Waziri wa Utumishi, sheria ya kutaka kila Mtumishi abaki na walau moja ya tatu ya mshara wake, haizingatii tofauti kubwa mishahara baina ya watumishi

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,023
144,381
Hili jambo nimeliongea mara kadhaa huko nyuma na leo napenda kuliriudia kwani ni kikwazo kwa watu katika kujitafutia maendeledo yao na pia katika kutatua changamato zao za kifedha.

Kwa wasiolewa, sheria hii inalenga kuhakiksha mtumishi habaki na take home ndogo isiyokidhi mahitaji yake na ya familia yake au kubaki na take home zero kabisa kama ilivyokuwa huko nyuma kwa baadhi ya watumishi kabla serikali haijaingilia kati na kuja na huu utaratibu wa kutaka` kila mtumishi kubaki na walau mojab ya tatu ya mshahara ghafi wake(basic salary) baada ya makato yote(ya kisheria na yasiyo ya kisheria).

Hata hivyo, sheria hii imeweka watumishi wote katika kapu moja, yaani anaepokea mshara wa milioni mbili kwa mwezi, anabanwa na sheria ile ile kama yule anaepokea mshahara wa shilingi laki tatu au nne kwa mwezi jambo ambalo si sahihi kabisa.

Tutazame mifano hii:
1/3 ya 300,000 ni 99,999.99
1/3 ya 500,000 ni 166,666.66
1/3 ya 600,000 ni 199,999.99
1/3 ya 1200,000 ni 399,999.99
1/3 ya 1400,000 ni 466,666.66
1/3 ya 1500,000 ni 499,999.99
1/3 ya 1800,000 ni 599,999.99
1/3 ya 1950,000 ni 649,999.99
1/3 ya 2000,000 ni 666,666.66
1/3 ya 2500,000 ni 833,3333.33
1/3 ya 3000,0000 ni 999,999.99

Hapa nimejaribu kutoa viwango hivyo kama mifano kuonyesha utofauti uliopo katika kutafuta hiyo moja ya tatu ambayo kila mtumishi anastahili kubaki nayo baada ya makato yote yakiwemo na makato ya mikopo.

Sasa tujuilize, kama serikali imeona mfanyakazi mwenye mshahara wa shilingi 600,000/= akibaki na take home ya walau shilingi 200,000/=, anaweza kuishi, ni kwanini mtumishi mwenye mshahara wa shilingi 1500,000/= alazimishwe kubaki na take home ya 500,000 wakati wote tunaishi katika nchi moja?

Nafikiri wakati umefika serikali ipitie upya sheria hii ili kuwezesha watumishi wenye mishahara mikubwa kutumia mishahara yao kukopa katika mabenki na taasisi zingine za kifedha badala ya kuwabana wote na sheria moja ili hali wana tofauti kubwa ya kipato.

Tafakari hii:

Mtu anataka kukopa amalizie nyumba yake ahamamie, ila kutokana na sheria kama hii, mtumishi anakuwa hakopesheki, hivyo anaendelea kulipa kodi na hapo hapo serikali inaamini sheria hii inamlinda mfanyakazi kumbe inamuumizi kwa kumfanya aendelee kulipa kodi kwasababu tu ameshindwa kukopesheka kisa anatakiwa kubaki na moja ya` tatu ya mshahara wake baada ya makato yote.

Waziri wa Utumishi na serikali kwa ujumla, wakati umefika sheria/utaratibu huu upitiwe upya na ikiwezekana serikali ifanye tathimni upya na kuweka kiwango ambacho ni shariti kibaki katika mshahara wa kila mtumishi na utaratibu uzingatie range fulani ya mishahara(wenye mshahara kuanzia kiasi fulani mpaka kiasi fulani wabaki na kiasi fulani kulingamna na mishahara yao) na sio kwa kutumia huu utaratibu wa moja ya tatu usiozingatia tofauti kubwa ya mishahara iliyopo baina ya watumishi wa umma.

Nawasilisha.
 
