It is the latest big car maker to announce that it is being impacted by the Covid-19 measures in China.
Meanwhile, Tesla has reportedly halted most production at its Shanghai plant due to problems with sourcing parts.
"Due to the impact of the semiconductor shortage, we announced our revised production plan for May," Toyota said in a statement.
"However, as a result of the lockdown in Shanghai, China, we have decided to additionally suspend operations of 14 lines at 8 plants in Japan from May 16 (Mon) to May 21 (Sat),"
Source: BBC News