tisa

The Tisza, Tysa or Tisa, is one of the main rivers of Central and Eastern Europe. Once, it was called "the most Hungarian river" because it flowed entirely within the Kingdom of Hungary. Today, it crosses several national borders.
The Tisza begins near Rakhiv in Ukraine, at the confluence of the White Tisa and Black Tisa (the former springs in the Chornohora mountains; the latter in the Gorgany range). From there, the Tisza flows west, roughly following Ukraine's borders with Romania and Hungary, then shortly as border between Slovakia and Hungary, later into Hungary, and finally into Serbia. It enters Hungary at Tiszabecs. It traverses Hungary from north to south. A few kilometers south of the Hungarian city of Szeged, it enters Serbia. Finally, it joins the Danube near the village of Stari Slankamen in Vojvodina, Serbia.
The Tisza drains an area of about 156,087 km2 (60,266 sq mi) and has a length of 966 km (600 mi) Its mean annual discharge is 792 m3/s (28,000 cu ft/s). It contributes about 13% of the Danube's total runoff.Attila the Hun is said to have been buried under a diverted section of the river Tisza.

View More On Wikipedia.org
  1. sky soldier

    Kiasi kikubwa cha bangi ya hapa nchini ni kushabu, watu wanavuta makapi sio bangi

    Kushabu/Koshabu ni bangi ambayo haijakidhi viwango, unaweza kusema ni makapi pia. Inakuaga Ndio aina ya bangi ambayo huuzwa kwa kiasi kikubwa hapa nchini, kati ya wauzaji 10 wauzaji tisa huuza kushabu. huyo mmoja aliebaki hadi kumpata ni mpaka connection, nadra sana kumpata kiukweli, ubora...
  2. MK254

    Awamu ya kwanza ya bandari ya Lamu yakamilika, mpaka sasa meli tisa zimeitumia

    Mambo yanakwenda kimya kimya.... Construction of the $400 million first phase of Kenya’s second commercial port in Lamu has been completed. The second and third berths were completed in December, paving the way for the government to float a tender to private companies to construct 20 more...
  3. Kudo

    Riwaya: Ukurasa wa Tisa

    RIWAYA: UKURASA WA TISA NA: BAHATI K MWAMBA SIMU: 0758573660/0658564341 Sehemu moja maarufu ndani ya jiji la Dodoma kulikuwa na kundi kubwa la watu pembezoni mwa barabara wakiwa wamesimama kimakundimakundi. Watu hao walikuwa wamesimama kwa kuzizunguka baadhi ya meza za kuuzia magazeti zilizoko...
  4. Rais wa Matajiri

    Benki za Biashara Tanzania zinaogelea kwenye faida. Je, nini kimefanyika awamu ya sita?

    Wachumi mtusaidie hili, Hivi mabenki yetu ya biashara kupata faida ya TZS 471B kwa miezi tisa tu,Wakati huko nyuma yalipata TZS 286B kwa mwaka ina maana gani kwa Uchumi wa nchi yetu?Je! ni Vyuma kulegea? Mtakumbuka kwa mara ya mwisho hapa Tanzania mabenki yetu ya biashara kurekodi faida ya...
  5. Analogia Malenga

    Dar: Afungwa maisha jela kwa kumlawiti mtoto wa miaka tisa

    Mahakama ya Wilaya ya Temeke imemuhukumu Mkazi wa Chamanzi, Said Wanie (35) kifungo cha maisha kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka tisa. Pia mahakama hiyo imemuagiza mshtakiwa huyo kumlipa mtoto huyo fidia ya kiasi cha Sh. 500,000. Kati ya Mei 3, 2020 maeneo ya Chamanzi...
  6. K

    Mwezi wa tisa utakuwa ni mwezi wa balaa na mtifuano ndani ya Club ya Yanga

    Wanakutana na Wanigeria kwenye Club bingwa Africa (1st Leg/2nd Leg) 10-12 September / 17-19 September 2021-WATATOLEWA Wanakutana na SImba Ngao ya Hisani- WATAFUNGWA Unadhani nani atakuwa wa kwanza kuchinjiwa baharini?, Kwa kuwa bado GSM anaendelea kuwa na nguvu na bado anataka kuendelea...
  7. Mzee makoti