Nafikiri wamejaribu kuangalia mtu mwenye mshahara mkubwa matumizi ya maisha yake ni makubwa, kwahiyo ukibakiwa na 1/3 kubwa ya mshahara wako utaweza endesha maisha vizuri
 
Nafikiri wamejaribu kuangalia mtu mwenye mshahara mkubwa matumizi ya maisha yake ni makubwa, kwahiyo ukibakiwa na 1/3 kubwa ya mshahara wako utaweza endesha maisha vizuri
Sheria impe uhuru wa kuamua na si kumbana. Mtumishi mwenyewe ndio anajua mahitaji yake na pia kipato chake kingine nje ya mshahara,
 
Hili jambo nimeliongea mara kadhaa huko nyuma na leo napenda kuliriudia kwani ni kikwazo kwa watu katika kujitafutia maendeledo yao na pia katika kutatua changamato zao za kifedha.

Kwa wasiolewa, sheria hii inalenga kuhakiksha mtumishi habaki na take home ndogo isiyokidhi mahitaji yake na ya familia yake au kubaki na take home zero kabisa kama ilivyokuwa huko nyuma kwa baadhi ya watumishi kabla serikali haijaingilia kati na kuja na huu utaratibu wa kutaka` kila mtumishi kubaki na walau mojab ya tatu ya mshahara ghafi wake(basic salary) baada ya makato yote(ya kisheria na yasiyo ya kisheria).

Hata hivyo, sheria hii imeweka watumishi wote katika kapu moja, yaani anaepokea mshara wa milioni mbili kwa mwezi, anabanwa na sheria ile ile kama yule anaepokea mshahara wa shilingi laki tatu au nne kwa mwezi jambo ambalo si sahihi kabisa.

Tutazame mifano hii:
1/3 ya 300,000 ni 99,999.99
1/3 ya 500,000 ni 166,666.66
1/3 ya 600,000 ni 199,999.99
1/3 ya 1200,000 ni 399,999.99
1/3 ya 1400,000 ni 466,666.66
1/3 ya 1500,000 ni 499,999.99
1/3 ya 1800,000 ni 599,999.99
1/3 ya 1950,000 ni 649,999.99
1/3 ya 2000,000 ni 666,666.66
1/3 ya 2500,000 ni 833,3333.33
1/3 ya 3000,0000 ni 999,999.99

Hapa nimejaribu kutoa viwango hivyo kama mifano kuonyesha utofauti uliopo katika kutafuta hiyo moja ya tatu ambayo kila mtumishi anastahili kubaki nayo baada ya makato yote yakiwemo na makato ya mikopo.

Sasa tujuilize, kama serikali imeona mfanyakazi mwenye mshahara wa shilingi 600,000/= akibaki na take home ya walau shilingi 200,000/=, anaweza kuishi, ni kwanini mtumishi mwenye mshahara wa shilingi 1500,000/= alazimishwe kubaki na take home ya 500,000 wakati wote tunaishi katika nchi moja?

Nafikiri wakati umefika serikali ipitie upya sheria hii ili kuwezesha watumishi wenye mishahara mikubwa kutumia mishahara yao kukopa katika mabenki na taasisi zingine za kifedha badala ya kuwabana wote na sheria moja ili hali wana tofauti kubwa ya kipato.

Tafakari hii:

Mtu anataka kukopa amalizie nyumba yake ahamamie, ila kutokana na sheria kama hii, mtumishi anakuwa hakopesheki, hivyo anaendelea kulipa kodi na hapo hapo serikali inaamini sheria hii inamlinda mfanyakazi kumbe inamuumizi kwa kumfanya aendelee kulipa kodi kwasababu tu ameshindwa kukopesheka kisa anatakiwa kubaki na moja ya` tatu ya mshahara wake baada ya makato yote.

Waziri wa Utumishi na serikali kwa ujumla, wakati umefika sheria/utaratibu huu upitiwe upya na ikiwezekana serikali ifanye tathimni upya na kuweka kiwango ambacho ni shariti kibaki katika mshahara wa kila mtumishi na utaratibu uzingatie range fulani ya mishahara(wenye mshahara kuanzia kiasi fulani mpaka kiasi fulani wabaki na kiasi fulani kulingamna na mishahara yao) na sio kwa kutumia huu utaratibu wa moja ya tatu usiozingatia tofauti ya mishahara iliyopo baina ya watumishi serikali.

