Ninaelewa kuwa Kodi ni malipo yasiyo ya hiari ambayo raia analipa serikalini kutokana ama na mapato au kutokana na mali anayomiliki. Kuna Kodi ya Ardhi, Kodi ya Mapato, Kodi ya Gari na kadhali.
Katika miaka ya hivi karibuni kumekuja neno jipya linalotwa Tozo, ambayo nayo ni malipo yasiyo ya...