    Binti wa umri wa miaka tisa amuuguza Bibi yake kwa zaidi ya miaka Mitatu

    More by this Author Mwanza. Shamsa Yusuph (9) ambaye kwa umri wake anapaswa kuwa shule, amejikuta akikosa fursa hiyo baada ya kulazimika kubeba jukumu la kumhudumia bibi yake mgonjwa aliyelala kitandani kwa maradhi kwa miaka mitatu sasa. Mtoto huyo anayeoonekana kuwa na uwezo mkubwa wa kuelewa...
  8. ndege JOHN

    Yote Tisa kumi bia hazijashuka bei

    Mwaka mpya wa fedha tumepelekwa mbiombio aseee na mambo yalikuwa Ni mengi bado bilabila na mother anaupiga mwingi na inavyoonekana hata bia kumbe hazitashuka Bei kumbe ile habari ya punguzo la bia ilikuwa Ni scam.msaada tutani
  9. M

    Miezi 9 imetimia lakini mtoto hajageuka tumboni

    Habari wandugu! Poleni kwa majukumu! naomba kujua au kueleweshwa kama kuna madhara kutogeuka kwa mtoto baada ya miezi kutimia. Tulifanya utrasound dk akatujuza kwamba mtoto hajageuka na hamna madhara yoyote atageuka tu! Sa sjaelewa vizuri, anatutia moyo au la! Nina hofu sana jamani.
  10. T

    Naomba ufafanuzi wa makato ya PAYE katika kiwango hiki cha mshahara

    Naomba wadau mnijuze Mimi npo daraja E napokea basic salary 940000 je asilimia hiyo moja iliyopunguzwa na Mheshimiwa Rais ni kama shilingi ngapi ambayo ntakuta ongezeko katika mshahara wa mwezi huu?
  11. Kasomi

    Mambo tisa ya kushangaza kuuhusu Mwezi na Marekani ilipotaka kuulipua

    Umbo la mwezi hubadilika na hata rangi yake, lakini tangu jadi binadamu amekuwa akivutiwa na maumbile yake. Kuna Mwezi Mpevu, Mwezi Mwandamo, Hilali na hata wakati mwezi hupatwa na jua. Hapa ni mambo tisa ya kushangaza kuuhusu Mwezi. 1. Mwezi si tufe Mwezi una umbo la yai. Ukiuangalia kile...
  12. Analogia Malenga

    Zanzibar: Wageni kutoka nchi tisa watafanyiwa vipimo vya haraka kabla ya kuingia

    Wizara ya Afya ya Zanzibar imetangaza watu kutoka nchi tisa ambazo tayari zimethibitisha kuwa na maambukizi ya virusi vipya watalazimika kufanyiwa vipimo vya haraka kabla ya kuingia Zanzibar Nchi zilizotajwa ni India, Uganda, Marekani, Uingereza, Peru, DR Congo, Afrika Kusini, Ufilipino na Brazil
  13. LIKUD

    Nani kaiona Planet Jupiter jana saa tisa usiku?

    Kwa siku tatu mfululizo sayari ya Jupiter imekuwa ikionekana mida ya saa tisa usiku (alfajiri?) Katika anga la sayari ya dunia. Amka leo saa tisa usiku Kisha tazama uelekeo linapo toka jua kwa juu yake kidogo utaiona Sayari ya Jupiter ina n'gaa . Inatoa mwanga wa rangi ya njano kama jezi za...
  14. M

    Jeshi la Israel lahuzunika sana kulikosakosa gaidi la Hamas lenye roho Tisa kama ya paka

    Akizungumza kwa masikitiko sana mkuu wa majeshi wa Israel southern command Eliezer Toledano amesikitika kwa kumkosa kumuua mara mbili wiki iliyopita gaidi bishi la Hamas Mohammed Deif, 55 pichani hapo chini. Deif ambaye ni gaidi zoefu ameponea na kukoswakoswa kuuawa mara kadhaa 2011, 2013...
  15. Bujibuji Simba Nyamaume

    Maajabu ya orodha ya tisa kwenye maisha ya mwanadamu

    MAAJABU YA TEBO YA TISA KWENYE MAISHA YA MWANADAMU 9×1=9 miez ya kuishi tumboni 9×2=18 umri wa kutambulika mtu mzima kwa baadhi ya nchi 9×3=27 miaka ya ukomavu na binadam kijana anaweza anza kunitegemea kila kitu makazi,malazi na mengneyo 9×4=36 miaka ya kuweza muda kulea( kuanzisha au...
Back
Top Bottom