Nawasilisha.
I see we jamaa, nilivyoanza kusoma nikahisi unataka kiwango kiongezwa, unataka wapunguze uondoke na moja ya kumi au? Mtakuja kuua watoto majumbani!

Wewe unataka ukopee mshahara wote ubaki na zero? Hujui kuwa biashara zinacollapse?

Mimi nasema sheria iwekwe mwisho 50%. Mnakopea mishahara yote mnaanza kutia tia huruma tu mitaani, wewe mfanyakazi hata muda wa kusimamia biashara yako huna, halafu unataka kupeleka mshahara wote huko? Jiangalie mkuu!
 
Kwaio unasikia uchungu wa kulipa kodi unataka ujiingize kwenye madeni zaidi? Kwaio tufanye unalipwa 1,500,000÷3 = 499,999 unataka ukope hio 499,999 ili ubaki na kiasi gani sasa? Au unataka ubaki na 100,000 kwa mwezi halafu uanze kusumbua kwamba hauendi kazini kisa hauna nauli?...mkuu unatakiwa ujipange kuna sehemu ulikosea hesabu za maisha...😀😀😀 kwaio unakopa ili umalizie kujenga nyumba?....
 
watumishi wengi wanaishi kwa allowances sio hivi vimishahara mbuzi vyao.
 
Hili jambo nimeliongea mara kadhaa huko nyuma na leo napenda kuliriudia kwani ni kikwazo kwa watu katika kujitafutia maendeledo yao na pia katika kutatua changamato zao za kifedha.

Kwa wasiolewa, sheria hii inalenga kuhakiksha mtumishi habaki na take home ndogo isiyokidhi mahitaji yake na ya familia yake au kubaki na take home zero kabisa kama ilivyokuwa huko nyuma kwa baadhi ya watumishi kabla serikali haijaingilia kati na kuja na huu utaratibu wa kutaka` kila mtumishi kubaki na walau mojab ya tatu ya mshahara ghafi wake(basic salary) baada ya makato yote(ya kisheria na yasiyo ya kisheria).

Hata hivyo, sheria hii imeweka watumishi wote katika kapu moja, yaani anaepokea mshara wa milioni mbili kwa mwezi, anabanwa na sheria ile ile kama yule anaepokea mshahara wa shilingi laki tatu au nne kwa mwezi jambo ambalo si sahihi kabisa.

Tutazame mifano hii:
1/3 ya 300,000 ni 99,999.99
1/3 ya 500,000 ni 166,666.66
1/3 ya 600,000 ni 199,999.99
1/3 ya 1200,000 ni 399,999.99
1/3 ya 1400,000 ni 466,666.66
1/3 ya 1500,000 ni 499,999.99
1/3 ya 1800,000 ni 599,999.99
1/3 ya 1950,000 ni 649,999.99
1/3 ya 2000,000 ni 666,666.66
1/3 ya 2500,000 ni 833,3333.33
1/3 ya 3000,0000 ni 999,999.99

Hapa nimejaribu kutoa viwango hivyo kama mifano kuonyesha utofauti uliopo katika kutafuta hiyo moja ya tatu ambayo kila mtumishi anastahili kubaki nayo baada ya makato yote yakiwemo na makato ya mikopo.

Sasa tujuilize, kama serikali imeona mfanyakazi mwenye mshahara wa shilingi 600,000/= akibaki na take home ya walau shilingi 200,000/=, anaweza kuishi, ni kwanini mtumishi mwenye mshahara wa shilingi 1500,000/= alazimishwe kubaki na take home ya 500,000 wakati wote tunaishi katika nchi moja?

Nafikiri wakati umefika serikali ipitie upya sheria hii ili kuwezesha watumishi wenye mishahara mikubwa kutumia mishahara yao kukopa katika mabenki na taasisi zingine za kifedha badala ya kuwabana wote na sheria moja ili hali wana tofauti kubwa ya kipato.

