Ukiwa umepita mwezi mmoja tangu Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom, Hishem Hendi kutangaza kuachana na kampuni hiyo baada ya kupata nafasi nyingine Hispania, Mkurugenzi Mtendaji wa Tigo, Simon Karikari ametangaza kuondoka nchini.
Taarifa za kuondoka kwa Karikari zilizoenea tangu Ijumaa iliyopita...