Tafakari hii:

Mtu anataka kukopa amalizie nyumba yake ahamamie, ila kutokana na sheria kama hii, mtumishi anakuwa hakopesheki, hivyo anaendelea kulipa kodi na hapo hapo serikali inaamini sheria hii inamlinda mfanyakazi kumbe inamuumizi kwa kumfanya aendelee kulipa kodi kwasababu tu ameshindwa kukopesheka kisa anatakiwa kubaki na moja ya` tatu ya mshahara wake baada ya makato yote.

Waziri wa Utumishi na serikali kwa ujumla, wakati umefika sheria/utaratibu huu upitiwe upya na ikiwezekana serikali ifanye tathimni upya na kuweka kiwango ambacho ni shariti kibaki katika mshahara wa kila mtumishi na utaratibu uzingatie range fulani ya mishahara(wenye mshahara kuanzia kiasi fulani mpaka kiasi fulani wabaki na kiasi fulani kulingamna na mishahara yao) na sio kwa kutumia huu utaratibu wa moja ya tatu usiozingatia tofauti ya mishahara iliyopo baina ya watumishi serikali.

Nawasilisha.
du sijui umeandika nn yaan mshahara mkubwa matumizi yake makubwa ndionmaana anatakiwa kubaki na 1/3 kubwa kingine ukope umalizie nyumba ubaki na 100000 au na 0 unataka maisha yako yawe magumu kiasi kwamba watoto washinde njaa kwa mika iyo 7 mpaka deni limalizike mi naona serikali bora wangeongeza kiwango ibaki nusu mshahara

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nitakujibu kwa njia ya swali kama HRO wako hapa.
Je, kwanini hujauliza utofauti wa mshahara umekuja vipi wakati watumishi wote wanaishi tanzania ambako bei ya bidhaa ni moja?
Iko hivi, ambaye amezoea kupata kikubwa ukimshusha mpaka chini kabisa ni sawa na umemshusha mpaka zero katika mindset yake.
Kuna watu kulingana na mshahara wao walizoea kununua viatu supermarket ambako suruali inauzwa 30- 50, sasa huyu alikuwa na take home ya 3000000 kabla ya makato ya bank. Akikopa na abakishiwe 100k tu kama take home anaweza kuchizika.
 
Kwaio unasikia uchungu wa kulipa kodi unataka ujiingize kwenye madeni zaidi? Kwaio tufanye unalipwa 1,500,000÷3 = 499,999 unataka ukope hio 499,999 ili ubaki na kiasi gani sasa? Au unataka ubaki na 100,000 kwa mwezi halafu uanze kusumbua kwamba hauendi kazini kisa hauna nauli?...mkuu unatakiwa ujipange kuna sehemu ulikosea hesabu za maisha... kwaio unakopa ili umalizie kujenga nyumba?....
We unasema tu.hii ishu ya naul ni real.kuna watu hata hio theltuth haitoboi,inafika mahal mtu hata nauli tu hana.nashauri posho walau ziwepo kupoza poza
 
Hili jambo nimeliongea mara kadhaa huko nyuma na leo napenda kuliriudia kwani ni kikwazo kwa watu katika kujitafutia maendeledo yao na pia katika kutatua changamato zao za kifedha.

Kwa wasiolewa, sheria hii inalenga kuhakiksha mtumishi habaki na take home ndogo isiyokidhi mahitaji yake na ya familia yake au kubaki na take home zero kabisa kama ilivyokuwa huko nyuma kwa baadhi ya watumishi kabla serikali haijaingilia kati na kuja na huu utaratibu wa kutaka` kila mtumishi kubaki na walau mojab ya tatu ya mshahara ghafi wake(basic salary) baada ya makato yote(ya kisheria na yasiyo ya kisheria).

Hata hivyo, sheria hii imeweka watumishi wote katika kapu moja, yaani anaepokea mshara wa milioni mbili kwa mwezi, anabanwa na sheria ile ile kama yule anaepokea mshahara wa shilingi laki tatu au nne kwa mwezi jambo ambalo si sahihi kabisa.

Tutazame mifano hii:
1/3 ya 300,000 ni 99,999.99
1/3 ya 500,000 ni 166,666.66
1/3 ya 600,000 ni 199,999.99
1/3 ya 1200,000 ni 399,999.99
1/3 ya 1400,000 ni 466,666.66
1/3 ya 1500,000 ni 499,999.99
1/3 ya 1800,000 ni 599,999.99
1/3 ya 1950,000 ni 649,999.99
1/3 ya 2000,000 ni 666,666.66
1/3 ya 2500,000 ni 833,3333.33
1/3 ya 3000,0000 ni 999,999.99

Hapa nimejaribu kutoa viwango hivyo kama mifano kuonyesha utofauti uliopo katika kutafuta hiyo moja ya tatu ambayo kila mtumishi anastahili kubaki nayo baada ya makato yote yakiwemo na makato ya mikopo.

Sasa tujuilize, kama serikali imeona mfanyakazi mwenye mshahara wa shilingi 600,000/= akibaki na take home ya walau shilingi 200,000/=, anaweza kuishi, ni kwanini mtumishi mwenye mshahara wa shilingi 1500,000/= alazimishwe kubaki na take home ya 500,000 wakati wote tunaishi katika nchi moja?

Nafikiri wakati umefika serikali ipitie upya sheria hii ili kuwezesha watumishi wenye mishahara mikubwa kutumia mishahara yao kukopa katika mabenki na taasisi zingine za kifedha badala ya kuwabana wote na sheria moja ili hali wana tofauti kubwa ya kipato.

Tafakari hii:

Mtu anataka kukopa amalizie nyumba yake ahamamie, ila kutokana na sheria kama hii, mtumishi anakuwa hakopesheki, hivyo anaendelea kulipa kodi na hapo hapo serikali inaamini sheria hii inamlinda mfanyakazi kumbe inamuumizi kwa kumfanya aendelee kulipa kodi kwasababu tu ameshindwa kukopesheka kisa anatakiwa kubaki na moja ya` tatu ya mshahara wake baada ya makato yote.

Waziri wa Utumishi na serikali kwa ujumla, wakati umefika sheria/utaratibu huu upitiwe upya na ikiwezekana serikali ifanye tathimni upya na kuweka kiwango ambacho ni shariti kibaki katika mshahara wa kila mtumishi na utaratibu uzingatie range fulani ya mishahara(wenye mshahara kuanzia kiasi fulani mpaka kiasi fulani wabaki na kiasi fulani kulingamna na mishahara yao) na sio kwa kutumia huu utaratibu wa moja ya tatu usiozingatia tofauti ya mishahara iliyopo baina ya watumishi serikali.

Nawasilisha.
 
I see we jamaa, nilivyoanza kusoma nikahisi unataka kiwango kiongezwa, unataka wapunguze uondoke na moja ya kumi au? Mtakuja kuua watoto majumbani!

Wewe unataka ukopee mshahara wote ubaki na zero? Hujui kuwa biashara zinacollapse?

Mimi nasema sheria iwekwe mwisho 50%. Mnakopea mishahara yote mnaanza kutia tia huruma tu mitaani, wewe mfanyakazi hata muda wa kusimamia biashara yako huna, halafu unataka kupeleka mshahara wote huko? Jiangalie mkuu!
Wewe ni mjinga tu. Mshahara wangu ni mkubwa kiasi kwamba naweza kopa zaidi ya hiyo moja ya tatu na nikabaki na take home ya kutosha.

Watumishi wana mikopo mingi tu isioyoonekana kwenye salary slip na hii ni kutokana na mishahara duni wanayolipwa hivyo hii sheria ipo tu kinadharia(watu wana mikopo zaidi ya hiyo ilioko kwenye salary slip).
 
Wewe ni mjinga tu. Mshahara wangu ni mkubwa kiasi kwamba naweza kopa zaidi ya hiyo moja ya tatu na nikabaki na take home ya kutosha.

Watumishi wana mikopo mingi tu isioyoonekana kwenye salary slip na hii ni kutokana na mishahara duni wanayolipwa hivyo hii sheria ipo tu kinadharia(watu wana mikopo zaidi ya hiyo ilioko kwenye salary slip).
Huwa nina heshima fulani hivi kwako, lakini kwa arguments kama hizi, na badala ya kueleza hoja yako kwa mantiki, unaanza kwa kusema mimi ni mjinga tu!, Nimeanza kukushangaa. Anyway, good day ndugu.
 
Back
Top Bottom